Haji ameanza matusi yake ya reja reja kwetu Yanga. Anaona sisi hatuna akili?

Haji Manara bwege tu hata yeye ameongea tambo za kijinga tu kabla ya mechi hiyo
Haji anajona yeye ndiyo kila kitu Yanga kwa sasa,na ni kama anathibitisha kuwa kweli Yanga wenye akili ni watatu tu kwa sasa,yeye, Baba yake na JK. Huyu Haji yuko Yanga kupiga hela tu kama chawa wa Ghalib,hana mapenzi ya dhati na Yanga, huyu hata mechi ya juzi amefurahi Sana sana Yanga kupasuliwa na Simba. Na siku wana Yanga fahamu zikawarudia na kubaini ukweli wa Haji Manara watamgawana.
 
Ile timu ina viongozi wa hovyohovyo . Sema tu ni kwa vile hata Mashabiki wao nao ni mazezeta huwa hawawezi kutofatisha q na p ndiyo Maana bado wapo.

Ngoja tu Manara awachane Maana pale Yanga yeye Manara , baba yake na Kikwete ndio wenye unafuu kidogo kubaini mambo.
 
Ndo maana ake, na alishasema kule wenye akili ni wawili tyuuh, ina maana sahivi kajiongeza na yeye, ko wako wa 3, ila manara mjanja lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kesha jitoa kwenye orodha ya utopolo lia lia. Maana yake hata yeye siyo miongoni mwa wale wala mihogo wapiga kelele!!
 
Naunga mkono hoja, kama mpaka Rais wa klabu alitiwa hatiani na TFF pamoja na huyo Manara mwishowe wakaokolewa kijanja janja, sioni kitu pale utopolo.

Sent from my SAMSUNG-SM-G900A using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sope anaponiacha hoi, vimaneno maneno sijui huwaa anavitoa wapi??

Polimi lai. Khaaah
Yule mswahili afu mswahili tenaaa[emoji2][emoji2][emoji2][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mkuu si kitambo aliwaambie nyie ni wakina Charlie champline wote kasoro baba yake na mzee kikwete
 
Yule mswahili afu mswahili tenaaa[emoji2][emoji2][emoji2][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] simuweziii kabisaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…