The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,436
- 10,944
Awamu ya 5 ilikuwa na majizi sana yaliyotengeneza vitu substandard kama meli hii ndio maana imeharibika mda mfupi Kwa vile ilikuwa fake..Tena kama wewe ndo jitu senge lisilokuwa na akili mabishano yako hayanaga mantiki! Sasa kwenye ukarabati huo wa meli inahusika vipi awamu ya tano! Lengo kulamba matako ya watawala bila kusema ukweli!
Sindano imekuingia acha kushabikia ujinga! Hata awamu ya tano ilikuwa na manyanga kibao ila isiwe visingizio cha serikali ya awamu ya sita kukwepa kuikosoa!Hasira za nini yakhee kama umeshikwa tako veepe?
Miradi Mingi ya Mwendazake ilikuwa substandard.
Mv Mbeya ilijengwa kama meli mpya baada ya mwezi ikapaki ikafanyiwa ukaranati miezi Kwa mabilioni..
Huu upuuzi ulianza awamu ya 5 na unaendelea..
Si bora wengenunua tu kinginePesa za umma zinaliwa huku wananchi wakiteswa na tozo.
View attachment 2479521
==
Ujenzi wa kivuko cha Mv Kazi uligharimu Sh7.3 bilioni na kina uwezo wa kubeba abiria 800 na magari 22 sawa na jumla ya tani 170.
Kupitia Ukurasa wa twitter wa TEMESA wamesema Kivuko cha MV. KAZI kimerejea rasmi katika eneo la Magogoni Kigamboni kwa ajili ya kutoa huduma baada ya kukamilika kwa ukarabati wake mkubwa uliogharimu kiasi cha shilingi Bilioni 4.4. Kivuko hicho kiliondolewa kwenye maji baada ya kufikia muda wake wa ukarabati mkubwa.
Kilianza rasmi kukarabatiwa mwezi Juni mwaka 2022 na mkandarasi Songoro Marine Transport Boatyard katika Yadi yake iliyopo Kigamboni jijini Dar es Salaam. Katika Mpango wa Maendeleo wa Miaka Mitano (5) 2020-2025,
Serikali inayoongozwa na Rais Dr. Samia Suluhu Hassan ilitoa ahadi mbalimbali kwa wananchi ikiwemo kuboresha huduma za vivuko hapa nchini ili kuwapunguzia wananchi kero za usafiri wanazopata katika maeneo mbalimbali kupitia Wizara mbalimbalina kupitia Wizara ya Ujenzi, Serikali imeanza kutekeleza ahadi hizo kwa kuanza kuvifanyia ukarabati vivuko hivyo.
Badala ya kumuomba Mungu awaondolee matatizo yao sugu ambavyo ni vikwazo vya maendeleo, wao wameomba Mungu aingilie ugomvi wao na kuwapa wao ushindi.Sasa kinachowaliza ni kitu gani wkt mlilia na wengine mkaomba na kukesha ili mungu wenu aamue ugomvi?.
Yaani bado naendelea kujifunza tabia za binadamu!.
Kwa kwel hii yankuvuka na magari ije itizamwe .sea tax ndio napendekeza zije kubwa zake.kuna wat hawazimag magar wanajifungia nawachekigii wanavotutolea jotoImeisha hiyo ,hao abiria 800 wanakaaje humo au wanatupiga fix?
WIZI MTUPU Kumbuka Uchaguzi 2025 Makusanyo ya FEDHA za KAMPENI yameanza MAMA ANAKOPA wajanja Wanazipiga KIULAINI KABISAPesa za umma zinaliwa huku wananchi wakiteswa na tozo.
View attachment 2479521
==
Ujenzi wa kivuko cha Mv Kazi uligharimu Sh7.3 bilioni na kina uwezo wa kubeba abiria 800 na magari 22 sawa na jumla ya tani 170.
Kupitia Ukurasa wa twitter wa TEMESA wamesema Kivuko cha MV. KAZI kimerejea rasmi katika eneo la Magogoni Kigamboni kwa ajili ya kutoa huduma baada ya kukamilika kwa ukarabati wake mkubwa uliogharimu kiasi cha shilingi Bilioni 4.4. Kivuko hicho kiliondolewa kwenye maji baada ya kufikia muda wake wa ukarabati mkubwa.
