Walikuwa mda wote IG wanaonesha maisha yao ...sjui ilikuwa reality showKwani kulikuwa na ndoa pale
Au kuuza sura tu...show off
Hivi wale wake walikuwa wanapika kweli na kufanya kazi za nyumban
Maana kila siku ni pilika tu
Ova
Lazima U [emoji90]Ni mkeo tu sio wote wanakunya we kaka
Mkinyeana uko mnadhani wote tunakunya kunya tu eti😂Lazima U [emoji90]
Lazima Mzigo Utoke, Tunawaangaliaga tu Mbwembwe ZenuMkinyeana uko mnadhani wote tunakunya kunya tu eti[emoji23]
Kama ulikunya wakati unajifungua ni wewe na kunduh lako mkuu wengine tunapush fresh hata ushuzi tu hautokiLazima Mzigo Utoke, Tunawaangaliaga tu Mbwembwe Zenu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂😂Konde boy
Nawaangalia Halafu Nasema Hii Bhaghosha SanaLazima Mzigo Utoke, Tunawaangaliaga tu Mbwembwe Zenu
Wanavyobisha Sasa [emoji16][emoji4]Nawaangalia Halafu Nasema Hii Bhaghosha Sana
HAA Mficha Maradhi Mauti Ndiyo Hii HabariWanavyobisha Sasa [emoji16][emoji4]
Maisha ya mtandaoni fake fake tuWalikuwa mda wote IG wanaonesha maisha yao ...sjui ilikuwa reality show
Nina Mashaka HapaKama ulikunya wakati unajifungua ni wewe na kunduh lako mkuu wengine tunapush fresh hata ushuzi tu hautoki
Watoto materialistic, hata uwe unatisha vp, kama una vyanzo,hawaogopi.Mi nilisema toka mwanzo manara ni binadam ila anatisha mno havutii yule dada asingeweza kupata hisia
Ukiwa mwizi unaamini watu wote wako hivyo, kwa vile uliachia kinyesi wakati wa kujifungua sababu ya michezo yako michafu basi unnaamini wote tunakunyagaNina Mashaka Hapa
Ina maana ile range alijinunuliaMastar wametuchosha na kuanika wapenzi wao wanajifanya sisi tuonekane hatujawahi pendwa. Sina shida na manara ni mwananchi mwenzangu ila hiyo tabia ya kuanika wake hapana. Leo kaandika caption ndefu kama mnara wa babeli, akimsifia mke mkubwa, wacha achapiwe.
Hamo na kajala kha! Walijuwa kutuumiza wako wapi?
Naweza kuonekana mnafiki na sipingi ila mtu mwingine ninaemsubiri kwa hamu asage meno ni zamaradi, mme anatundikwa barabarani? Unajinunulia gani urithi wa ruge unatudanganya umenunuliwa? Wadada wa daslam hawajawahi tuangusha siku ipo ilo bango ulilotundika jijini dar utalijutia.
Sema mme wa zamaradi hana hela angekuwa nazo wadada wa mjini wasingechelewa kutuvunja mbavu.
Kama mimi hapa[emoji2][emoji2][emoji2]Haji ana shida jamani masifa kama yote mke hata miezi minne Bado[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]!!!gubu gubu gubu,nyodo nyodo,nyodo mwanaume mwenye mdomo mdomo kuishi na mke mtihani,mi mwenyewe siwezi Raha ya mwanaume aongee kidogo awe na ukimya flaani hivi mpk raha