Uchaguzi 2020 Hai: Freeman Mbowe azindua kampeni kwa kishindo, apokelewa na Mabango, shangwe za Mwamba tuvushe zarindima

Uchaguzi 2020 Hai: Freeman Mbowe azindua kampeni kwa kishindo, apokelewa na Mabango, shangwe za Mwamba tuvushe zarindima

Yaani Chadema hii hii ambayo haina hata jengo la Ofisi kwa miaka 20 ndio wafanye yote hayo kwa muda wa siku 100??

Msitudanganye makamanda.
Hiyo hiyo lakini inawapelekesha mpaka mnaomba msaada toka tume ya uchaguzi iwasaidie kuwaengua wagombea wa Chadema bila sababu za msingi, nyie endeleeni kujitia upofu tu.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
YEYE MWENYEWE AKIPATA ATA DIWANI MUMOJA HAPA HAI, KWELI ATAKUWA AMEPATA IKULUU.
Diwani mmoja ndio kitu gani, hapo Hai Mbowe anachukua jimbo na madiwani wote, na mkileta ule ujinga wenu wa kuwatuma walevi walete upuuzi wao watachapwa mbele ya polisi, msijaribu kuleta utoto wenu kwenye hii mechi ya fainali hautavumiliwa tena.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Mbowe kwa fiksi na anawapata ''nyumbu'' wake!

Nakumbuka mwaka 2010 alisema kama CHADEMA haitashinda Uchaguzi Mkuu 2010 basi anastaafu Umwekiti wa CHADEMA!

Mpaka leo YUPO.
 
Nyie wenye jengo kali katika miaka 60 mmefanya lipi la maana? Na nani alikudanganya chama kuwa na ofisi nzuri za chama kuna uhusiano wowote na utendaji wa chama husika!? 😳

Yaani Chadema hii hii ambayo haina hata jengo la Ofisi kwa miaka 20 ndio wafanye yote hayo kwa muda wa siku 100??

Msitudanganye makamanda.
 
Diwani mmoja ndio kitu gani, hapo Hai Mbowe anachukua jimbo na madiwani wote, na mkileta ule ujinga wenu wa kuwatuma walevi walete upuuzi wao watachapwa mbele ya polisi, msijaribu kuleta utoto wenu kwenye hii mechi ya fainali hautavumiliwa tena.
Sasa kama anauhakika wa kushinda, si atoke huku hai aende kumsaidia kampeni yule JAMAA yenuu?? Mbowe hali ni mbaya hapakwetu hai. Na hata afanyejee hapati hata diwani wa dawaa, tumechoka na kiki zenu
 
Yaani Chadema hii hii ambayo haina hata jengo la Ofisi kwa miaka 20 ndio wafanye yote hayo kwa muda wa siku 100??

Msitudanganye makamanda.
Kwani kuna tofauti gani na pale Tanganyika ilipokuwa inapata uhuru wake toka kwa mkoloni mweupe wa awali? Je! TANU ilikuwa na majemgo ya namna gani ya ofisi zake?

Hivi ndivyo ilivyokuwa kwa mkoloni mweusi wa sasa anayetutawala kwa sasa bila ridhaa ya wananchi hapa Tanganyika na pia kule Zanzibar.
 
Unaleta thread halafu unaanza kujenga hoja zilizo nje ya thread!

Inashangaza kiongozi wa chama kikuu cha upinzani anayegombea ''ubunge'' anaandika mabango na kuyagawa kwa watu ili ionyeshe kuwa wanampa ujumbe wakati ujumbe ameuandika mwenyewe!

Tanzania kuna vituko!
Magufuli kamshindwa Mbowe ndio uje uweze wewe kapuku mtozeni , mtegemea hisani ? Nyie jipigieni hela za mwisho mwisho za kibwege hapo , mnang'olewa muda si mrefu
 
Mbowe ni Mwenyekiti bora kabisa wa upinzani ukanda huu wa Afrika Mashariki na Kati. Mpeni kura kama zote. Muziki wake ukichanganya na wa LISSU Tanzania itapona.

Hakika Mbowe ni Mwenyekiti bora kabisa wa upinzani ukanda huu wa Afrika Mashariki na Kati!!!!!
IMG-20200918-WA0010.jpg
 
Yaani picha zimeungwa ungwa alafu unasema DJ wenu apokelewa kwa shangwe ! Acheni usanii chadomo!, HUU USANII TUNAWASUBIR 28 OCT MPOTEANE!
 
Cha kufurahisha, mabango yote ukiyachunguza yameandikwa na mtu mmoja.

Mwandiko huwa haujifichi!

Mbowe aache usanii!

Kinachochekesha zaidi, picha zilizopigwa niza pasipoti ili ionekane kuna umati mkubwa!

Tanzania kuna vituko!
Mkuu, matapeli hao na mwisho wao ni Oktoba 28
 
Cha kufurahisha, mabango yote ukiyachunguza yameandikwa na mtu mmoja.

Mwandiko huwa haujifichi!

Mbowe aache usanii!

Kinachochekesha zaidi, picha zilizopigwa niza pasipoti ili ionekane kuna umati mkubwa!

Tanzania kuna vituko!
Sawa msemaji ukweli, hizi ni picha za kutengeneza za pasoti saizi! Tunaomba utuwekee hapa picha halisi ili tusikuone Wewe ndo msemaji uongo!
 
Mwenyekiti wa Chadema ambaye pia ni mgombea ubunge wa Jimbo Hai Freeman Mbowe , amezindua rasmi kampeni za ubunge na kupokelewa na umati wa wananchi wenye mabango.

Mbowe ambaye kampeni nzima hufanya mikutano mitatu tu ya kuomba kura kutokana na kuaminiwa na wananchi , ambao mara zote humtaka apumzike asubiri kuchaguliwa tu, hata hivyo mikutano hiyo michache ndio humfanya achukue Halmashauri.

Naona kuna Fuso pembeni!
 
Cha kufurahisha, mabango yote ukiyachunguza yameandikwa na mtu mmoja.

Mwandiko huwa haujifichi!

Mbowe aache usanii!

Kinachochekesha zaidi, picha zilizopigwa niza pasipoti ili ionekane kuna umati mkubwa!

Tanzania kuna vituko!

Sasa kama ndo mwenye mwandiko mzuri kwa nini wanaotaka kuyabeba wasimuombe awaandikie?
 
Mwenyekiti wa Chadema ambaye pia ni mgombea ubunge wa Jimbo Hai Freeman Mbowe , amezindua rasmi kampeni za ubunge na kupokelewa na umati wa wananchi wenye mabango.

Mbowe ambaye kampeni nzima hufanya mikutano mitatu tu ya kuomba kura kutokana na kuaminiwa na wananchi , ambao mara zote humtaka apumzike asubiri kuchaguliwa tu, hata hivyo mikutano hiyo michache ndio humfanya achukue Halmashauri.

Hao wote wamelipwa buku 2000 mbili ili wajae noma sana.

Meko's thought
 
Back
Top Bottom