Hakika UKIMWI ni ugonjwa wa maskini. Magic Johnson kaishi nao miaka 32

Tatizo NI kukimbilia kuanza kutumia Arv's badala ya kukimbilia kuanza kutumia vyakula vya kuimarisha Kinga,hasahasa vyakula vya vitamin C.
 
Nahisi hivyo pia[emoji848][emoji848]
Siyo kuhisi,doctor wake alishautonya umma kuwa jamaa hana cha ngoma wala nini,alikuwa tu anawatimua mabinti wakware waliokuwa wakimsumbua,kuna binti aliwahi kushuka jukwaani na kuvua chupi na kumfuta nayo jasho jamaa alipokuwa anatoka uwanjani kucheza,walimuwinda vilivyo
 
Eazy E na Freddy Mercury walikuwa maskini?
Eazy E na Freddie Mercury walikuwa wamejikatia tamaa, wana aibu kutengwa, wameharibika kisaikolojia na matibabu labda hawakuzingatia. Na huwezi jua waliupata lini kabla hawajagunduliwa maana Johnson alitangazwa akiwa na afya tele.

Kuwa na hela pekee haitoshi. Discipline ya afya, lishe, saikolojia kujikubali, genes zako na mengine. Ila kuwa na hela kunachangia pakubwa kumsogeza muathirika.
 

Kweli kabisa, siku hizi ukimwi imeisha nguvu ndio maana watu wanadharau. Zamani mtu akiugua kwa ukimwi ilikuwa aibu maana kila mmoja anakuona unavyohangaika na kukondeana. Ilikuwa aibu Sana, na Ukimwi uliogoowa Sana sema ndio hivyo ngono haiepukiki kwa wanadamu.
 
vizuri kama ni hivyo.. ila njia aliyotumia nadhani kama sio nzuri sana, unajua UKIMWI bhana🤔🤔
 

Kweli kabisa. Saikolojia ni muhimu Sana kwenye UKIMWI. Ukiishinda saikolojia kwenye Ngoma mengine utayaweza. Wengi walianza kuwaza kuwa watakufa, wataiacha watoto etc wanapotea.
 
Wenzetu utajiri hawaangalii cash tu. Unaweza ambiwa una dola milioni nane na ukawa hauna pesa ya kula. Hapo wanathaminisha nyumba, boti, mikataba yako nk.

Yani uwe na bilioni mbili na ushee za Mali na ukose pesa ya kula? Hapana. Shida ya Eazy E alikuwa mtumia madawa na ndipo alipoupatia Ngoma kwenye kudungana mashindano. Hivyo alikuwa Teja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…