Hafla ya Ugawaji wa Tuzo za Ballon d’Or 2023

Ile save ya dakika ya mwisho kwenye fainal ilikuwa moto[emoji91][emoji91]
Sikumbuki vzr nani alikosa alipiga kwa papala sana ile save ndio iliwapa ubinhwa argentina nilishangaa sana kuona man of the match alichukua messi, yaani ile chanve ingemkuta cleanical finisher kama lewandowski au cristiano pale ufaransa alikua anabeba ndoo
 
Ikienda kwa messi pia ni sawa kwa mtazamo wangu nafikiri halaand ndie anastahili zaidi hii tuzo kwa usiku wa leo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…