Haji Manara afungiwa kujihusisha na mpira ndani na nje ya nchi kwa Miaka 2. Atakiwa pia kulipa faini Tsh milioni 20

Haji Manara afungiwa kujihusisha na mpira ndani na nje ya nchi kwa Miaka 2. Atakiwa pia kulipa faini Tsh milioni 20

Nikiwa mpenzi wa mpira na mpenzi wa klabu bingwa Tanzania, Dar Young African!nimefurahishwa sana na hii adhabu!sikuwahi kumkubali tangu akiwa makolo FC na sasa Yanga!!mimi ni muumini wa soka/utani wa kistaarabu na uungwana!!haiwezekani mtu anatukana wenzie,akiguswa tu anakimbilia anaonewa!!mtu hataki watu waikosoe club anayoifanyia kazi na matokeo yake wachambuzi wengi wanaogopa kuikokosoa Yanga kwa kuogopa manara atawararua katika ukurasa wake!!mambo ya ovyo sana haya!!ngoja akae benchi ajifunze weledi kazini!
Ila "makolo" alilowabatiza Simba unaliimba kikasuku! Acha kujichanganya.
 
Hatari kwelikweli wapi kwa kosa lile alitakiwa kufungiwa maisha, walianza kwa kupunguza adhabu ya wale maafisa wa Mbeya Kwanza ili Haji akipewa adhabu ndogo watu wasihoji na hapo watamwambia akate rufaa ili upunguzwe zaidi.
Kweli kabisa. Ile ilikuwa "calculated move" kuwaandaa wadau wa soka kwa hiki kilichotokea.
 
Hiyo ni kazi ya Maulid Kitenge na Zembwela, huyo Manara wamchukuwe GSM akasimamie maroli yao.
Yanga walikosea kumpa huyo mtu nafasi na ametoka nje ya Yanga,wakati wazalendo kama kina kitenge hawapewi hiyo nafasi.
 
Katika utetezi wake kwenye hilo shauri alisikika akisema mbele ya kamati kua haikua akili yake alitumia cannabis iliyosindikwa
20220721_152525.jpg
 
Msemaji wa Yanga, Haji Manara amefungiwa kujihusisha na mpira ndani na nje ya nchi kwa muda wa miaka 2 na kupigwa faini ya Tsh milioni 20

Manara amekumbwa na adhabu hiyo kutokana na sakata lake na Mwenyekiti wa TFF
View attachment 2298517
====

Kamati ya Maadili ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limemfungia Msemaji Klabu ya Yanga, Haji Manara kujihusisha na mpira ndani na nje ya nchi kwa muda wa miaka 2 na kupigwa faini ya Tsh. milioni 20

Amekutwa na hati kwa makosa ya kumvunjia heshima Rais wa TFF, Wallace Karia kwenye fainali ya ASFC kati ya Yanga na Coastal Jijini Arusha
View attachment 2298509
Adhabu ni kali sqna .imekaa kukomoana .Sijui wachezaji wanaopiga mwamuzi watafungiwa muda gani
.Je adhabu iliyotolewa ipi kwenye taratibu za TFA?
 
Wapi ulionyeshwa kuchukiza kuja kwake? Mbona hujaonekana kujitenga na mihemko na kauli zake?

Labda shabiki ambaye alionyesha dhahiri kuwa hamkubali Manara ni Matola kwa hali zote..!
Mkuu kwanza ungeonesha sehemu yoyote niliyomuunga mkono ili kudhirisha kauli yako.
IMG_20220721_152730.jpg
IMG_20220721_154447.jpg
IMG_20220721_154523.jpg
 
Yanga imehujumiwa kipi? Mafanikio ya Yanga ni pesa za GSM na si vinginevyo, ukiona mtu anachukiwa na wengi ujuwe ana tatizo.
Kuna wajinga wanajisahaulisha hii fact.
 
.... Katibu mkuu wa zamani wa (TFF) !

"Kuna mambo mengi sana katika hii commettee, huwa ninaonekana mimi ndio huwa na tatizo nayo au na TFF, lakini kanuni ziko very Clear, anayehusika pale ni secretariet ya ethics Committee na si ya TFF"

"Haiwezekani Secretariet ya (TFF) ika-file Case, halafu ikahusika na adminstrative work ambazo kamati itahitaji kama kuandika minutes, kutunza nyaraka na nyingine"

"Kuna kuwa na conflict of interest,, Pale kulikuwa kuna kurushiana maneno na KARIA anaonekana anamnyooshea kidole HAJI, kwa hiyo Secretariet haiwezi kumshitaki KARIA kwa kuwa ndiye Boss wao"

"Maana yake, Mwenyekiti wa kamati angeitisha suala hilo mezani kwake kwa kuwa aliona kuna uvunjifu wa maadili, Secretariet ya kamati ingelifikisha suala hilo mbele ya kamati na baadae KARIA na HAJI wangeitwa kujitetea"

"Ndio neutrality inavyoelezewa kwenye ethics Code, wenzetu wameenda mbali zaidi kwa kuunda chamber mbili katika kamati ya maadili....."

".... (1) Investigation chamber, ambayo hufanya uchunguzi wa tatizo na (2) Adjudicator chamber ambayo huendesha shitaka. Hapo hakuwezi kuwa na conflict of interest"

[emoji368] Angetile Osiah
 
Keshaanza kutuma message za kutafuta kuonewa huruma. Muda huu ndio atazumgumziwa kama m2 anaehitaji huruma kutokana na maumbile
 
Back
Top Bottom