Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Alihusika?Wazungu wawili waliomteka MO!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alihusika?Wazungu wawili waliomteka MO!
GSM nawakubali lakini kwa Manara hapanaJitu limeshindikanika huko eti tunaenda kuliokota.
Akili za Yanga ni matope na takataka kabisa.
Ona sasa hivi linavyoropoka ..Hovyo sana!
Ukiona hivyo ujue anatafuta uDCHuyu zeruzeru naye
Manara alikuwa CCM, unajua nini kilimtoa huko? Alikuwa anaiba magari kwa jina la ccm, akapata jesi akakaa mahabusu miaka ya kutosha.Manara akili kubwa bwanga ja town,kama akili yako kisoda huwezi kumuelewa
Yanga imekushinda sasa unaingilia siasaMsemaji wa Yanga Haji Manara amejitokeza na kuwashambulia wafuasi wa Magufuli akidai wanamkwamisha Mama Samia.
Amewataka ndugu wa marehemu wamuache Rais afanye kazi.
Ametoa rai hiyo kupitia ukurasa wake wa Instagram.
Manara umenena ,hawa mmbwa hawa wanomkwamisha mama siku zao zinahesabika walaiMsemaji wa Yanga Haji Manara amejitokeza na kuwashambulia wafuasi wa Magufuli akidai wanamkwamisha Mama Samia.
Amewataka ndugu wa marehemu wamuache Rais afanye kazi.
Ametoa rai hiyo kupitia ukurasa wake wa Instagram.
Nitajie ndani ya CCM mtu ambae sio mwizi?Manara alikuwa CCM, unajua nini kilimtoa huko? Alikuwa anaiba magari kwa jina la ccm, akapata jesi akakaa mahabusu miaka ya kutosha.
Weka picha za lema kama zilivyowekwa za manaraKumbe Manara alikua anafanya shughuli za Lema.
Ndiyo hichoUkiona hivyo ujue anatafuta uDC
Huyo fala kibarua wa GSM nae wa kumuamini, amuulize bosi wake kwanini alibadili jina la kampuni na alikuwa ameifanya TRA mali yake? wafu wanafufuka mmoja mmoja.Msemaji wa Yanga Haji Manara amejitokeza na kuwashambulia wafuasi wa Magufuli akidai wanamkwamisha Mama Samia.
Amewataka ndugu wa marehemu wamuache Rais afanye kazi.
Ametoa rai hiyo kupitia ukurasa wake wa Instagram.
Wamemchukuwa GSM siyo Yanga.Walinikera sana kumchukua huyu jamaa.
Yanga sijui huwa wanatumia matope kuwaza!hovyo kabisa.
Hata mimi ni Yanga.
Ana kesi mahakamani ya kutapeli perfume.Manara bado anataka kuiba magari ya CCM?
Hivi Kumbe hadi leo kuna watu bado mnapoteza muda wenu kumsikiliza Manara?!!!.Dah!!, Poleni Sana.Msemaji wa Yanga Haji Manara amejitokeza na kuwashambulia wafuasi wa Magufuli akidai wanamkwamisha Mama Samia.
Amewataka ndugu wa marehemu wamuache Rais afanye kazi.
Ametoa rai hiyo kupitia ukurasa wake wa Instagram.