Nedlloyd
JF-Expert Member
- Mar 29, 2014
- 10,361
- 27,215
Neno limeacha mlango wa kutokea. Mswahili humdaki hapo.wafungwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Neno limeacha mlango wa kutokea. Mswahili humdaki hapo.wafungwa
Huwa sipendi kujibizana na teenager, kipi alichokisema hapo huyo askari zaidi ya kumwambia atoe gari yake njiani.Acha uchizi wewe unajua huyo askari alimuambiaje mpaka akaitwa hivyo
Kuitwa jina lisilo la kwako ni kebehi/tusi.Swali lingine!Mfungwa ni tusi?
Ni utata wa lugha yetu ya Kiswahili.Huyo ni zeruzeru, hatuna neno albino kwenye kiswahili.
Kwa hiyo hata wewe huna uwezo wa kumchukulia hatua mtu anayekukebehi/kudhalilisha?Acha ujuha, Magereza haina uwezo wa kumchukulia hata raia wa kawaida kwa kitendo kama hicho, hata hivyo Manara ni chawa wa serikali tegemea atajitokeza muda wowote kutubu na kuomba msamaha kwa magereza na serikali.
Chizi wewe huoni kama anaongea kauli za kishamba kama yeye hii nchi ni yake ndio maana manara akapanikiHuwa sipendi kujibizana na teenager, kipi alichokisema hapo huyo askari zaidi ya kumwambia atoe gari yake njiani.
Jana wakati wa mchezo Kati ya Yanga na Prisons, Haji Manara alifanya kitendo kisicho cha kingwana na udhalilishaji kwa jeshi la Magereza kwa kuwaita askari ni wafungwa.
Manara ambae alikuwa anahojiwa na waandishi wa habari huku akiwa amepark gari lake njiani na kuziba njia hiyo magari mengine yasipite, alipotakiwa kulitoa gari lake ili gari la Magereza lipite alimtukana askari huyo na kumuita ni mfungwa hivyo askari wote wa magereza ni wafungwa.
Kitendo hiki kilikuwa cha kidhalilishaji haswa kwani wote tunatambua kuwa kuna utofauti mkubwa Kati ya askari magereza na wafungwa, askari ni muajiriwa wa serikali ambae analinda na kurekebisha wafungwa wakati mfungwa ni mtu aliyepatikana na hatia na kuhukumiwa adhabu na mahakama.
Jeshi la Magereza linatakiwa kumchukulia hatua Haji ili iwe fundisho kwa watu wengine, kama jeshi litaruhusu udhalilishaji wa namna hii na wakakaa kimya basi ipo siku tutashuhudia udhalilishaji zaidi ukifanywa kwa askari.
Mbona hatuoni askari wa jeshi la polisi, Jwtz wakidhalilishwa Kwanini iwe kwa magereza.
Huyu mtu anapaswa kukamatwa ikiwezekana apelekwe gerezani akaone utofauti wa askari magereza na mfungwa.
View: https://youtu.be/F93mZI980ZU?si=sShG-Fz-jyypfYKV
Very good...Case dismissed...Kesi nyepesi sana hiyo mahakamani.
Ni wafungwa kwa maana ya kwamba walikuwa wamefungwa katika mechi ya mpira wa miguu.
Sina na pia hakuna raia anayeruhusiwa kumchukulia hatua mtu yeyote, ukiona umedhalilishwa nenda kashitaki police au fungua kesi binafsi ya madai mahakamani.Kwa hiyo hata wewe huna uwezo wa kumchukulia hatua mtu anayekukebehi/kudhalilisha?
Kesi nyepesi sana hiyo mahakamani.
Ni wafungwa kwa maana ya kwamba walikuwa wamefungwa katika mechi ya mpira wa miguu.
Kumbe shida ipo kwenye lugha.Hicho kitendo cha kumfungulia mtu mashtaka(wewe umeeleza kushtaki police)ndiyo kumchukulia hatua sasa.Sina na pia hakuna raia anayeruhusiwa kumchukulia hatua mtu yeyote, ukiona umedhalilishwa nenda kashitaki police au fungua kesi binafsi ya madai mahakamani.
Nimesema sipendi kujibizana na teenager ambao wengi wenu ukiwemo wewe mnapumuliwa.Chizi wewe huoni kama anaongea kauli za kishamba kama yeye hii nchi ni yake ndio maana manara akapaniki
SubhanAllah!😎Nimesema sipendi kujibizana na teenager ambao wengi wenu ukiwemo wewe mnapumuliwa.
Jana wakati wa mchezo Kati ya Yanga na Prisons, Haji Manara alifanya kitendo kisicho cha kingwana na udhalilishaji kwa jeshi la Magereza kwa kuwaita askari ni wafungwa.
Manara ambae alikuwa anahojiwa na waandishi wa habari huku akiwa amepark gari lake njiani na kuziba njia hiyo magari mengine yasipite, alipotakiwa kulitoa gari lake ili gari la Magereza lipite alimtukana askari huyo na kumuita ni mfungwa hivyo askari wote wa magereza ni wafungwa.
Kitendo hiki kilikuwa cha kidhalilishaji haswa kwani wote tunatambua kuwa kuna utofauti mkubwa Kati ya askari magereza na wafungwa, askari ni muajiriwa wa serikali ambae analinda na kurekebisha wafungwa wakati mfungwa ni mtu aliyepatikana na hatia na kuhukumiwa adhabu na mahakama.
Jeshi la Magereza linatakiwa kumchukulia hatua Haji ili iwe fundisho kwa watu wengine, kama jeshi litaruhusu udhalilishaji wa namna hii na wakakaa kimya basi ipo siku tutashuhudia udhalilishaji zaidi ukifanywa kwa askari.
Mbona hatuoni askari wa jeshi la polisi, Jwtz wakidhalilishwa Kwanini iwe kwa magereza.
Huyu mtu anapaswa kukamatwa ikiwezekana apelekwe gerezani akaone utofauti wa askari magereza na mfungwa.
View: https://youtu.be/F93mZI980ZU?si=sShG-Fz-jyypfYKV
Kumshitaki mtu sio kumchukulia hatua, anaweza akakushinda mahakamani halafu wewe uliyeshitaki ukatakiwa ulipie gharama pia..Kumbe shida ipo kwenye lugha.Hicho kitendo cha kumfungulia mtu mashtaka(wewe umeeleza kushtaki police)ndiyo kumchukulia hatua sasa.
Kulikuwa na mchezo gani pale?nadhani ni lugha ya kimichezo hiyo haina ukakasi 🐒
Kwa fikra zangu,kabla hatujaendelea kueleza kuhusu kuchukua hatua,turudi kujifunza maana ya kumchukulia mtu hatua.Kumshitaki mtu sio kumchukulia hatua, anaweza akakushinda mahakamani halafu wewe uliyeshitaki ukatakiwa ulipie gharama pia..
ni sanaa ya maneno tu baina ya wanamichezo wasio na makasiriko 🐒Kulikuwa na mchezo gani pale?
Yule askari ni mwanamichezo?ni sanaa ya maneno tu baina ya wanamichezo wasio na makasiriko 🐒