Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
- #241
Mungu ni mjuzi wa yaliyopita na yajayo. Anajua matendo watakayotenda viumbe wake kabla hata ya kuwaumba.
Wanaadamu na majini wameumbwa ndani yao wakiwa na Roho na Nafsi. Nafsi ndio mimi na wewe....hii nafsi imepewa uchaguzi wa kutenda iwe mema au mabaya, kuamini au kukufuru.
Mungu alichofanya ni kuibainishia nafsi matendo mabaya na mazuri kisha akaipa uhuru wa kuchagua inataka kufata kipi ila akaionya kuwa katika kila chaguzi mwisho wake itakutana na pepo ama moto.
So mwanadamu na jini wana haki ya kutenda wanalolitaka ila mwisho watalipwa kwa yale waliyoyachagua.
Mwanadamu na Majini wamepewa uhuru wa kuchagua mema na Mabaya.
Lakini Mungu anajua hatma ya kila mmoja wao.
Yaani Mungu anajua wewe utachagua mabaya na utakuwa Mbaya.
Huoni maelezo haya ndio yanadhihirisha nilichoandika kwenye mada kuwa Mungu ndiye Shetani.
Hata vile kusema Mungu ni mjuzi WA yote inagongelea msumari kuwa Mungu ndiye Shetani.
Ukisema ujuzi wa yote unamaanisha mabaya na Mema, yawazi na yasirini.
Chanzo cha yote
Yaani maelezo yako yanafungua Watu zaidi ya nilivyo eleza