Yote kwa yote hawa watu ni wasomi sana.Huenda wewe ndio unahitaji kukimbizwa hospitali ya machizi?
Mara nyingi chizi huona wenzake ndio machizi[emoji1787]
Labda ni
1-udini unakusumbua
2-ukabila na ukanda
3-jinsia
Au roho mbaya?
Jk ataendelea kupendwa kama baba wa demokrasia nchini
Mkuu hebu punguzo Udini basi. Dah huoni aibu???Tokea Uhuru wa Tanzania kama kuna Rais aliyeongoza vibaya na kuharibu kabisa Uchumi wa nchi na kukuza Mmonyoko wa Maadili kwa Watendaji na hata Wananchi huku Kiwango cha Rushwa ( Ufisadi ) ukiongezeka ni Jakaya Mrisho Kikwete.
Huenda nyote mnaompenda na Kumsifia Kutwa Mitandaoni na katika Jamii zetu mnatakiwa mkimbizwe katika Hospitali za wenye matatizo ya Akili ( Wendawazimu ) ili mkapimwe na muanze Tiba ya haraka.
Marais Bora kuwahi kutokea Tanzania ni hawa Wafuatao....
1. Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere
2. Hayati Benjamin William Mkapa
3. Hayati Rais Dkt. John Pombe Magufuli
Ambao unaona sijawataja hapa jua hawakuwa Bora au si bora halafu sijui pia ni kwanini walikuwa / wamekuwa Marais.
Nakubaliana na baadhi ya hoja, lkn nakwambia chuki dhidi ya kikwete iliibuka zaidi baada ya awamu ya 5 kukesha ikimnanga bila soni.....,yaani taifa liliaminishwa hakuna kitu chochote huyo mtu amefanya; kina musical wakaandaliwa na kuwezeshwa kwa ajili hiyo tu. Na kwakuwa watz, wengi wetu, ni watu tu wa kufuata mkumbo basi wafuasi fulani hv wakalishika hilo vema tu.NIMEONA Mzee wetu, Mh. Dkt Kikwete alitokea kupendwa sana na kuaminiwa na watanzania baada ya kutamka ameleta chuma cha pua (Dkt Magufuli) na yeye kukiri watu walimdharau akiwa Rais. Dkt Kikwete alizidi kupata umaarufu ktk utawala wa Dkt Magufuli kwa hekima zake za kutokujisemesha mbovu au kuwa mkimya na kukubaliana na kazi ya Dkt Magufuli. Chuki dhidi ya Dkt Kikwete ilianzia pale alipokiri kuwa eti mafisadi wakishughulikiwa basi nchi haitatawalika (hata IGP Said Mwema alikiri hilo). Basi watu wakasema Dkt Kikwete anakumbatia wezi. Na ktk kipindi chake cha urais ndiyo tulishuhudia ukiukwaji wa haki za binaadamu (ulimboka mpaka leo sijui yupoje unaweza kukuta ni kilema, Daudi Mwangosi aliuawa mchana kweupe, bomu arusha, wizi wa epa, richmond, wafanyakazi hewa, etc). Dkt Magufuli aliposhika hatamu alifanya kazi kurekebisha na ktk kurekebisha huko Dkt Kikwete alisifia pia na watanzania wakaona ana hekima. Ila waliomharibia na wapambe wake akina Makamba, Nape, Rais Samia etc. Wao badala ya kuonesha hudhuni ya msiba walianza na kuonesha kufurahia kifo cha Dkt Magufuli. Kushangilia huku kwa wapambe wake ndiko kumeunganisha doti kuwa Dkt Kikwete anahusika na kifo cha Dkt Magufuli ili aendelee kutawala kupitia Rais Samia. Sharti hawa akina Nape wangejua wanavyoropoka na kufurahia kifo cha Dkt Magufuli wanazidi kumharibia Dkt Kikwete ambaye ni kipenzi cha wote wangenyamaza. Dkt Kikwete ana hekima sana tena sana, ni muadilifu mno, ila ana zungukwa na watu wenye upeo mdogo wa kuchambua mambo na wasiokuwa wavumilivu.
Pamoja na hilo ila pia serikali ya Dkt Kikwete ilifanya mambo mengi mabaya na kila tuhuma zilikuwa na ukweli. Tofauti na serikali ya Rais Samia kwa sasa inflation ni zaidi ya 100%, ambayo imejitambulisha ni serikali ya Dkt Kikwete na ndiyo maana Dkt Kikwete anachukiwa na Rais Samia anachukiwaNakubaliana na baadhi ya hoja, lkn nakwambia chuki dhidi ya kikwete iliibuka zaidi baada ya awamu ya 5 kukesha ikimnanga bila soni.....,yaani taifa liliaminishwa hakuna kitu chochote huyo mtu amefanya; kina musical wakaandaliwa na kuwezeshwa kwa ajili hiyo tu. Na kwakuwa watz, wengi wetu, ni watu tu wa kufuata mkumbo basi wafuasi fulani hv wakalishika hilo vema tu.
