Vocal Fremitus
JF-Expert Member
- Oct 20, 2016
- 1,287
- 6,648
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]Anafika nyumbani kanuna na hasira kibao, mume wa ndoa anazani labda kuna mahali kamkosea mkewe. Ana mplease na kumuomba amnyandue labda atakaa sawa . Anabaniwa mapaja eti sijisikii kumbe mke wake kaibiwa mume wake wa kazini na mfanyakazi mpya
Huko ni kujifariji tu! Usaliti ni usaliti tu, iwe kwa muuza genge au mabosi wanapokezana.Mwanamke anaefanya kazi huwa ana hadhi yake, Huwa haliwi na watu wa hovyo... We kubali tu mwenye kigenge anakubondea mkeo utulie
Dunia hakuna jambo jipya... Umalaya ni biashara Kongwe kuliko biashara yoyote...Ndugu zangu wanaume wanawake waliumbwa kwaajili yetu na sio sisi kwaajili yao, sasa kaa ukijua huyo mkeo wa ndoa mama watoto wako muajiriwa huku kazini kwake ana mume wake wanae kula nae maisha
💯AgreedMwanamke anakua mrahisi kwa mtu anaeshinda nae muda mwingi haijalishi pesa ipo au sura ngumu ila ukizoeana tu na mwanamke asilimia za kumla ni 90%
Kwaiyo mtoa uzi yupo sahihi mfano mimi sina mvuto kwa wanawake yani nikipita apo akuna mwanamke anaweza shtuka ila wale niliozoeana nao wote nishatafunatafuna, kwaiyo uko maofisini mabalaa lazima yawepo tu akuna namna chamsingi kumbushaneni kujilinda na maradhi tu mwanamke ukimpa time yakutosha anavua chupi tu hata kwenye utani
Sent from my motorola one macro using JamiiForums mobile app
[emoji1787] [emoji1787] Umeona bora ujikatie tamaa na kujifariji ili maisha yaendelee. Heko mkuuMke ni wangu akiwa ndani.
Akiwa kazini ni wenu.
Chezeni naye mkichoka atakuja nyumbani nitampa huduma zote kama mke wangu.
Kuku wangu manati ya kazi gani?
Mimi Huwa nawaza Huwa hawachoki au mm tu ni mvivu 😃yani upigwe kazini urudi uoshe vyombo upike upigwe tena na mumeo aiseeMke ni wangu akiwa ndani.
Akiwa kazini ni wenu.
Chezeni naye mkichoka atakuja nyumbani nitampa huduma zote kama mke wangu.
Kuku wangu manati ya kazi gani?
Uko sahihi kabisa,Kama mtoa mada alivyosema ndivyo inavyokuwa .Kuna siku nikiwa Mtwara Kuna jamaa alikuja kwangu asubuhi analia,akanambia mke wake kamwambia kuama amfate akamjibu amechoka kupigiwa kelele,jamaa akaangaika sana kwa maswali mengi,mwishoni akanambia Ndo mwisho wa ndoa Yao na ilikuwa hivo kumbe alijua kinachoendelea.Nafikilli Kama Mungu asipoinusulu hali hii watoto wetu na wajukuu kwa badae hakutakuwa na taasisi ya Ndoa(kwa hizi changamoto za wanawake walio na kazi licha ya kuwa SI wote lakini asilimia kubwa wanaume wanalia)Mwanamke anakua mrahisi kwa mtu anaeshinda nae muda mwingi haijalishi pesa ipo au sura ngumu ila ukizoeana tu na mwanamke asilimia za kumla ni 90%
Kwaiyo mtoa uzi yupo sahihi mfano mimi sina mvuto kwa wanawake yani nikipita apo akuna mwanamke anaweza shtuka ila wale niliozoeana nao wote nishatafunatafuna, kwaiyo uko maofisini mabalaa lazima yawepo tu akuna namna chamsingi kumbushaneni kujilinda na maradhi tu mwanamke ukimpa time yakutosha anavua chupi tu hata kwenye utani
Sent from my motorola one macro using JamiiForums mobile app
NAKAZIA SANANikiwa mgeni kazini nilikuwa nastaajabu, mama mmoja mfanyakazi mwenzangu akaniambia nisishangae, hayo ni mambo ya kawaida maofisini. Haya mliooa wanawake wa maofisini jueni na fahamuni hamko peke yenu kwenye penzi. Ndoa zenu ni nyumbani tu, huku maofisini ni anga zingine za mahusiano ya kimapenzi, tena msipokuwa makini mtachomekewa watoto si wenu kwa mimba kutungwa nje ya ndoa, mtaishia kujifariji kitanda hakizai haramu. Vumilieni wake zenu msitake kujua kama mnasilitiwa mtakufa mapema kwa presha, ukweli ndio huo
