Haiwezekani kivuko kilichoghraimu bil 7.3 kukarabatiwa kwa bil 4.4

Haiwezekani kivuko kilichoghraimu bil 7.3 kukarabatiwa kwa bil 4.4

Tena kama wewe ndo jitu senge lisilokuwa na akili mabishano yako hayanaga mantiki! Sasa kwenye ukarabati huo wa meli inahusika vipi awamu ya tano! Lengo kulamba matako ya watawala bila kusema ukweli!
Awamu ya 5 ilikuwa na majizi sana yaliyotengeneza vitu substandard kama meli hii ndio maana imeharibika mda mfupi Kwa vile ilikuwa fake..
 
Miradi Mingi ya Mwendazake ilikuwa substandard.

Mv Mbeya ilijengwa kama meli mpya baada ya mwezi ikapaki ikafanyiwa ukaranati miezi Kwa mabilioni..

Huu upuuzi ulianza awamu ya 5 na unaendelea..

Kuna kipindi ilinunuliwa MV DAR-ES_SALAAM kwa fedha tathlimu Bilioni 8(Nadhani wote mnamjua aliyenunua) na pia Bakhresa alinunua meli pia ya bilioni 4 lakini cha kushangaza Meli ya Bakhresa yenye thamani ndogo ilikuwa ni ya kisasa,nzuri(Luxury) na ina speed ya hatari lakini MV DSM ya bil 8 ilikuwa ya kizamani haina mvuto halafu inatembea mwendo wa Kobe ilipiga test chache na ikafa.
 
Ndio maana wengine wanakataa tusikope na tozo sababu wanaona upigaji umezidi na wapigaji wakubwa hawachukuliwi hatua.

Mikopo na tozo vinaishia kwa wapigaji inakua kama kujaza maji kwenye pipa lililo na tundu kubwa.

Na upande wa mikopo unakuza deni la Taifa ambalo watanzania wote mpaka vijijini wanalilipia.

Mama anapambana kuibrand nchi na kukopesheka na uwekezaji lakini kuna wachache wanaturudisha nyuma.
 
Pesa za umma zinaliwa huku wananchi wakiteswa na tozo.

View attachment 2479521

==
Ujenzi wa kivuko cha Mv Kazi uligharimu Sh7.3 bilioni na kina uwezo wa kubeba abiria 800 na magari 22 sawa na jumla ya tani 170.

Kupitia Ukurasa wa twitter wa TEMESA wamesema Kivuko cha MV. KAZI kimerejea rasmi katika eneo la Magogoni Kigamboni kwa ajili ya kutoa huduma baada ya kukamilika kwa ukarabati wake mkubwa uliogharimu kiasi cha shilingi Bilioni 4.4. Kivuko hicho kiliondolewa kwenye maji baada ya kufikia muda wake wa ukarabati mkubwa.

Kilianza rasmi kukarabatiwa mwezi Juni mwaka 2022 na mkandarasi Songoro Marine Transport Boatyard katika Yadi yake iliyopo Kigamboni jijini Dar es Salaam. Katika Mpango wa Maendeleo wa Miaka Mitano (5) 2020-2025,

Serikali inayoongozwa na Rais Dr. Samia Suluhu Hassan ilitoa ahadi mbalimbali kwa wananchi ikiwemo kuboresha huduma za vivuko hapa nchini ili kuwapunguzia wananchi kero za usafiri wanazopata katika maeneo mbalimbali kupitia Wizara mbalimbalina kupitia Wizara ya Ujenzi, Serikali imeanza kutekeleza ahadi hizo kwa kuanza kuvifanyia ukarabati vivuko hivyo.
Si bora wengenunua tu kingine
 
KUONGEZA SIFURI NDIYO ZETU,NYIE MNATAKA TUISHIJE [emoji1]
alisikika wakisema watu fulani

Ova
 
Sasa kinachowaliza ni kitu gani wkt mlilia na wengine mkaomba na kukesha ili mungu wenu aamue ugomvi?.

Yaani bado naendelea kujifunza tabia za binadamu!.
Badala ya kumuomba Mungu awaondolee matatizo yao sugu ambavyo ni vikwazo vya maendeleo, wao wameomba Mungu aingilie ugomvi wao na kuwapa wao ushindi.

Watanzania kweli watu wa ajabu.
 
Mim nauliza iweje zile Tv haziwaki na ili hali zimewekwa pale au mbov?
By the way angalau sasa kana sipidi sipidi .TV ZILE ZIWAKE TUPATE RAHA
 
Pesa za umma zinaliwa huku wananchi wakiteswa na tozo.

View attachment 2479521

==
Ujenzi wa kivuko cha Mv Kazi uligharimu Sh7.3 bilioni na kina uwezo wa kubeba abiria 800 na magari 22 sawa na jumla ya tani 170.

Kupitia Ukurasa wa twitter wa TEMESA wamesema Kivuko cha MV. KAZI kimerejea rasmi katika eneo la Magogoni Kigamboni kwa ajili ya kutoa huduma baada ya kukamilika kwa ukarabati wake mkubwa uliogharimu kiasi cha shilingi Bilioni 4.4. Kivuko hicho kiliondolewa kwenye maji baada ya kufikia muda wake wa ukarabati mkubwa.

