Michembe MITAMU
Member
- Feb 6, 2024
- 7
- 15
Nimechekaaa 😄😄😄ndioo hivyoo huku makazini..kwani na ninyi si mnaendaa makazini?...Kuna Jamaa alishawahi kuleta ushuhuda humu JF kwamba kuna siku alisahau funguo yake ya mlango ikabidi aende Kazini kwa Mkewe kufuata funguo maana waligawana funguo.
Jamaa anasema ile anafika pale anamuona Mkewe anamtegea tako Mwanaume ambaye ni Mfanyakazi mwenzie alafu yule Mwanaume anapiga tako kwa mkono wake, hii ni changamoto sana kwenye ndoa zetu.
EwaaaaaaaahhhMke ni wangu akiwa ndani.
Akiwa kazini ni wenu.
Chezeni naye mkichoka atakuja nyumbani nitampa huduma zote kama mke wangu.
Kuku wangu manati ya kazi gani?
😂😂😂😂😂😂Duuh inachoma kama pasi.Kuna mtu alienda kazini kwa mke wake ,akawakuta machekibobu wanajadili tako la mke wake ,wengine wanadai mchina wengine wanadai OG.
Jamani sasa tusipendezeeee😄😄😄😂Ila tunaenjoy huku makazini kuliko nyumbaniiiiMkeo anadamka alafajiri na mapema hataki hata kukuandalia chai , anaenda bafuni anakua huko anaoga muda mrefu, ana weweseka kwenye kioo akijaribu nguo za hapa na pale, anajipiga manukato isivyo kawaida yani hata ukitoka nae out hawi hivyo smart mwanaume unachekacheka kumbe anamvalia vizuri mume wake wa ofisini ili muda wa lunch apendeze mbele ya mume wake wa ofisini wakati wanaongozana.
Anasifiwa huko , mumewe wa kazini anambinyabinya mataco alafu ana mwambia mwambie mumeo wa ndoa una kazi kibao utachelewa kurudi kumbe anakukazia mkeo juu ya meza za ofisi.
Hakika ni ukweli mchungu sana huu taka msitake inauma sana.
Kabisa mkuu...vijana na waelewe hapaaIngawa ni ngumu.....ila ukishaoa au kuolewa acha kumchunguza chunguza mkeo au mumeo........hii ni utimamu wa afya yako na kwa urefu wa maisha yako.....
Ipo waziJamani sasa tusipendezeeee[emoji1][emoji1][emoji1][emoji23]Ila tunaenjoy huku makazini kuliko nyumbaniiii
Mwanamke kuvusha ni uwezekano upo lakini bado ni mdogo kuliko kuchepuka huko maofisini. Kwanza nyumbani kuna nyumba za majirani, atahofia sana usalama wa kuvusha mchepuko labda nyumba iwe imejitenga sana na majirani.Unajidanganga saanaa!! Huwajui vizuri hao unaosema waaminifu!! Hao ni hatari kuliko unavyowaza!! Unatoka tuu asbh, dume linaingia!! Linapikiwa chai nzito linakula na zawadi juu!! Hadi uje urudi toka huko kazini kwako, kashaingiza wanaume Hadi watatuu!! Chezea wanawake wewee[emoji68]🦯[emoji68]🦯[emoji68]🦯[emoji68]🦯
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
NaaaamEwaaaaaaaahhh
Inauma sana, yaani bora mtu usijue..Nimechekaaa 😄😄😄ndioo hivyoo huku makazini..kwani na ninyi si mnaendaa makazini?...
Noma sanakweli mkuu sikupingi nmeshuhudia[emoji16][emoji16]
Anafika nyumbani kanuna na hasira kibao, mume wa ndoa anazani labda kuna mahali kamkosea mkewe. Ana mplease na kumuomba amnyandue labda atakaa sawa . Anabaniwa mapaja eti sijisikii kumbe mke wake kaibiwa mume wake wa kazini na mfanyakazi mpyaYani huko maofisini kuna mapenzi ya kuoneana wivu kabisa. Mwanamke ni mke wa mtu, lakini akiona leo kidume chake alichokizoea kina mingo na staff mwingine wa kike ambaye ni mgeni, moyo unampasuka hadi anaweweseka. Hapo utasema kuna mke tena hapo!!?
Poleni sanaaaInauma sana, yaani bora mtu usijue..
wapo wanawake waliojiajili wanamegwa na wateja ili kusecure deals, wapo wake za maboss wanamegwa na house boys na madereva wao wanakwaya wenzao manabii wao.Ni umasikini wa kipato ila mke anapaswa kua wa nyumbani wana roho nyepesi......napenda sanaa tabia za waislamu wengi wanao kataza wake zao kufanya kazi za kuajiriwa heshima ya mwanamke ni kulea mme na watoto.