Hakika Rais Samia amenifurahisha sana kwa kuiondoa nchi kwenye muelekeo wa uchumi na China

Hakika Rais Samia amenifurahisha sana kwa kuiondoa nchi kwenye muelekeo wa uchumi na China

Love your country, build your country don't depends on strangers to do for you.
It's okay to Love your country, but my country people wanai defile nchi yao. Hawana uwezo wala nia ya kuijenga bala kuendelea kuinajisi.
 
It's okay to Love your country, but my country people wanai defile nchi yao. Hawana uwezo wala nia ya kuijenga bala kuendelea kuinajisi.
Watu wanapenda nchi pale ambapo serikali ina wajibika kwa asilimia kubwa kwa maendeleo ya nchi.

Matatizo yana anzia kwenye serikali kwanza isipotaka kuwajibika kwa maendeleo ya nchi hii huwa ni tatizo kubwa
 
Well said.
Hata uchaguzi hawawezi kusimamia na wala hawakuweza kulinda, halafu leo hii wakakinde bandari.
Sisi badala tuungane tuwe tunajadili nini chakufanya kila mmoja kwa nafasi yake tuna ponda tu naku zira watu hawapati hasira
 
Samia kafungua nchi kwa papara mpaka mwishowe ametuacha uchi, sasa mwarabu anatuchungulia tu.
We jamaa unahangaika sana aisee,unazunguka kwenye kila thd na kupost the same! ulikua mpigaji pale port na sasa hofu imekujaa?
 
Kwa kuiondoa nchi kwenye muelekeo wa uchumi na China, hakika katika hili Rais Samia anastahili pongezi na binafsi nampongeza sana.

Wakati wote nilikua nina wasiwasi pale nilipoona kiongozi anaweka mafungamano ya kiuchumi na kijamii na Wachina, Wahindi na Waturuki. Hawa pamoja na mafanikio kwenye nchi zao lakini kamwe hawawezi kujuletea matokeo kwake, ni aina ya washirika fulani washenzi washenzi ambao katika ushirika wenu wao huumizwa na mafanikio yako (Sijui hii roho wachina wameiokota wapi).

Kwangu naona waarabu ni very best na hawa, kama tutaacha ujinga wetu wa kutokua makini, naamini waarabu tutafika nao mbali sana.

Kwa kuubadili uelekeo wa nchi kutoka China, India na Turkey na kuuelekeza kwa waarabu, hakika rais Samia umeutuliza moyo wangu.

Ninaweza nikapinga aina ya mikataba na hawa waarabu, lakini si wawekezaji wa kiarabu. Zaidi ninachojua mimi mikataba hii mibovu huwa inakua engineered na Watanzania wenyewe ili wavute percents zao sababu ya ubinafsi na ufisadi tu.
Nenda Lindi,Tanga, Pangani, Bagamoyo, Kilwa ukaone waarabu wanavyoacha mahali pamechoka. Ulishawahi kuona mfanyakazi wa Mwarabu amejenga japo kakibanda?
 
Labda kwa aina ya mikataba, ambalo tatizo huwa ni sisi wenyewe, maana hatupiganii wala kuweka mbele heshima na maslahi ya nchi, lakini waarabu hawana shida at all.
Kwa hiyo in your mind

Mwarabu: Nipe bandari yako nikuendeshee kwa miaka 20 halafu utakuwa unapima performance yangu, Mapato yote natuma kwenye serikali

Samia: Hapana fanya ivi, chukua bandari milele hapafu robo ya mapato utakuwa unanitumia kwenye account yangu uswisi.

Ndo unamaanisha hivo mkuu??
 
Nenda Lindi,Tanga, Pangani, Bagamoyo, Kilwa ukaone waarabu wanavyoacha mahali pamechoka. Ulishawahi kuona mfanyakazi wa Mwarabu amejenga japo kakibanda?
Sasa wewe unawaongelea wale waarabu wenu akina Mzee wa Mjegeje?🤣
Waarabu wa sasa wapo more modernised and westernised lijapo swala la maendeleo.
 
Kwa hiyo in your mind

Mwarabu: Nipe bandari yako nikuendeshee kwa miaka 20 halafu utakuwa unapima performance yangu, Mapato yote natuma kwenye serikali

Samia: Hapana fanya ivi, chukua bandari milele hapafu robo ya mapato utakuwa unanitumia kwenye account yangu uswisi.

Ndo unamaanisha hivo mkuu??
Hapo Mwarabu ana tatizo gani sasa?
 
Tatizo Sa100 ana delegate sana kazi kwa wasaidizi wake (muende kulitazama) matokeo yake wanamdharau wanatuingiza ktk mikataba ya hovyo kwa maslahi ya matumbo yao.

Dhamira ya Sa100 ni njema sawa ila awe mkali na mfuatiliaji zaidi asiwe goigoi wabongo wengi washenzi!
Dhamira yake nzuri wewe unaijuaje kama hasimamii?
 
Mchina naye angepewa bandari

Ingekuwa balaa zaidi

Ova
 
Watanzania hata kusimamia miguu tu ni mgogoro
tunaweza mkuu. sema haya mashirika ya Umma viongozi wanachota sana
mbona mabenk haya makubwa yanaendeshwa na wabongo na yanatengeneza faida
mashirika ya umma vimemo vingi vya kukwepa kodi na kuchota hela za uchaguzi
 
Back
Top Bottom