Mkalimani wa taifa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2020
- 753
- 1,290
so sad
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkataba hana. Mkataba upi aliopewa wa M20?Alipewa mkataba wa kulipwa kila mwisho wa mwezi M20 akakataa wenye kipengele cha kutojihusisha na kampuni zingine kwaiyo atulie tu na Laki 7
Na kwa nini aliahidi kutoa 1 milion kwa mpiri ikiwa Simba itafungwa! Incentive hapo ilikua nini hasa! Na kweli akatoa.Analipwa 700? Kwa currency ipi?
Alipewa akakataa mwenyewe akaona nibora kutangaza bidhaa za cha GSM na Azam so anavuna alicho pandaMkataba hana. Mkataba upi aliopewa wa M20?
Acha uongo. Angepewa offer ya namna hiyo asingelalamika kuhusu laki saba. Halafu Mhindi amlipe M20?.Acha uongo.Alipewa akakataa mwenyewe akaona nibora kutangaza bidhaa za cha GSM na Azam so anavuna alicho panda
Kama hamna uwezo wa kumlipa zaidi ya hiyo laki 7, si muombe msaada kwa wananchi tuwachangie!! Sisi pale Jangwani Hassan Bumbuli anakula M. 2 na ushee!!Manara aache utoto anatafuta huruma za mashabiki
Muongezeeni mshahara bhana! Laki 7 kwa maisha ya mjini, si bora auze tu maji ya Bakharesa!!!Manara kwa nini unaukata mkono unaokulisha?
Mkataba unaweza kuwa written au verbalKwa mkataba upi!? Hamna sheria inayofanya kazi bila mkataba
Hahahahah yule mzee nuksi sana[emoji1]Kazi ya mpili imeanza kuonekana
Mshahara wa laki 7 kwa maisha ya Dar, haumtoshi! Muongezeeni salary msemaji wenu ili na yeye aishi kama mwenzake Hassan Bumbuli, ambaye hajawahi kulilia mshahara hadharani.Mtoto wa kiume unatafuta huruma za mashabiki mjinga sana uyu manara
Hajasema laki saba kasema mia sabaMuongezeeni mshahara bhana! Laki 7 kwa maisha ya mjini, si bora auze tu maji ya Bakharesa!!!
ile faini ya milioni 5 aliyoenda kulipa harakaharaka TFF nani alimpa pesa, tatizo anajikweza sana anataka kuonekana matawi wakati vigezo hana.Kama hamna uwezo wa kumlipa zaidi ya hiyo laki 7, si muombe msaada kwa wananchi tuwachangie!! Sisi pale Jangwani Hassan Bumbuli anakula M. 2 na ushee!!
Halafu nyinyi mnamlipa mtu laki 7!! Hamuoni mnachangia kumsababishia msongo wa mawazo? Kwa maisha ya Mjini mbona laki 7 ni hela ndogo sana!!!
Alipewa mkataba wa kulipwa kila mwisho wa mwezi M20 akakataa wenye kipengele cha kutojihusisha na kampuni zingine kwaiyo atulie tu na Laki 7