Haiwezekani kivuko kilichoghraimu bil 7.3 kukarabatiwa kwa bil 4.4

Haiwezekani kivuko kilichoghraimu bil 7.3 kukarabatiwa kwa bil 4.4

Kwamba mwanzo ilikuwa njia 2 na now ni njia 2? Au logic yako ni nn
militegemea ingejengwa kama ilivyo kama siyo siasa. ule ulikuwa ni mpango wa kipuuzi kutoka kwa mpuuzi ulioshangiliwa na wapuuzi kwani ilikuja kubomolewa baada ya muda mfupi chini ya raisi mpuuzi aliyejiita mzalendo akiwahadaa wapuuzi. mpango wa kujenga barabara za dart aliujua tangu akiwa waziri wa barabara
 
militegemea ingejengwa kama ilivyo kama siyo siasa. ule ulikuwa ni mpango wa kipuuzi kutoka kwa mpuuzi ulioshangiliwa na wapuuzi kwani ilikuja kubomolewa baada ya muda mfupi chini ya raisi mpuuzi aliyejiita mzalendo akiwahadaa wapuuzi. mpango wa kujenga barabara za dart aliujua tangu akiwa waziri wa barabara

Kwanza Tumia lugha mzuri
Uwezi kumwita Rais wa inchi yako ni mpuuzi

Wakati kalamu yake nyekundu alitumia vema kukufanya ww upumue Hadi Leo,

Sasa ulitaka tukae kwenye road mbovu mpaka mradi ujengwe?

Mbona Posta wamevunja stendi zao wenyewe za mwendo kasi kupisha barabara nyingine ya mwendokasi je na hapo unaseje?

Shida ya wabongo ni kujiona mnaaakili nyingi na maarifa mengi kuliko viongozi wenu
 
Kwanza Tumia lugha mzuri
Uwezi kumwita Rais wa inchi yako ni mpuuzi

Wakati kalamu yake nyekundu alitumia vema kukufanya ww upumue Hadi Leo,

Sasa ulitaka tukae kwenye road mbovu mpaka mradi ujengwe?

Mbona Posta wamevunja stendi zao wenyewe za mwendo kasi kupisha barabara nyingine ya mwendokasi je na hapo unaseje?

Shida ya wabongo ni kujiona mnaaakili nyingi na maarifa mengi kuliko viongozi wenu
VIONGOZI SIYO MALAIKA HATA VICHAA HUWA VIONGOZI. KWANI ULISHASIKIA CHUO KIKUU CHA VICHAA. VICHAA WANAOFAULU MITIHANI HUSOMA WAPI BAADA YA KUFAULU
 
VIONGOZI SIYO MALAIKA HATA VICHAA HUWA VIONGOZI. KWANI ULISHASIKIA CHUO KIKUU CHA VICHAA. VICHAA WANAOFAULU MITIHANI HUSOMA WAPI BAADA YA KUFAULU

Usimwite Rais wako kichaa
Sio ujanja,

Ongea hoja, Lete hoja, tushindane Kwa hoja,
 
Back
Top Bottom