Kilianza rasmi kukarabatiwa mwezi Juni mwaka 2022 na mkandarasi Songoro Marine Transport Boatyard katika Yadi yake iliyopo Kigamboni jijini Dar es Salaam. Katika Mpango wa Maendeleo wa Miaka Mitano (5) 2020-2025,

Serikali inayoongozwa na Rais Dr. Samia Suluhu Hassan ilitoa ahadi mbalimbali kwa wananchi ikiwemo kuboresha huduma za vivuko hapa nchini ili kuwapunguzia wananchi kero za usafiri wanazopata katika maeneo mbalimbali kupitia Wizara mbalimbalina kupitia Wizara ya Ujenzi, Serikali imeanza kutekeleza ahadi hizo kwa kuanza kuvifanyia ukarabati vivuko hivyo.
WIZI MTUPU Kumbuka Uchaguzi 2025 Makusanyo ya FEDHA za KAMPENI yameanza MAMA ANAKOPA wajanja Wanazipiga KIULAINI KABISA
 
Nilinunua tv Samsung 2012 kwa tsh 650000,siku chache baadae nikapasua kioo,kwenda kuuliza Bei kioo ilikua 450000,nikajiuliza ninunue kioo au niongezee pesa ninunue mpya,kwenye kivuko hapo ni heri tungepekua zaidi hizo gharama Kama walivyoainisha wao,kivuko Cha juzi tu kwa nini kifanyiwe ukarabati!?..Pana jambo
kiwapi kivuko/meli ys mv bagamoyo tuanzie hapa kuhoji ukweli. ni mlili ya mv bagamoyo
 
Mnatupigia kelele , uchaguzi ukija mnaionea haya CCM. Ngoja waibe na kukopa sana maana nchi haina mwenyewe.
 
Hakuna wakati ufisadi ulishawahi kuisha kwenye uongozi/ awamu yeyote ile. kilichopo kwa mpandisha uzi ni nongwa na kutaka kuonekana ana uchungu na nchi kumbe amepigwa tu na kitu kizito hapo 17/3/2021
ununuzi wa ndege chini ya chini ya chizi magufuli ulikuwa nn kama siyo ufisadi?

ujenzi wa uwanja wa ndege wa chato ilikuwa nn kama siyo ufisadi?

sukuma gaaang kaeni kwa kutulia watu washamaliza kazi
matusi ruksa


tumia tu akili yako ndogo hata ya kuvukia barabara

pikipiki uliyonunua kwa milion 1 service kubwa yake iwe laki saba

sasa si bora tungeongeza laki tatu tupate kingine kipyaaa?
 
Miradi Mingi ya Mwendazake ilikuwa substandard.

Mv Mbeya ilijengwa kama meli mpya baada ya mwezi ikapaki ikafanyiwa ukaranati miezi Kwa mabilioni..

Huu upuuzi ulianza awamu ya 5 na unaendelea..

unavyoongea ni kama awamu ya tanu na awamu ya sita ni watu tofauti ha ha ha

watu ni wale tofauti ni wamehama room za office tu
 
Awamu ya 5 ilikuwa na majizi sana yaliyotengeneza vitu substandard kama meli hii ndio maana imeharibika mda mfupi Kwa vile ilikuwa fake..

hapo ujue unamsema mama samia ambae alikuwa makamu wa rais na unamsema waziri wa fedha mpango ambae ni makamu wa rais kwa sasa
 
Pesa za umma zinaliwa huku wananchi wakiteswa na tozo.

View attachment 2479521

==
Ujenzi wa kivuko cha Mv Kazi uligharimu Sh7.3 bilioni na kina uwezo wa kubeba abiria 800 na magari 22 sawa na jumla ya tani 170.

Kupitia Ukurasa wa twitter wa TEMESA wamesema Kivuko cha MV. KAZI kimerejea rasmi katika eneo la Magogoni Kigamboni kwa ajili ya kutoa huduma baada ya kukamilika kwa ukarabati wake mkubwa uliogharimu kiasi cha shilingi Bilioni 4.4. Kivuko hicho kiliondolewa kwenye maji baada ya kufikia muda wake wa ukarabati mkubwa.

Kilianza rasmi kukarabatiwa mwezi Juni mwaka 2022 na mkandarasi Songoro Marine Transport Boatyard katika Yadi yake iliyopo Kigamboni jijini Dar es Salaam. Katika Mpango wa Maendeleo wa Miaka Mitano (5) 2020-2025,

Serikali inayoongozwa na Rais Dr. Samia Suluhu Hassan ilitoa ahadi mbalimbali kwa wananchi ikiwemo kuboresha huduma za vivuko hapa nchini ili kuwapunguzia wananchi kero za usafiri wanazopata katika maeneo mbalimbali kupitia Wizara mbalimbalina kupitia Wizara ya Ujenzi, Serikali imeanza kutekeleza ahadi hizo kwa kuanza kuvifanyia ukarabati vivuko hivyo.
Ukisikia Tanzania CCM basi ndivyo tunavyokwenda nayo. Hawa wapigaji Magu tu ndio aliwasomea
 
tumia tu akili yako ndogo hata ya kuvukia barabara

pikipiki uliyonunua kwa milion 1 service kubwa yake iwe laki saba

sasa si bora tungeongeza laki tatu tupate kingine kipyaaa?
miradi bubu ya wazalebdo
 
Back
Top Bottom