Haya, endelea kuabudu maiti hiyo.Humpunguzii chochote kapuku wewe unayenuka umasikini.
Jakaya Kikwete ndiye Rais bora kabisa kutokea nchi hii tangu uhuru akifuatuwa na Rais Samia.
Kwa kauli zako tu hizi unaonekana na masikini unayetaka kumtupia JK lawama za uvivu wako uliopelekea umasikini wako.
JK dunia inamjua vizuri kwa utawala wake uliotukuka kwa kuwaleta Watanzania pamoja, mpinzani wa kisiasa alipewa haki sawa na mwana ccm.
Huyu JK ana umalaika ndani yake kwahiyo hapendwi na shetani pamoja na wafuasi wake Kama wewe.
Asante kwa ujumbe.Nakubaliana na baadhi ya hoja, lkn nakwambia chuki dhidi ya kikwete iliibuka zaidi baada ya awamu ya 5 kukesha ikimnanga bila soni.....,yaani taifa liliaminishwa hakuna kitu chochote huyo mtu amefanya; kina musical wakaandaliwa na kuwezeshwa kwa ajili hiyo tu. Na kwakuwa watz, wengi wetu, ni watu tu wa kufuata mkumbo basi wafuasi fulani hv wakalishika hilo vema tu.
JK yuko zake huko anakula maisha Kwa kuaminiwa na Jumuiya ya Kimataifa..👇Ni nadra kupita siku bila kutukanwa huyu mzee, kama sio thread basi comments za wadau.....lkn lazima atukanwe!
Ni nadra kupita siku bila familia ya huyu mzee kutukanwa.
Ni nadra kupita siku bila utawala wake uliopita kudhihakiwa...dhihaka zenye kukera kabisa zingine. Aliyotafanya au kuyaasisi yote anapewa mpendwa wao!
Ni nadra kupita siku bila, zaidi ya mara moja, mtu huyu kutukaniwa watu aliowahi kufanya nao kazi....yaani kama ulifanya kazi na jk humu usipite.......yote yanayowakuta kina makamba na nchemba ni kwakuwa tu walidanya kazi na jk.
Ni nadra kupita siku bila kuendelea kuzushiwa huyu mzee na mambo ya ajabu na mazito kwelikweli......kuzushiwa kuua mtu si jambo dogo! Amechukuliwa mpaka picha yake akiwa ibadan, Mekka, na mkewe na marafiki na kunasibisha na habari zao za kisheitwani walizotunga.
N.K
Wakati hayo yote yakifanyika kwa lengo la kumchafua mbele ya taifa na mataifa na kimataida; asinoge, anuke, asahaulike, apuuzwe n.k., Mungu amesema hapana na huyooo wamemchukua kusimamia uchaguzi muhimu wa Kenya.......mpaka sasa mambo yanaonekana kwenda vizuri.
Tuhuma zote za JK haziwezi zidi tuhuma za uuaji na wizi wa Mwendazake 👇Pamoja na hilo ila pia serikali ya Dkt Kikwete ilifanya mambo mengi mabaya na kila tuhuma zilikuwa na ukweli. Tofauti na serikali ya Rais Samia kwa sasa inflation ni zaidi ya 100%, ambayo imejitambulisha ni serikali ya Dkt Kikwete na ndiyo maana Dkt Kikwete anachukiwa na Rais Samia anachukiwa
Exactly,wadini mnoooMkuu unahangaika bure,
Hawa wenzetu wao wanajua wazuri ni wa kwanza wa tatu na wa tano basi, hao wengine ni wabovu, wakiambiwa wathibitishe wanaleta story za vijiweni sasa kama sio udini ni nini?
Akili kichwani mwako,
Jamaa ni wadini kupita maelezo
Karma is real !!Hamna cha the hate hapo. Mimi ni msema kweli tu. Simchukii ila namdharau.
Huo ndio ukweli. Hana jipya huyo, mwendo ameumaliza. Hata uso wake tu unaonesha kashaumaliza mwendo.
Na kibaya zaidi hawezi kuwa na uzee wenye heshma kama ule wa sampuli wa Nyerere.
Ameshajiingiza kwenye MAGENGE YA UHALIFU na matakataka ya ajabu ajabu.
He is really doomed. I can't see any future for him.
Alitumia PESA zetu kuanzisha mchakato wa KATIBA mpya na mwisho akauvuruga.Ni nadra kupita siku bila kutukanwa huyu mzee, kama sio thread basi comments za wadau.....lkn lazima atukanwe!