Acha kujifariji ,huyo mzee alishakata tamaaNimebadili msimamo mkali sitaki wivu wa kimapenzi, akiliwa ofisini kwake akija home anaiosha na mimi nakula, maisha yanaendelea. Mzee mmoja alinishauri nisifuatilie kujua analiwa au haliwi cha msingi anaishi na mimi, full stop
Mwanamke ana athirika sana na wema anaotendewa..Watoto wa mjini wanaita Chambo. Ukimjali kidogo mwanamke kihisia na kiuchumi basi lazima akulipe kwa kukuvulia chupi.Thats the point..uka gongwe kisa mchele au mafuta ya kula kweli??? Hii sio sawa
Hii nimeiona kwa jirani yangu,alikuwa na mke kila mara akimwambia yuko overtime mpaka saa saa 4 usiku,siku hiyo akataka tumfuatilie mkewe,mkewe alikuwa mhasibu wa kampuni fulani.Tulipofika pale kazini,tukakutana na walinzi getini,wakatuambia mbona wafanyakazi wote kwa mda mrefu,wanatoka toka saa tisa.Na taa za maofisini mote zimezimwa.Salamu ndugu zangu
Huu ukweli ni mchungu sana na unachoma kama miale ya moto ila lazima usemwe ili ujue kama mwanaume utaamua kunyoa au kufuga nywele
Ukweli hakuna mwanamke aliyeajiriwa mwenye mwanaume mmoja sahau kabisa ewe mwanaume mwenye akili timamu, hata huyo mkeo akijifanya hataki baby wa ofisini wenzake watamsukumizia na kumsumbua mpaka akubali kuwa na baby boy wake wa ofisini. Haya ndiyo tunayo yaona huku maofisini ndugu zangu
Enyi wanaume mliooa wanawake waajiriwa jueni jambo hili kwamba kwenye ndoa zenu hamko peke yenu, mwanamke wako aliye ajiriwa huku ofisini ana mume wake pia na wanapanga mpaka siku ya valentine days namna watakavyo nyanduana nakufurahia siku yao
Huyo mkeo mwajiriwa aliye kua ana kusaidia ukikwama ipo siku ukweli na kuambia atakataa kukusaidia vijisenti kidogo kumbe huyu mumewe wa kazini kwake kamwambia hela ya mwanamke haina matumizi, haitumiki na haihesabiki ndani ya ndoa ni ya kwake peke yake
Huyo mkeo ana mume wake wa ofisini anaye muomba hela na kumsimulia madudu yako unayomfanyia huko ndani ya ndoa yenu, atamuambia huyo baby wake wewe unamtesa na haumpi raha ya maisha.
Huyo mkeo mwajiriwa ana mume wake ambae siku wakienda ziara za kikazi au kwenye semina anampa utelezi huku anakung'ong'a wewe, hakika anampea yote kuliko anavyokupea wewe huko ndani ya ndoa
Hakika huyo mkeo muajiriwa ana mume wake ofisini anayemliwaza na kumpafuraha ambazo nyumbani ana sema hazipati , huku atabebwa, atakumbatiwa kwa mahaba mazito huku akinusa harufu ya manukato mazuri ya mume wake wa kazini si chini ya sekunde , watatoka breakfast na lunch time huku wameshikana mikono atakula kwa bili ya mumewe wa kazini tena sehemu za migahawa nzuri nzuri na wakimaliza watarudi ofisini huku akiwa na furaha tele wakipiga story za hapa na pale
Huyo mke wako ana mume wake ambaye huku kazini watacheza na kufanya utoto wote ikiwemo kumvuta kwenye hivi viti vya matairi boss akiondoka, kutaniana na kumshikashika mpaka aloe shwaaa
Huyo mkeo muajiriwa hakika ipo siku atachelewa kurudi nyumbani akisingizia anapiga kazi hadi overtime atasema ana extra days ila kaa ukijua yupo na mumewe wa ofisini akila maisha huku anakung'ong'a wewe mumewe wa ndoa
Huyo mkeo mbaya zaidi akiwa ofisi moja na ex-wake kaa ukijua wewe ni geresha tuu na huyo ex wake ndiye mumewe ni vile tuu analala kwako
Huyo mkeo mwajiriwa ipo siku atakuambia amechoka maisha haya ya mateso ili hali humtesi kumbe kapumbazwa na mumewe wa ofisini kwake
Hakika huyo mkeo wa ndoa atakuwekea visirani, visasi, na viugomvi ugomvi ili uingie kingi mfarakane aivunje ndoa mgawane mali aweze kwenda kuenjoy na baby wake wa kazini
Hakika huyo mkeo wako ana mume wake wakazini anaye mzuzua mpaka akuone wewe mumewe humpi uhuru na ataanza kukudai uhuru hakika.
Ndugu zangu wanaume wanawake waliumbwa kwaajili yetu na sio sisi kwaajili yao, sasa kaa ukijua huyo mkeo wa ndoa mama watoto wako muajiriwa huku kazini kwake ana mume wake wanae kula nae maisha