ndio maana mim nikionaga material ktk ujenzi wa serikali yanazubaa zubaa napitaga navyo tu wote tugawane nchi wasiwe wanakula peke yao, mwaka jana niliiba misumari gunia mbili yote ilikuwa ya nchi mbili, mwaka huo huo niliwapa madogo pesa wakaiba nondo roller 30 za MM 16, nikaiba na saruji kadhaa, na kuna motor ya kuchania mbao ya 3phase nailia timing wao wanatumia kuchania mbao ktk mradi wao wa daraja.
N.B mimi sio mwizi ila upigaji huu wa hawa viongozi wetu wangese ndio unaonisukuma, kwanin waibe peke yao. walijenga daraja la miti uko kilombero wakasema limegharimu 31million.
jaman hii nchi tule wote punguzeni uzarendo mazee