Haji Manara "anachapiwa" Bi. Mdogo?

Mwanaume rijali huwa hajisifu sijui navutia/ mrembo!! Hiyo Ni dalili mbaya.

Alafu mwanamke Ni kiumbe complex Sana kumfahamu Ni ngumu
 
Kama hahitaji hela kwa huyo pedejee. Unadhani alikuwa anafata nini!?
 
Hebu nisaidie na wewe ajabu wanaokomalia ni wanaume ika wanaume wa siki hizi ni mizigo walahi
Inashangaza sana na hapo wamesikia story tuu hawajawahi kuingia leba...hzi story za kusikia sikia hizi ni shidaa...kuna mtu hapo juu anasema mtu akipush lazima anye...How??? Labda kama alikua amekula na ndani ya masaa 12 b4 uchungu hakupata choo so uchungu unapoanza hapo ndo possibility ya kunya ni kubwa...lakini from no where tu unye labda una tatizo kubwa kwenye sphinter masozi zako...
 
Umeparamia chaka bovu
 
Inawezekana kunya najua hilo lakini sio wote sasa wao wanakomaa eti ni lazima,,

Michezo ya kulana nyuma nayo inachangia sana watu kunya kwenye uzazi🙌🙌waanzishe mada tuchangie hoja ila tutauliza mwanaume uanyajuaje ya leba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…