SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Haji anajona yeye ndiyo kila kitu Yanga kwa sasa,na ni kama anathibitisha kuwa kweli Yanga wenye akili ni watatu tu kwa sasa,yeye, Baba yake na JK. Huyu Haji yuko Yanga kupiga hela tu kama chawa wa Ghalib,hana mapenzi ya dhati na Yanga, huyu hata mechi ya juzi amefurahi Sana sana Yanga kupasuliwa na Simba. Na siku wana Yanga fahamu zikawarudia na kubaini ukweli wa Haji Manara watamgawana.Haji Manara bwege tu hata yeye ameongea tambo za kijinga tu kabla ya mechi hiyo
Wacha wapasuane tuGombaneni tu na ndiyo Furaha yetu.
They call it tampe,the ruguluu shashi..Et ulisema kuwa wewe' Ni mwanachama Mzuri wa mboga mboga za marasta? Waweze kulezea angalau' hii na skia za arusha' cjui za South' hapo bongo huwa wanaanisha nn??
Je inajua maana ya tusi la nguoni?mf ukimuuliza mtu unamjua baba yangu ?anaujibu muulize mama yako anayo majibu,au upo katikati ya wanaume unajinwambafai mwanaume ni Mimi tu.kwako wewe hilo ni tusi,?
Kesha jitoa kwenye orodha ya utopolo lia lia. Maana yake hata yeye siyo miongoni mwa wale wala mihogo wapiga kelele!!Ndo maana ake, na alishasema kule wenye akili ni wawili tyuuh, ina maana sahivi kajiongeza na yeye, ko wako wa 3, ila manara mjanja lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Naunga mkono hoja, kama mpaka Rais wa klabu alitiwa hatiani na TFF pamoja na huyo Manara mwishowe wakaokolewa kijanja janja, sioni kitu pale utopolo.Ile timu ina viongozi wa hovyohovyo . Sema tu ni kwa vile hata Mashabiki wao nao ni mazezeta huwa hawawezi kutofatisha q na p ndiyo Maana bado wapo.
Ngoja tu Manara awachane Maana pale Yanga yeye Manara , baba yake na Kikwete ndio wenye unafuu kidogo kubaini mambo. View attachment 2592575
Ghafla sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kheeeeh huyu sope mmeshamchoka mapema yotee hii?? Uwiiiih
Yule mswahili afu mswahili tenaaa[emoji2][emoji2][emoji2][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sope anaponiacha hoi, vimaneno maneno sijui huwaa anavitoa wapi??
Polimi lai. Khaaah
Na Mzee MpiliNa GSM pia. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu si kitambo aliwaambie nyie ni wakina Charlie champline wote kasoro baba yake na mzee kikweteAnasemaje mwenzenu mimi nina akili? Maana yake yeye kutoka Simba ndo amekuja na akili? Mjinga sana huyu jamaa. Ametukuta Yanga asitupangie nini cha kusema na kufanya.
Halafu anawaambia watu pembeni kuwa wenye akili Yanga wamekuwa watatu. Hizo habari tunazipata. Anafanya juhudi sana kuwa underestimate wenzie akina Priva na Kamwe. Anawadharau sana na kuwaona hawana akili isipokuwa yeye tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] afu kweliNa Mzee Mpili
Yaan [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ghafla sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] simuweziii kabisaaaYule mswahili afu mswahili tenaaa[emoji2][emoji2][emoji2][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweliKesha jitoa kwenye orodha ya utopolo lia lia. Maana yake hata yeye siyo miongoni mwa wale wala mihogo wapiga kelele!!