Haji ameanza matusi yake ya reja reja kwetu Yanga. Anaona sisi hatuna akili?

Jamaa anaongeaga maneno ya shombo aisee duuh!

Sijui anajisikiaje baada ya Simba kuifunga Yanga!
 
Kwa hiyo wenye akili huko uto wameongezeka sasa sio wawili tena ni watatu?
 
Reactions: Tui
Huyu dogo ni sawa tu na Zitto Kabwe kwenye siasa, cha kuchekesha zaidi wote ni Waha (mazwazwa wa Kigoma). Hawa watu ni wanafiki na waze wa kucheza na fursa, Manara hana issue yeyote na anafifia sasa baada ya watu kumgundua kuwa ni mpuuzi tu na ndiyo maana kila kukicha anakuja na vimbwanga vipya ili watu wamzungumzie. Huyu ni wa kumpuuza tu kama anavyopuuzwa Zitto na wenzake serikalini baada ya kumgundua kuwa ni mnafiki.
 
Kumbe wewe nu mtoto wa pwani
 
Polimi Lai FC[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]ila watu wa Kigoma ni wanafkiiiii daah
 
Tangu lini chizi akawa na akili?
 
Ndo maana ake, na alishasema kule wenye akili ni wawili tyuuh, ina maana sahivi kajiongeza na yeye, ko wako wa 3, ila manara mjanja lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…