Alexprosper
JF-Expert Member
- Jul 1, 2022
- 3,286
- 6,110
ProveHakuna anayeweza kumridhisha mwanaume pia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ProveHakuna anayeweza kumridhisha mwanaume pia.
Very interesting, wewe unataka mwanaume kama Dr Matola PhD ambaye ni tall, mweusi six pack natural, halafu unataka Mwanao awe shombe mbona kama mnara haujakamata vizuri signal hapo?🤣🤣🤣🤣 Wataelewa tu mwaka huu, wanavyotaka na sisi tunataka.
Wakati wao wanataka mwanamke mwenye tako, msomi, mwenye adabu, mweupe, mwenye K ya moto, mchamungu, nyonyo lisilale hata akinyonyesha.....na akikosa kimojawapo wanachepuka huku wakijifariji men are polygamist in nature🤣🤣
Sie pia tunataka mwanaume mrefu, mweusi, msikivu, mwenye six packs(asiote kitambi Hadi uzeeni), mwenye Hela, awe na muda na sisi, pia akitupa mimba tuzae vitoto vizuri shombe shombe flani hivi🤣🤣🤣🤣🤣
Ndo maana wameacha uume wao kukaza,wanataka kukazwa wao.Ifikie hatua mtu ukimkosea mwenzio tukili tumekosea badala ya kuibuka na kusema vibaya wengineHakuna anayeweza kumridhisha mwanaume pia.
Kaz kwaoEbu waulize
SawaKaz kwao
Amen💕Kama alishindwa yeye asitujumuishe na sisi...
KabisaAlafu wanaume wenye viba100 wanakuaga na visingizio sana...🤣
Hapo Ndo namaanisha hakuna binadamu full package, ni kumvumilia tu yule unayempata.....lakini nyie ndugu zetu mnataka sie tuwe na tako na akili, tukiwa na akili bila tako mnachepuka na wenye mawowo in the name of men are polygamist in nature😂Very interesting, wewe unataka mwanaume kama Dr Matola PhD ambaye ni tall, mweusi six pack natural, halafu unataka Mwanao awe shombe mbona kama mnara haujakamata vizuri signal hapo?
Swala la tako hilo ni choice ya wanaume baadhi tu siyo wote, if I may ask tako Mimi Nina kazi nalo gani?Hapo Ndo namaanisha hakuna binadamu full package, ni kumvumilia tu yule unayempata.....lakini nyie ndugu zetu mnataka sie tuwe na tako na akili, tukiwa na akili bila tako mnachepuka na wenye mawowo in the name of men are polygamist in nature😂
Haya nishakupata tall and black ila natamani kitoto kiwe kishombe, nikachepuke na mzungu au mwarabu?
Ukishakuwa nacho value inapungua. Yaani ukijenga utataka ingine dizaini fulani,hata gari ukiwa nayo nadhani Ni mwanzoni pale upendo nayo unakuweepo baadaye unaona kawaida tu. Na ndio kijana wakati anapenda hajui kuwa Kuna kuchokana. Na our brain Ina scan na ku store katika subconscious Mambo hasi ,mabaya kuliko mazuri. So mtu Kama umemfanyia mabaya anayatunza mpaka anachoka baadaye kukumaliza aishi kwa Raha Ni ishu ndogo kwake.Yap. Hata ukiachana na mapenzi, katika mambo ya kawaida tu, kama tusingekuwa tunataka zaidi, dunia isingekuwa na fashion. Fashion ni matokeo ya binadamu kutaka kitu tofauti kinachofanya kazi ile ile. Mfano nguo, kazi yake ni kusitiri ila unapoinunua unahitaji zaidi ya kukusitiri.
Umeongea point kinyama Kama mie ninaye mwenye heshima Kama zote yaani hajawahi nikosea sema sio mchacharikaji so natafuta mchacharikaji niongeze ili nizibe ili pengo ama shimo ambalo halijawahi jaa hata nipewe ke zote dunia nzima nitaanza kuwaza na Galaxy zingine Zina ke nzuri zaidi ya hizi za earthHapo Ndo namaanisha hakuna binadamu full package, ni kumvumilia tu yule unayempata.....lakini nyie ndugu zetu mnataka sie tuwe na tako na akili, tukiwa na akili bila tako mnachepuka na wenye mawowo in the name of men are polygamist in nature😂
Haya nishakupata tall and black ila natamani kitoto kiwe kishombe, nikachepuke na mzungu au mwarabu?
Siwezi poteza energy yangu Kwa automatic responderKwanini umekata tamaa ?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Wataelewa tu mwaka huu, wanavyotaka na sisi tunataka.
Wakati wao wanataka mwanamke mwenye tako, msomi, mwenye adabu, mweupe, mwenye K ya moto, mchamungu, nyonyo lisilale hata akinyonyesha.....na akikosa kimojawapo wanachepuka huku wakijifariji men are polygamist in nature🤣🤣
Sie pia tunataka mwanaume mrefu, mweusi, msikivu, mwenye six packs(asiote kitambi Hadi uzeeni), mwenye Hela, awe na muda na sisi, pia akitupa mimba tuzae vitoto vizuri shombe shombe flani hivi🤣🤣🤣🤣🤣
Nimepigwa ban🤐
Naunga mkono hoja 1000%. Ukimchukulia mwanamke ndo kila kitu Katika maisha yako... Jiandae kufa kwa presha au kujinyonga au kuua. Hawana maana kabisa hv viumbeHawa wanawake usiwapende sana ukiwatreat kama vyombo vya starehe hawatakusumbua na utabaki na amani ya akili hata itokee akazingua
Pole Jirani...Nimepigwa ban🤐
🙄 Wakati umechekaPole Jirani...