Hakika mke wa mtu ni sumu, kilichonitokea jana siwezi kurudia tena

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyu atakuwa ni mhamasishaji wa ushoga, si ajabu kuna katafiti anafanya ili aweze kutengeneza mpango mzuri wa kuhamasisha hiyo tabia.
 
😄😄😄😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 yaan umepakwa mafuta nahawaja kufanya chochote?kwahio wakati unavaa boksa wao wanakuangalia tu🤔🤔🤔???.Mpka unakimbia unakodi bajaji wait wapo tu???
 
Huwa nashangaa mwanamke akifumaniwa badala adili na mume wake anadili na mwanamke mwenzie.
Kadhalika na mwanaume unamfumania mwanaume mwenzako unapaswa kudili na mke wako.
Naweza kuchukua hatua dhidi ya wote ikiwa nitakayemfumania ni ndugu yangu au rafiki yangu ambaye ni wazi anajua yule ni mke wangu. Hapo nachukua hatua kwa wote wawili.
 
[emoji477][emoji478][emoji478][emoji477][emoji477] ya moto kabisa hii
 
Acha uongo wamekupaka mafuta halafu umetoroka na boxer ulivaa sa ngap
 
Kuna mtu mfupi mweusi sana jana alipita na spidi ya fuso tulipokuwa tunapiga vikali kimara,alikuwa na boksa tu imetatuka makalioni ulikuwa ndiye wewe mleta mada?,watu walijua ni wizard kapita
 
acha fiksi umeliwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…