Kilianza rasmi kukarabatiwa mwezi Juni mwaka 2022 na mkandarasi Songoro Marine Transport Boatyard katika Yadi yake iliyopo Kigamboni jijini Dar es Salaam. Katika Mpango wa Maendeleo wa Miaka Mitano (5) 2020-2025,
Serikali inayoongozwa na Rais Dr. Samia Suluhu Hassan ilitoa ahadi mbalimbali kwa wananchi ikiwemo kuboresha huduma za vivuko hapa nchini ili kuwapunguzia wananchi kero za usafiri wanazopata katika maeneo mbalimbali kupitia Wizara mbalimbalina kupitia Wizara ya Ujenzi, Serikali imeanza kutekeleza ahadi hizo kwa kuanza kuvifanyia ukarabati vivuko hivyo.
kiwapi kivuko/meli ys mv bagamoyo tuanzie hapa kuhoji ukweli. ni mlili ya mv bagamoyoNilinunua tv Samsung 2012 kwa tsh 650000,siku chache baadae nikapasua kioo,kwenda kuuliza Bei kioo ilikua 450000,nikajiuliza ninunue kioo au niongezee pesa ninunue mpya,kwenye kivuko hapo ni heri tungepekua zaidi hizo gharama Kama walivyoainisha wao,kivuko Cha juzi tu kwa nini kifanyiwe ukarabati!?..Pana jambo
Hakuna wakati ufisadi ulishawahi kuisha kwenye uongozi/ awamu yeyote ile. kilichopo kwa mpandisha uzi ni nongwa na kutaka kuonekana ana uchungu na nchi kumbe amepigwa tu na kitu kizito hapo 17/3/2021
ununuzi wa ndege chini ya chini ya chizi magufuli ulikuwa nn kama siyo ufisadi?
ujenzi wa uwanja wa ndege wa chato ilikuwa nn kama siyo ufisadi?
sukuma gaaang kaeni kwa kutulia watu washamaliza kazi
matusi ruksa
Miradi Mingi ya Mwendazake ilikuwa substandard.
Mv Mbeya ilijengwa kama meli mpya baada ya mwezi ikapaki ikafanyiwa ukaranati miezi Kwa mabilioni..
Huu upuuzi ulianza awamu ya 5 na unaendelea..
Awamu ya 5 ilikuwa na majizi sana yaliyotengeneza vitu substandard kama meli hii ndio maana imeharibika mda mfupi Kwa vile ilikuwa fake..
Ukisikia Tanzania CCM basi ndivyo tunavyokwenda nayo. Hawa wapigaji Magu tu ndio aliwasomeaPesa za umma zinaliwa huku wananchi wakiteswa na tozo.
View attachment 2479521
==
Ujenzi wa kivuko cha Mv Kazi uligharimu Sh7.3 bilioni na kina uwezo wa kubeba abiria 800 na magari 22 sawa na jumla ya tani 170.
Kupitia Ukurasa wa twitter wa TEMESA wamesema Kivuko cha MV. KAZI kimerejea rasmi katika eneo la Magogoni Kigamboni kwa ajili ya kutoa huduma baada ya kukamilika kwa ukarabati wake mkubwa uliogharimu kiasi cha shilingi Bilioni 4.4. Kivuko hicho kiliondolewa kwenye maji baada ya kufikia muda wake wa ukarabati mkubwa.
Kilianza rasmi kukarabatiwa mwezi Juni mwaka 2022 na mkandarasi Songoro Marine Transport Boatyard katika Yadi yake iliyopo Kigamboni jijini Dar es Salaam. Katika Mpango wa Maendeleo wa Miaka Mitano (5) 2020-2025,
Serikali inayoongozwa na Rais Dr. Samia Suluhu Hassan ilitoa ahadi mbalimbali kwa wananchi ikiwemo kuboresha huduma za vivuko hapa nchini ili kuwapunguzia wananchi kero za usafiri wanazopata katika maeneo mbalimbali kupitia Wizara mbalimbalina kupitia Wizara ya Ujenzi, Serikali imeanza kutekeleza ahadi hizo kwa kuanza kuvifanyia ukarabati vivuko hivyo.
miradi bubu ya wazalebdotumia tu akili yako ndogo hata ya kuvukia barabara
pikipiki uliyonunua kwa milion 1 service kubwa yake iwe laki saba
sasa si bora tungeongeza laki tatu tupate kingine kipyaaa?
miradi bubu ya wazalebdu