Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 16,388
- 51,970
AsanteGood girl
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AsanteGood girl
Wa hum mimi siwajui ila nimesema tu kwakua nishakutana nao toka mitandao mingine ..ni vile tu mimi bahili sana wakanichoka mapema wakanipiga chiniKuna limoja hilo humu kutwa kujichekeshachekesha tu [emoji23] linaonekana ni lijishangingi linapendelea vijana wadogo wadogo mno alafu linapenda pombe htr
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] msururuuu mbna uduguuu, habari sikukupaa??Hivi shem hajapitiwa?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] msururuuu mbna uduguuu, habari sikukupaa??
🤣🤣🤣
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shem wako si Una muwezaa? Mbanee akutajie folenii yakee.Nakushangaa ulivyoubania huo msururuuuu sijui mshokaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Emu nambie kwanza
Yaani wakishagundua hutoi kitu wanakukataa asubuhi na mapema..! Cha maana uwe umeshakula mzigo tu hapo unakua radhi kupitiwa na hata ukiachwa hauumii sanaWa hum mimi siwajui ila nimesema tu kwakua nishakutana nao toka mitandao mingine ..ni vile tu mimi bahili sana wakanichoka mapema wakanipiga chini
kwa mpalange 😂Unapita nae unaenda nae wapi?
We mtoto..hiyo Durex umeijulia wapi.unahatar Sana wewShetani anakupitia? Unaamka unavaa nguo,, unapita na pharmacy kucheck durex. Bado usafiri mpaka ufike, useme shetani kakupitia?
Na hao wachache hawapewi vipaumbele pia hata wasipozurura.Inashangaza ingawa ndio maisha halisia ya sasa hivi. Wapo wanaotaka serious relationships na wengi miongoni mwao baada ya kuzurura sana.
Wapo wachache sana ambao bado wana hofu ya Mungu na wanaangalia mahisiano yenye tija na yenye malengo ya kujenga familia.
Depal unamaliza maneno😂😂😂Shetani anakupitia? Unaamka unavaa nguo,, unapita na pharmacy kucheck durex. Bado usafiri mpaka ufike, useme shetani kakupitia?
Unawaelewa kweli hao wa kupitiwa na bwana Shetty? 😂😂Depal unamaliza maneno😂😂😂
Siwaelewi. Kuna wakati wanamsingizia😢Unawaelewa kweli hao wa kupitiwa na bwana Shetty? 😂😂
Ahahah..hapana hao uncertified but ma pro sellers hata siku 1 siwezi kujichanganya nikawala..Never yan.Yaani wakishagundua hutoi kitu wanakukataa asubuhi na mapema..! Cha maana uwe umeshakula mzigo tu hapo unakua radhi kupitiwa na hata ukiachwa hauumii sana
Iko waziKwani siku hizi class na desires mmemwachia shetani awashikie au?
Nipo hapa kwenye kituo nasubiria usafiri, kuna wadada wanaongea kuhusu kupata hela na mabwana.
Katika maneno yao meeengi, hili la mwisho ndio nilichoka. “Haijalishi mwanaume ni mrefu au mfupi, kama ana hela mimi napita nae"
Mwenzake akauliza kama hana hela na ni mfupi je? Utapita nae?
Kama hana hela na ni mrefu je? Utapita nae?
Naomba kuuliza, Kwani siku hizi hamna mapenzi tena? Watu wanaangalia pochi tu? Pochi ikikata utaangalia nini?
Cc: 50thebe mshamba_hachekwi Smart911 Ushimen