Ni nadra kupita siku bila familia ya huyu mzee kutukanwa.
Ni nadra kupita siku bila utawala wake uliopita kudhihakiwa...dhihaka zenye kukera kabisa zingine. Aliyotafanya au kuyaasisi yote anapewa mpendwa wao!
Ni nadra kupita siku bila, zaidi ya mara moja, mtu huyu kutukaniwa watu aliowahi kufanya nao kazi....yaani kama ulifanya kazi na jk humu usipite.......yote yanayowakuta kina makamba na nchemba ni kwakuwa tu walidanya kazi na jk.
Ni nadra kupita siku bila kuendelea kuzushiwa huyu mzee na mambo ya ajabu na mazito kwelikweli......kuzushiwa kuua mtu si jambo dogo! Amechukuliwa mpaka picha yake akiwa ibadan, Mekka, na mkewe na marafiki na kunasibisha na habari zao za kisheitwani walizotunga.
N.K
Wakati hayo yote yakifanyika kwa lengo la kumchafua mbele ya taifa na mataifa na kimataida; asinoge, anuke, asahaulike, apuuzwe n.k., Mungu amesema hapana na huyooo wamemchukua kusimamia uchaguzi muhimu wa Kenya.......mpaka sasa mambo yanaonekana kwenda vizuri.
Na ole wake ajichanganye Kama kwetu 2015 kuchezesha karata ,wakenya watamvulumishaNi nadra kupita siku bila kutukanwa huyu mzee, kama sio thread basi comments za wadau.....lkn lazima atukanwe!
Ni nadra kupita siku bila familia ya huyu mzee kutukanwa.
Ni nadra kupita siku bila utawala wake uliopita kudhihakiwa...dhihaka zenye kukera kabisa zingine. Aliyotafanya au kuyaasisi yote anapewa mpendwa wao!
Ni nadra kupita siku bila, zaidi ya mara moja, mtu huyu kutukaniwa watu aliowahi kufanya nao kazi....yaani kama ulifanya kazi na jk humu usipite.......yote yanayowakuta kina makamba na nchemba ni kwakuwa tu walidanya kazi na jk.
Ni nadra kupita siku bila kuendelea kuzushiwa huyu mzee na mambo ya ajabu na mazito kwelikweli......kuzushiwa kuua mtu si jambo dogo! Amechukuliwa mpaka picha yake akiwa ibadan, Mekka, na mkewe na marafiki na kunasibisha na habari zao za kisheitwani walizotunga.
N.K
Wakati hayo yote yakifanyika kwa lengo la kumchafua mbele ya taifa na mataifa na kimataida; asinoge, anuke, asahaulike, apuuzwe n.k., Mungu amesema hapana na huyooo wamemchukua kusimamia uchaguzi muhimu wa Kenya.......mpaka sasa mambo yanaonekana kwenda vizuri.
Labda inamjua kwa ufisadi wake na unafkiHumpunguzii chochote kapuku wewe unayenuka umasikini.
Jakaya Kikwete ndiye Rais bora kabisa kutokea nchi hii tangu uhuru akifuatuwa na Rais Samia.
Kwa kauli zako tu hizi unaonekana na masikini unayetaka kumtupia JK lawama za uvivu wako uliopelekea umasikini wako.
JK dunia inamjua vizuri kwa utawala wake uliotukuka kwa kuwaleta Watanzania pamoja, mpinzani wa kisiasa alipewa haki sawa na mwana ccm.
Amezomewa wapi mh ama ni meneo gani aliyozomewa mkuu duu ila binadamu tuna chuki ya kiwango cha SGRViongozi waliopo na wajao sina uhakika kama wanajifunza lolote. Hebu just imagine mzee Mwinyi , wakuu wa majeshi wastaafu, mzee warioba unaweza ongeza wa kwako , wanavyo enjoy ustaafu wao. They are just happy na wana public acceptance wanaweza wakatokea popote wakagonga cheers na wananchi wa kawaida kabisa , why mzee kikwete anazomewa kila mahala? Hayuko comfortable na public ? Hii ni changamoto kwa viongozi wajao na wa sasa ku win public share ama ku engage dubious deals na kukosa public acceptance .mtu unakataliwa hadi unauharibia uzao wako. Shame .
Akili huna wewe!Humpunguzii chochote kapuku wewe unayenuka umasikini.
Jakaya Kikwete ndiye Rais bora kabisa kutokea nchi hii tangu uhuru akifuatuwa na Rais Samia.
Kwa kauli zako tu hizi unaonekana na masikini unayetaka kumtupia JK lawama za uvivu wako uliopelekea umasikini wako.
JK dunia inamjua vizuri kwa utawala wake uliotukuka kwa kuwaleta Watanzania pamoja, mpinzani wa kisiasa alipewa haki sawa na mwana