Haji Manara afungiwa kujihusisha na mpira ndani na nje ya nchi kwa Miaka 2. Atakiwa pia kulipa faini Tsh milioni 20

Haji Manara afungiwa kujihusisha na mpira ndani na nje ya nchi kwa Miaka 2. Atakiwa pia kulipa faini Tsh milioni 20

Mhhhhhh!!!! Hiv ntu anaweza kuhama timu labda kuacha kuifuatilia kwa muda fulani.... Njaaa bwana hata mwenyewe ningekuwa mànara ningemwaga mijineno, mbele ya bosi Tena....
 
Tena alikuwa ni mhamasishaji wa GSM! Maana Afisa Habari wa Yanga anafahamika fika ni Hassan Bumbuli.
Tatizo Haji Manara alimfunika kabisa Bumbuli ndiyo maana naye kajibu mapigo. Haji mwenyewe anasema siku ile alijua anamsalimia Karia kumbe alikuwa anampaka, sakizi siyo uchawi wa kitoto,ukishahafibu ndiyo akili zinakurudia.
 
Don't save her
She don't wanna be saved
Don't save her
She don't wanna be saved
Don't save her
She don't wanna be saved
Don't save her
She don't wanna be saved
[emoji444][emoji445]
 
Nilipoanzisha Uzi mapema leo nikiwa na uhakika wa 100% kuwa Haji Manara Wapumbavu kama akina sky soldier walinipinga na kuna wengine walitamani isiwe kama nilivyotabiri ili waje Wanishambulie na Wanicheke kuwa nimechemka.

MImi ndiyo GENTAMYCINE 'Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer' JamiiForums nzima na nimebarikiwa vingi na Mwenyezi Mungu.

Akhsante Mwenyezi Mungu kwa Tunu.
Umeleta hukumu ya manara lakini hujaletea
1. Chanzo cha habari yako
2. Kamati ilikaa lini
3. Maneno ya Haji kumsea karia,je akaria aliongea nini hata Haji akamkosea Heshima?

Habari yako haijakamilika ,usijisifie tu.
 
Baada ya hapo huyo apuuuzwe kila atalofanya mpaka adhabu iishe.
 
Msemaji wa Yanga, Haji Manara amefungiwa kujihusisha na mpira ndani na nje ya nchi kwa muda wa miaka 2 na kupigwa faini ya Tsh milioni 20

Manara amekumbwa na adhabu hiyo kutokana na sakata lake na Mwenyekiti wa TFF
View attachment 2298517
====

Kamati ya Maadili ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limemfungia Msemaji Klabu ya Yanga, Haji Manara kujihusisha na mpira ndani na nje ya nchi kwa muda wa miaka 2 na kupigwa faini ya Tsh. milioni 20

Amekutwa na hati kwa makosa ya kumvunjia heshima Rais wa TFF, Wallace Karia kwenye fainali ya ASFC kati ya Yanga na Coastal Jijini Arusha
View attachment 2298509
Nikiwa mpenzi wa mpira na mpenzi wa klabu bingwa Tanzania, Dar Young African!nimefurahishwa sana na hii adhabu!sikuwahi kumkubali tangu akiwa makolo FC na sasa Yanga!!mimi ni muumini wa soka/utani wa kistaarabu na uungwana!!haiwezekani mtu anatukana wenzie,akiguswa tu anakimbilia anaonewa!!mtu hataki watu waikosoe club anayoifanyia kazi na matokeo yake wachambuzi wengi wanaogopa kuikokosoa Yanga kwa kuogopa manara atawararua katika ukurasa wake!!mambo ya ovyo sana haya!!ngoja akae benchi ajifunze weledi kazini!
 
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha

Kicheko cha Bumbuli chooni, polenii sana wanajangwani, kwa hiyo hatatambulisha wachezaji siku ya mwananchi?
Sio huyo tu, hata Jemedari, Nugaz na Prisca Kishamba huko waliko wanacheeeeeka!.
Rais Karia kanywa Juice zake za msamaha zikasaidia kupunguza adhabu stahiki toka 5 yrs hadi kifungo cha miaka 2
 
Back
Top Bottom