Haijawahi tokea, ni kufuru! Yanga yachangiwa zaidi ya tiketi elfu 30 kutoka kwa Rais, Wizara, viongozi, Mabenki, na bado zoezi linaendelea

Haijawahi tokea, ni kufuru! Yanga yachangiwa zaidi ya tiketi elfu 30 kutoka kwa Rais, Wizara, viongozi, Mabenki, na bado zoezi linaendelea

Haijaniuma kuona watu wazima mnashangilia kununuliwa tiketi za shingi 5000, imeniuma kuona watu wa mjini halafu mnafanyiwa uhuni wa waziwazi huku mmelala usingizi wa pono. Ilinishinda kunyamaza ila nimeshatoa stimu zangu, najiona mwepesiii.
Natamani uendelee bana

Sent from my vivo 1906 using JamiiForums mobile app
 
Kwamba Yanga mnahitaji kununuliwa tiketi kwenda kusapoti timu yenu katika mechi ya fainali? Halafu hili mnashangilia na kutumia kama fahari na kukejeli wengine?

Ninasemaga Simba na Yanga kimsingi kabisa ni timu zilizo na mashabiki wa aina mbili tofauti sana. Sitalielezea zaidi ila wenye akili watang'amua hizi tofauti ziko wapi.
Kweli kabisa.
tapatalk_-1513554253_720x667.jpg
 
MUHIMU: Hawa wahusika wameguswa na mafanikio ya yanga na ni wao kwa hiari yao wameamua kushow love wameongeza hamasa kwa kuwanuulia mashabiki tiketi, wala hawakuombwa wala kulazimishwa.


Rais wa nchi - Tiketi 5,000

Wizara ya Michezo>BMT -Tiketi 10,000

Benki ya NBC - Tiketi 5,000

Benki ya CRDB - Tiketi 5,000

Benki ya NMB - Tiketi 5,000

Mkuu wa Mkoa Dar - Tiketi 1,000

Makamu wa YangaSc - Tiketi 500

JUMLA: Tiketi 31,500..

WHY NOT US? '
Dalili mbaya sana hi. taifa stars walipigiwa mbeleko kama hii kilichotokea mliona. Stay tune.
 
Kwa Yanga jinsi ambavyo mmekuwa kero humu kwasababu ya ndondokela ya msimu mmoja tu basi imekuwa sababu ya wengine kukosa raha.

Aaah kwa hilo nakubali yote tu acha heshima ivunjike.

Kwanza mi heshima ya kazi gani umri huu hainiingizii hela zaidi ya sifa tu.

Mafanikio ya Yanga yatageuka kuwa fimbo kwangu yani nitatukanwa, nitasimangwa mpaka basi.

Sasa guarantee ya mimi kuwa na furaha ni Yanga isichukue ubingwa.

Lakini pia kuna mwana hapa aliwahi kuja na uzi kutupa pongezi sisi waminyaji kwa mchango wetu kuifanya Yanga ifikie haya mafanikio.

So miongoni mwenu kuna kundi lingine ambalo linatuona kwa jicho la kitofauti kama watu fulani ambao tuna influence ya kuifanya Yanga ipate haya mafanikio.

Tukiacha "uminyaji" maana yake kuna namna tutakuwa tumepunguza nguvu kazi ya kufikia mafanikio yenu.
Sawa sawa Chifu.

"Ili nifanikiwe nahitaji Marafiki, ili nifanikiwe zaidi nahitaji Maadui" Prof Jay, duniani kila Mtu ana umuhimu kwa nafasi yake.



Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Wanajinunulia wenyewe alafu wanasema wao Wana watu byut byut.
 
Utanionyesha na uwanja wa AC Milan,au nayo ni timu ndogo kuliko Namungo ? Kupanga ni kuchagua.
Game inapigwa kwenye dimba la taifa kwa kuwa Yanga haina wa kwake.

Namungo, Azam, wana umri gani vile ukilinganisha na wale wakongwe wawili?

Mambo ya Majaliwa kuokoa wahanga wa ndege haya
 
Back
Top Bottom