Haji Manara acha Dharau na Dhihaka kwa Ali Kamwe kwani hata Kitaaluma tu kakuacha mbali mno na Yanga SC imefaidika nae 'Kibrandi' kuliko ulivyokuwepo

Press yake ya leo sijaelewa anataka kutuma ujumbe gani?
Yeye mwenyewe hajui anataka nini. Manara ni kama mwanamke anayedhani kuwa ni mzuri na anapendwa na kila mtu kumbe watu wanamchora tu. Anajiona ni mkubwa sana kwamba mpira unamuhitaji sana yeye hii ndio shida yake. Manara anatumia hizi team kubwa sio kwa manufaa ya team tu ila maslahi yake zaidi.
 
Makolo a.k.a nguruwe FC kuwajua rahisi sana..!!

CC Mtoto halali na hela
 
Magoma katuambia kuwa Haji Manara akilewa pombe huanguka kwenye mchanga halafu masela wanajisevia. Yanga hatutaki shoga. Kaa mbali kwa utulivu
 
Sina jambo...utopolo fc..akili mbili fc...vyura fc...magoma fc..u hali gani huko uliko?
Huku niliko nipo salama, HOFU KWAKO ULIYE MBALI NA UPEO WA MACHO YANGU. NIA NA MADHUMUNI YA UJUMBE HUU ni kukupa hongera kwa ushindi wa Magoma cup. Maana ndo furaha yenu
 
Umejiandaaje na tarehe 8, huku ukizingatia kilichotokea tarehe 5?
Malimbukeni ndo huwa wana keep rekodi kwa sbb kwao ilikua ni ndoto ya muda mrf...nachokwambia mtani trh 8 mtahama humu jukwaani...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…