Haji Manara "anachapiwa" Bi. Mdogo?

Na wengi inawatokea sababu lazima ale chakula
 
Zama anavyoenda kumpaisha mumewe, ila mie naona bora anampa heshima mbele ya jamii.
 
Na wengi inawatokea sababu lazima ale chakula
Kwa sbb kitendo cha uchungu kuuma na kupata hisia za kupush huwa ni hisia za kunya na ukimwambia nesi wakati huo nataka kunya atakwambia kunyaa.. so kama ulishiba ndindi wakati unasukuma unasukama na kimba...but ni mara chache sana....so watu wanatofautiana kuna wale ambao yatoka tuu non stop ndo tabu iko hapo..kuanzia uchungu umeanza hajapata hata hisia za kupush ni mavi tuu yanatangulia hawezi kuyacontrol hao ndo wa michezo michafuu..

Otherwise respect women no mara waaaaa
 
Umesema kweli hapo kwenye kusifia; mwanamje akisifiwa sifiwa akili zinamtoka kabisa na hapo ndipo anapoliwa
 
Midude Ile inataka pumzi na pesa
 
Ndio mana nina kila sababu ya kumheshimu Mama yangu[emoji120]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…