Haiwezekani kivuko kilichoghraimu bil 7.3 kukarabatiwa kwa bil 4.4

Haiwezekani kivuko kilichoghraimu bil 7.3 kukarabatiwa kwa bil 4.4

Pesa za umma zinaliwa huku wananchi wakiteswa na tozo.

View attachment 2479521

==
Ujenzi wa kivuko cha Mv Kazi uligharimu Sh7.3 bilioni na kina uwezo wa kubeba abiria 800 na magari 22 sawa na jumla ya tani 170.

Kupitia Ukurasa wa twitter wa TEMESA wamesema Kivuko cha MV. KAZI kimerejea rasmi katika eneo la Magogoni Kigamboni kwa ajili ya kutoa huduma baada ya kukamilika kwa ukarabati wake mkubwa uliogharimu kiasi cha shilingi Bilioni 4.4. Kivuko hicho kiliondolewa kwenye maji baada ya kufikia muda wake wa ukarabati mkubwa.

Kilianza rasmi kukarabatiwa mwezi Juni mwaka 2022 na mkandarasi Songoro Marine Transport Boatyard katika Yadi yake iliyopo Kigamboni jijini Dar es Salaam. Katika Mpango wa Maendeleo wa Miaka Mitano (5) 2020-2025,

Serikali inayoongozwa na Rais Dr. Samia Suluhu Hassan ilitoa ahadi mbalimbali kwa wananchi ikiwemo kuboresha huduma za vivuko hapa nchini ili kuwapunguzia wananchi kero za usafiri wanazopata katika maeneo mbalimbali kupitia Wizara mbalimbalina kupitia Wizara ya Ujenzi, Serikali imeanza kutekeleza ahadi hizo kwa kuanza kuvifanyia ukarabati vivuko hivyo.
Miradi Mingi ya Mwendazake ilikuwa substandard.

Mv Mbeya ilijengwa kama meli mpya baada ya mwezi ikapaki ikafanyiwa ukaranati miezi Kwa mabilioni..

Huu upuuzi ulianza awamu ya 5 na unaendelea..
 
Embu acha kuichafua serikali yetu Kama huna ushahidi, je wewe Ni Fundi? Una utaalamu na matengenezo take? Umewahi kutengeneza kivuko Cha aina hiyo? Unafahamu kilichokuwa kinatengenezwa?

Kwa uelewa wako unaweza kutusaidia hapa jukwaani na kutuwekea ushahidi na mchanganuo inayoonyesha gharama halisi ambazo zilitakiwa kutumika? Unaweza kutwambia Ni vifaa vipi na vipi vilivaribika na gharama yake Ni shillingi ngapi?

Usiandike kwa hisia pasipo kuwa na taarifa kamili na inayoonyesha mchanganuo mzuri wa kuonyesha kuwa watanzania tumeibiwa ili tujuwe namna tukivyoibiwa kwa kutuwekea mchanganuo.
Usimlaumu kwa papara, ana point. Labda suala la akili lingekuwa ni mwaka gani kivuko kiligharimu bilioni 7.3, hadi kufanyiwa matengenezo ya bilioni 4.4 leo hii.

Suala la kujiuliza ni kwamba, je, serikali ilifikiria uwezekano wa kukiuza kwa mnada na kununua kivuko kipya badala ya kukikarabati kilichopo kwa zaidi ya 50% ya gharama ya utengenezaji? Tunaweza kusema bilioni 7.3 ya wakati huo sio ya sasa, lakini sidhani kama shilingi imeporomoka kiasi hicho tangu kivuko kijengwe.

Haya ndio mambo amayo nchi ikiwa na upinzani makini bungeni hayawezi kutokea kirahisi, lakini Watanzania wengi ni wajinga mno wa siasa kutambua hilo.
 
Leo asubuhi saa moja flani Mv Kazi ilipaki walisema ni mbovu!

Pesa za watu wajinga ni za kuliwa tu!!
 
Siku hizi wakizipiga ni kuanzia B
Walianza na daraja la Bilioni 7 na sasa matengenezo ya kivuko Bilioni 4!
Kazi iendelee,Mama anaupiga mwingi ila shida pasi zake ni za juu sana,ukiwa mfupi huwezi kupata mpira(asali).
 

Kigamboni Kivuko, Loliondo Wanyama, Majengo Force Account

Hachomoki Mtu, Lock Diff Ni Tozo Sasa Kila Mtu Ataguswa Tu
Cheza Kwa Step Muhimu Usimksnyage Mwenzio, Usiguse Tonge Mkononi Mwa Mtu
 
Miradi Mingi ya Mwendazake ilikuwa substandard.

Mv Mbeya ilijengwa kama meli mpya baada ya mwezi ikapaki ikafanyiwa ukaranati miezi Kwa mabilioni..

Huu upuuzi ulianza awamu ya 5 na unaendelea..
Tena kama wewe ndo jitu senge lisilokuwa na akili mabishano yako hayanaga mantiki! Sasa kwenye ukarabati huo wa meli inahusika vipi awamu ya tano! Lengo kulamba matako ya watawala bila kusema ukweli!
 
Ni mwendo wa billions tu🙃
Kwa tuliopanda MV kazi kabla na baada ya kukarabatiwa hiyo MV kazi wamefunga injini mpya🧐
Ndo maana wameikalisha sana songoro marine at least tuone value ya hizo billions ushuzi.
Mungu ibariki Tanzania.
 
Daaah tuna raisi dhaifu sanaaa na bado tutasikia na tutaona mengi sanaaa
Ila unaweza kuja kusikia report ya CAG haioneshi chechote ili kuwahadaa wanachi kwamba serkali ya awamu ya sita inafanya vizuri kwenye usimamizi wa fedha!
Maana lengo lao ni kuonesha wanafanya vizuri ilimradi kuwajaza ujinga wananchi!
 
We jamaa ni mse.. ge San huna aibu.
Hupati Ata uteuzi[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom