Ngwasa Omuyaya
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 2,629
- 2,733
We endelea kushangaa ,Utashangaa zaidi ukimkuta Bungeni.Inashangaza kamanda mkuu anatengeneza mazingira ili aonekane anahitajika wakati anajidanganya yeye mwenyewe!
Hizi sarakasi zake zitaisha baada ya Uchaguzi Mkuu!