Haji Manara ni nani hapa Tanzania hadi kuwadhalilisha Askari Magereza na wafungwa bila kuchukuliwa hatua?

Haji Manara ni nani hapa Tanzania hadi kuwadhalilisha Askari Magereza na wafungwa bila kuchukuliwa hatua?

Huyo ni zeruzeru, hatuna neno albino kwenye kiswahili.
Ni utata wa lugha yetu ya Kiswahili.
Ni sawa na blind ina maana ya kipofu, lakini kumwita mhusika kwa jina hilo ni unyanyapaa. Anatakiwa aitwe "asiyeona"
Ukitumia kanuni hiyo hiyo ukamwita kiziwi kwa jina la "asiyesikia" hawataki kabisa, wanataka kuitwa kiziwi kwa sababu ukiita "asiyesikia" ina tafsiri kwamba ni mtu ambaye haambiliki yaani kama msumbufu au mtukutu.
 
Acha ujuha, Magereza haina uwezo wa kumchukulia hata raia wa kawaida kwa kitendo kama hicho, hata hivyo Manara ni chawa wa serikali tegemea atajitokeza muda wowote kutubu na kuomba msamaha kwa magereza na serikali.
Kwa hiyo hata wewe huna uwezo wa kumchukulia hatua mtu anayekukebehi/kudhalilisha?
 
Jana wakati wa mchezo Kati ya Yanga na Prisons, Haji Manara alifanya kitendo kisicho cha kingwana na udhalilishaji kwa jeshi la Magereza kwa kuwaita askari ni wafungwa.

Manara ambae alikuwa anahojiwa na waandishi wa habari huku akiwa amepark gari lake njiani na kuziba njia hiyo magari mengine yasipite, alipotakiwa kulitoa gari lake ili gari la Magereza lipite alimtukana askari huyo na kumuita ni mfungwa hivyo askari wote wa magereza ni wafungwa.

Kitendo hiki kilikuwa cha kidhalilishaji haswa kwani wote tunatambua kuwa kuna utofauti mkubwa Kati ya askari magereza na wafungwa, askari ni muajiriwa wa serikali ambae analinda na kurekebisha wafungwa wakati mfungwa ni mtu aliyepatikana na hatia na kuhukumiwa adhabu na mahakama.

Jeshi la Magereza linatakiwa kumchukulia hatua Haji ili iwe fundisho kwa watu wengine, kama jeshi litaruhusu udhalilishaji wa namna hii na wakakaa kimya basi ipo siku tutashuhudia udhalilishaji zaidi ukifanywa kwa askari.

Mbona hatuoni askari wa jeshi la polisi, Jwtz wakidhalilishwa Kwanini iwe kwa magereza.

Huyu mtu anapaswa kukamatwa ikiwezekana apelekwe gerezani akaone utofauti wa askari magereza na mfungwa.

View: https://youtu.be/F93mZI980ZU?si=sShG-Fz-jyypfYKV

Si alimaanisha kua wamefungwa na yanga??
 
Kwa hiyo hata wewe huna uwezo wa kumchukulia hatua mtu anayekukebehi/kudhalilisha?
Sina na pia hakuna raia anayeruhusiwa kumchukulia hatua mtu yeyote, ukiona umedhalilishwa nenda kashitaki police au fungua kesi binafsi ya madai mahakamani.
 
Sina na pia hakuna raia anayeruhusiwa kumchukulia hatua mtu yeyote, ukiona umedhalilishwa nenda kashitaki police au fungua kesi binafsi ya madai mahakamani.
Kumbe shida ipo kwenye lugha.Hicho kitendo cha kumfungulia mtu mashtaka(wewe umeeleza kushtaki police)ndiyo kumchukulia hatua sasa.
 
Jana wakati wa mchezo Kati ya Yanga na Prisons, Haji Manara alifanya kitendo kisicho cha kingwana na udhalilishaji kwa jeshi la Magereza kwa kuwaita askari ni wafungwa.

Manara ambae alikuwa anahojiwa na waandishi wa habari huku akiwa amepark gari lake njiani na kuziba njia hiyo magari mengine yasipite, alipotakiwa kulitoa gari lake ili gari la Magereza lipite alimtukana askari huyo na kumuita ni mfungwa hivyo askari wote wa magereza ni wafungwa.

Kitendo hiki kilikuwa cha kidhalilishaji haswa kwani wote tunatambua kuwa kuna utofauti mkubwa Kati ya askari magereza na wafungwa, askari ni muajiriwa wa serikali ambae analinda na kurekebisha wafungwa wakati mfungwa ni mtu aliyepatikana na hatia na kuhukumiwa adhabu na mahakama.

Jeshi la Magereza linatakiwa kumchukulia hatua Haji ili iwe fundisho kwa watu wengine, kama jeshi litaruhusu udhalilishaji wa namna hii na wakakaa kimya basi ipo siku tutashuhudia udhalilishaji zaidi ukifanywa kwa askari.

Mbona hatuoni askari wa jeshi la polisi, Jwtz wakidhalilishwa Kwanini iwe kwa magereza.

Huyu mtu anapaswa kukamatwa ikiwezekana apelekwe gerezani akaone utofauti wa askari magereza na mfungwa.

View: https://youtu.be/F93mZI980ZU?si=sShG-Fz-jyypfYKV

Embu toka zako uko, mpira haupo hivi wewe. Ilimradi hajatamka tusi, basi hakuna shida kabisa. Mfungwa si ni looser kwa kiswahili?
 
Kumshitaki mtu sio kumchukulia hatua, anaweza akakushinda mahakamani halafu wewe uliyeshitaki ukatakiwa ulipie gharama pia..
Kwa fikra zangu,kabla hatujaendelea kueleza kuhusu kuchukua hatua,turudi kujifunza maana ya kumchukulia mtu hatua.
 
Back
Top Bottom