Hakika Rais Samia amenifurahisha sana kwa kuiondoa nchi kwenye muelekeo wa uchumi na China

Hakika Rais Samia amenifurahisha sana kwa kuiondoa nchi kwenye muelekeo wa uchumi na China

PakiJinja

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2012
Posts
11,689
Reaction score
25,848
Kwa kuiondoa nchi kwenye muelekeo wa uchumi na China, hakika katika hili Rais Samia anastahili pongezi na binafsi nampongeza sana.

Wakati wote nilikua nina wasiwasi pale nilipoona kiongozi anaweka mafungamano ya kiuchumi na kijamii na Wachina, Wahindi na Waturuki. Hawa pamoja na mafanikio kwenye nchi zao lakini kamwe hawawezi kujuletea matokeo kwake, ni aina ya washirika fulani washenzi washenzi ambao katika ushirika wenu wao huumizwa na mafanikio yako (Sijui hii roho wachina wameiokota wapi).

Kwangu naona waarabu ni very best na hawa, kama tutaacha ujinga wetu wa kutokua makini, naamini waarabu tutafika nao mbali sana.

Kwa kuubadili uelekeo wa nchi kutoka China, India na Turkey na kuuelekeza kwa waarabu, hakika rais Samia umeutuliza moyo wangu.

Ninaweza nikapinga aina ya mikataba na hawa waarabu, lakini si wawekezaji wa kiarabu. Zaidi ninachojua mimi mikataba hii mibovu huwa inakua engineered na Watanzania wenyewe ili wavute percents zao sababu ya ubinafsi na ufisadi tu.
 
Samia kafungua nchi kwa papara mpaka mwishowe ametuacha uchi, sasa mwarabu anatuchungulia tu.
Labda kwa aina ya mikataba, ambalo tatizo huwa ni sisi wenyewe, maana hatupiganii wala kuweka mbele heshima na maslahi ya nchi, lakini waarabu hawana shida at all.
 
Kuna uzi niliandika 2021 .

Samia yuko vizuri sana. Mimi ninamchukulia kama Den Xiaoping kwa Tanzania

Hata Den Xiapoing hakueleweka na wachina mwanzoni ila kwa sasa ndo wanamuita the father of modern China
Licha ya kukuelekeza kote na kukupa vifungu vya kinyonyaji ajabu bado huelewi, utakuwa na kichaa cha mbwa.
 
Tatizo Sa100 ana delegate sana kazi kwa wasaidizi wake (muende kulitazama) matokeo yake wanamdharau wanatuingiza ktk mikataba ya hovyo kwa maslahi ya matumbo yao.

Dhamira ya Sa100 ni njema sawa ila awe mkali na mfuatiliaji zaidi asiwe goigoi wabongo wengi washenzi!
 
Hatutaki kelele
 

Attachments

  • 69480.jpg
    69480.jpg
    14.9 KB · Views: 2
Kuna uzi niliandika 2021 .

Samia yuko vizuri sana. Mimi ninamchukulia kama Den Xiaoping kwa Tanzania

Hata Den Xiapoing hakueleweka na wachina mwanzoni ila kwa sasa ndo wanamuita the father of modern China
Una mfananisha Deng Xiaoping na huyu Rais wenu ? I think you are not ok

You Africans you need to be serious in important things don't act childish all the time
 
Kama kwenye awamu yenu mmeshindwa kuendesha bandari kwa nini muashumu kwamba vizazi vyote hawataweza kwa kusaini mkataba wa milele?
 
Umeelezea vizuri sana. Hawa watu sijui wamepata maendeleo kivipi.Ukiangalia Dubai,ilikuwa ni kijiji cha uvuvi, nyumba zilizoezekwa kwa majani ya mitende, miaka ya 80. Hawana mafuta,hawana dhahabu,hawana almasi, hawana madini yoyote. Ni Bandari tu, ndio imewainua kutoka 0 mpaka juu zaidi.
 
Kwa kuiondoa nchi kwenye muelekeo wa uchumi na China, hakika katika hili rais Samia anastahili pongezi na binafsi nampongeza sana.
Wakati wote nilikua nina wasiwasi pale nilipoona kiongozi anaweka mafungamano ya kiuchumi na kijamii na Wachina, Wahindi na Waturuki. Hawa pamoja na mafanikio kwenye nchi zao lakini kamwe hawawezi kujuletea matokeo kwake, ni aina ya washirika fulani washenzi washenzi ambao katika ushirika wenu wao huumizwa na mafanikio yako (Sijui hii roho wachina wameiokota wapi).
Kwangu naona waarabu ni very best na hawa, kama tutaacha ujinga wetu wa kutokua makini, naamini waarabu tutafika nao mbali sana.
Kwa kuubadili uelekeo wa nchi kutoka China, India na Turkey na kuuelekeza kwa waarabu, hakika rais Samia umeutuliza moyo wangu.
Ninaweza nikapinga aina ya mikataba na hawa waarabu, lakini si wawekezaji wa kiarabu. Zaidi ninachojua mimi mikataba hii mibovu huwa inakua engineered na watanzania wenyewe ili wavute percents zao sababu ya ubinafsi na ufisadi tu.
You are hating chinese but you are praising the arabs to exploit your country

Sometimes I wonder if Africans are same like other human beings in kind of this situation
 
Umeelezea vizuri sana.Hawa watu sijui wamepata maendeleo kivipi.Ukiangalia Dubai,ilikuwa ni kijiji cha uvuvi,nyumba zilizoezekwa kwa majani ya mitende,miaka ya 80.Hawana mafuta,hawana dhahabu,hawana almasi,hawana madini yoyote.Ni Bandari tu,ndio imewainua kutoka 0 mpaka juu zaidi.
Mnapaswa kuwa makini msifikiri watu wa nje wanakuja kuendeleza nchi yenu bila nyie kuwajibika. You need to change in a big way
 
You are hating chinese but you are praising the arabs to exploit your country

Sometimes I wonder if Africans are same like other human beings in kind of this situations
Umesoma au umerukaruka ili uwahi kuandika kwa kidhungu kabla mtu hajakutisha na kukupelekea usahau?
 
Back
Top Bottom