Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Mtu pekee anayeweza kumsaidia huyu binti ni Diamond Platinumz peke yake.Naona Wasanii mbalimbali Wamepost wakisema kwamba anaumwa Watu watume pesa Achangiwe Bila kusema Shida ni nini
Huku Baadhi ya Comments zikisema Binti ambaye ni Msanii amekuwa akitumia Bangi na Kuvuta Shisha sana, je ni nini Hasa Kinamsibu?
Mimi kuna yule anayesema lunch yake ni million 5 ndio Nina hamu naye, hawa ndio wanawaponza wenzao.Ninavyowasubiri kwa hamu Kajala na Uwoya, we acha tu waendelee kutuita mbwa tusiojua kuishi!
Huwaga yanawatokea puani aiseeMimi kuna yule anayesema lunch yake ni million 5 ndio Nina hamu naye, hawa ndio wanawaponza wenzao.
Kashatangulia zake mbele ya hakiNaona Wasanii mbalimbali Wamepost wakisema kwamba anaumwa Watu watume pesa Achangiwe Bila kusema Shida ni nini
Huku Baadhi ya Comments zikisema Binti ambaye ni Msanii amekuwa akitumia Bangi na Kuvuta Shisha sana, je ni nini Hasa Kinamsibu?
Umanyire Chunu??Umwaree
Kwanini Siku hizi Condoms hazipatikani kwa Uwingi huku Mitaani Kwetu kama zamani? au Janga la VVU sasa limeshadhibitiwa na haliko tena kwa mujibu wa WHO?Naona Wasanii mbalimbali Wamepost wakisema kwamba anaumwa Watu watume pesa Achangiwe Bila kusema Shida ni nini
Huku Baadhi ya Comments zikisema Binti ambaye ni Msanii amekuwa akitumia Bangi na Kuvuta Shisha sana, je ni nini Hasa Kinamsibu?
Kwamba Gitaa?Kwanini Siku hizi Condoms hazipatikani kwa Uwingi huku Mitaani Kwetu kama zamani? au Janga la VVU sasa limeshadhibitiwa na haliko tena kwa mujibu wa WHO?
Solo hilo la Dally Kimoko Mkuu wanguKwamba Gitaa?
Huyo Bosheni si ndio kazaa na amber lulu?Mmewe huyo aka niite bosheni
Laki saba si hata Uwoya au Billnas na Nandy wanamaliza hilo mpaka waombe michangonilisoma sehemu matibabu yake ni kiasi cha laki 7, nikasema kwa msanii na wasanii kwa umoja wao hili wanaweza limudu nimeshangaa wanavyo likwepa
Mtu anaspend 2mil kwa siku ashindwe kulipa laki 7 za matibabuSi waende kwa uwoya
Hilo tatizo analimaliza mwenyewe
Le bilionea
Ova
Hilo ni jina la mume wakePesa anatumiwa Bwashee MTEI. Hatari sana. Mjini uje na akili tu, hela utachota Kwa wajinga-wajinga.
kalikuwa kazuri dahWazee demu kafariki tayari aisee inasikitisha sana
Kabisa Sasa hv watanzania wamegoma kuchanga wanawashushua TU!!!Mimi kuna yule anayesema lunch yake ni million 5 ndio Nina hamu naye, hawa ndio wanawaponza wenzao.
Huyo Riyama mbona kila mtu anasema atamchangia yeye ana nini hasa mpaka achangiwe?Ndo nimemkumbusha hapo yaani Kuna magonjwa kibongo bongo bila kutembeza bakuli hutoboi ng'ooo!!!
Mimi Sasa hv Msanii wa kumchangia Riyama tu wengine Hawa,yakiwakuta watashaaa....mbonaaa