Haji Manara amtuhumu Barbara kuwa na chuki dhidi yake. Amuahidi ataondoka Simba kwani amemkuta

Nne si nyingi. Bora laki saba na yupo huru kufanya kazi za kutangaza mpaka kina Suguye.
Si nyingi kwa kazi ipi mkuu?? Sidhani kama simba inashindwa kwenda bila kile cheo cha manara. Viongozi wake wameona hiyo inamtosha kwa cheo chake.
 
Nimemsikiliza mzee hans pope, kaongea kwa ufupi ila kaeleweka kabisa. Manara ni kimeo.
 
ASANTENI SPIN DOCTORS KWELI MMEJUA KUTUTEKA
 
Watu waongo sn msemaji wa timu( HAJI) alipwe Million 20 kwa mwezi apewe kama mshahara wachene maskhara nyie watu.

Huyo C.E.O mwenyewe sijui kama analipwa hata MILLION 10 inafika na ELIMU YK yote hiyo .
Marekebisho kidogo ni m4
 
Acha uongo. Angepewa offer ya namna hiyo asingelalamika kuhusu laki saba. Halafu Mhindi amlipe M20?.Acha uongo.

Ingia youtube msikilize hanspope manara alipewa asaini mkataba awe anakula milion 4 kwa mwezi pia kuna kifungu kinachomkataza asijihusishe kutangaza kampuni nyingne tofauti na waajiri wake SSC alikataa akakubali wa 700k ili afanye biashara na kina Asas, GSM na azam tv
 
Nikufafanulie vp wkt hata mind games huzijui shida yenu utopolo yakwenu yamewashinda Sasa mnalazimisha wote tuwe sare sare caption this Simba 3 yanga uto 1
Unataka kuniambia Simba imekua dhaifu kiasi kwamba ili iifunge Yanga inabidi waanzishe maigizo ?
 
Watu wakitishia Maisha yako utachekelea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…