OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
kama ni hivyo anaona mkataba haumlipi aondoke kwa busara tu ili kujijengea heshima hata huko Azam. Ila kwa hilo domo hata kama mini ningekuwa Azam siwezi kufanya kazi na mtu kama huyuHii inshu ya Asas na GSM ndio chanzo cha tatizo.
Pia Haji kapewa mkataba wa kufanya kazi pale Simba na huo mkataba hauruhusu mtu wa Simba kuwa balozi wa bidhaa nyingine nje ya zile zinazoifadhili timu ya Simba ndio maana anazunguka nao tu hataki kuusaini.
Namshauri Haji aende tu akafanye kazi Azam ndio atajua umaarufu wake umetokana na nini
wanacheza namba ngapi haoNa waendelee kugombana, faida Jangwani..👏👏👏
Sasa mind game inawa affect vp yanga? Huoni kama inawachanganya mashabiki wa simba pia na kuleta makundi? Alieplan hii mind game atakuwa hajafikiria sawa sawaSisi tushamaliza kazi, mapema sana na watu wetu, Mind game ya kitoto sana hiyo hasa hasa inadhoofisha mashabiki wa simba katika hili na sio kuwapa morali mashabiki
Hawanaga mashaka na wao ndio wanaofungwa [emoji38], chief Simba anafungwa kilaini sana kigoma.. Yanga wamerelax sanaHata ile mechi ya tar 3, mlikuwa hamna shaka na hiyo match pia
Ha haaa[emoji23] Mkuu amini maneno yangu alaf caption this 25/7/2021 Simba 3-1 Yanga baada ya hapo hutasikia hiyo ishu tena na manara ataendelea Kama kawaida
Manara ni tatizo kubwa pale Simba linalohitaji utatuzi wa haraka.........Manara hawezi kuendana na Simba ya sasa,sijawahi kumkubali ,kwenye uhamasishaji sawa lakini ana uswahili mwingi,Bidada amesimama kama CEO kwenye nafasi yake na kaachiwa asimamie mambo mengi kiasi kwamba hata mambo ya media yachujwe ndo Manara aongee ,Sasa manara hataki hivo anataka kila kitu awe wa kwanza .
Kwanza hata kama we ni Mo ingekuwa ngumu kumvulia Manara na matangazo yake ,amekuwa balozi wa karibia washindani wote Mo kibiashara. ASAS yeye ,GSM yeye ,Azam media yeye. Boss anakulipa halafu we una promote bidhaa za washindani wake ? Manara anawasifu GSM ila anawakejeli Yanga ,yeye hajui hata huo umaarufu amepata kupitia Simba hamna ambaye angemfahamu,atapiga kelele week nzima atasahaulika Simba itaendelea
itakuwa ni ajabu sana kama tutazidi kumkumbatia huyu bwanaYaliyoko nyuma ya pazia kuhusu clip ya Haji Manara inayotembea mitandaoni.
Nimepata bahati ya kuyapata yaliyoko nyuma ya pazia kuhusu clip ya Haji. Habari iko hivi:-
Kwa mwaka mzima sasa, viongozi wa Simba wamekuwa na wasiwasi kuhusu ukaribu wa Haji na GSM ambao ni wadhamini wa wapinzani wetu. Hata hivyo, wamekuwa wanamvumilia kwasababu haikatazwi kuwa na marafiki wa upande wa pili. Hata hivyo, katika miezi miwili iliyopita kumekuwa na taarifa za kuvuja kwa taarifa za Simba kwa wapinzani wetu. CEO na viongozi wa Simba wakapanga mikakati ya kudhibiti hujuma dhidi ya Simba. Hivyo, siku ya tarehe 20/07/2021, CEO alimpigia Haji kumsihi kwamba, licha ya urafiki alionao na GSM, na licha ya kwamba ndio wadhamini ya YouTube TV yake, lakini katika kipindi ambacho tunaelekea kwenye mchezo muhimu na wapinzani wetu, ajitahidi kukaa mbali na wadhamini wao kwani inaweza kuleta tafsiri mbaya. Haji aliupokea ushauri huo na kuahidi kuuzingatia.
Hata hivyo, mnamo majira ya tano usiku ilitolewa taarifa kwamba Haji ameonekana maeneo ya Kigamboni, ambapo ndipo ilipo kambi ya Yanga lakini pia ndipo yalipo makazi ya mdhamini wa GSM. Baada ya taarifa hiyo, uongozi wa Simba haukutaka kukurupuka bali ulitafuta ushahidi ili kuthibitisha hilo. Kisha, Mwenyekiti wa Bodi ya Simba Mo Dewji alimuita Haji na kumuuliza kuhusu suala hilo. Haji alikataa kwamba hakwenda Kigamboni. Alipoonyeshwa ushahidi wa dhahiri wa yeye kuwepo Kigamboni akalipuka na kutoa povu kali na kumtukana na kumdhalilisha Dewji, ingawa Dewji ndiye siku zote amekuwa anamtetea hata pale Bodi ilipotaka kumfukuza kazi miaka miwili iliyopita.
Ili kuwawahi viongozi wa Simba na kujisafisha, ndipo akatoa ile clip kuonyesha anaonewa. Haji ametoa mchango kwenye hamasa kwa Simba na amepata umaarufu mkubwa kupitia Klabu ya Simba. Sisi washabiki wa Simba tunajua kwamba Haji kanufaika sana kwa mgongo wa Simba. Sasa hivi anaamini ni mkubwa kuliko Simba na ana uwezo wa kuwatukana na kuwatisha viongozi wake.
Uamuzi wake wa kusambaza clip yake ili kujenga taswira ya mgogoro katika kipindi hiki tunapoelekea kwenye mechi kubwa ni hujuma kwa Simba.
Tunaugomvi,mkitufunga sababu tunayo tayari.Wana Simba wamechungulia wakaona tarehe 25 hawatoki, sasa wanatengeneza mlango wa kutokea. Nashukuru chuo cha Sanaa Bagamoyo kina wahitimu wengi.
Wawekeza wapo lukuki akichomoka Mudy atakuja muwekezaji mpya.Kama Barbara ataondoka basi Muddy nae muda huo hatokuwepo na hapo ndo Manara ajiandae kulipa mishahara ya wachezaji
Pilipili ya shamba inakuwashia nn nyie mkodisho fcSimba mali ya familia ya Mo.Kama unabisha leta lisiti ya 20B
Inavyoonekana unampenda Sana manara,lakini pia unampenda Barbara,na hutaki kumpoteza yoyote ndio maana umekuja na kauli eti "mind game"Nikufafanulie vp wkt hata mind games huzijui shida yenu utopolo yakwenu yamewashinda Sasa mnalazimisha wote tuwe sare sare caption this Simba 3 yanga uto 1
Na save comment yako mpaka 25 saa 12:45 jioniSio kiwewe tumejipanga baada ya game ya kigoma hitosikia chokochoko Mr. Utopolo
Taara ni kuwa manara aligoma kitambo kusign mkataba wa malipo ya 700kHii inshu ya Asas na GSM ndio chanzo cha tatizo.
Pia Haji kapewa mkataba wa kufanya kazi pale Simba na huo mkataba hauruhusu mtu wa Simba kuwa balozi wa bidhaa nyingine nje ya zile zinazoifadhili timu ya Simba ndio maana anazunguka nao tu hataki kuusaini.
Namshauri Haji aende tu akafanye kazi Azam ndio atajua umaarufu wake umetokana na nini