Tatizo NI kukimbilia kuanza kutumia Arv's badala ya kukimbilia kuanza kutumia vyakula vya kuimarisha Kinga,hasahasa vyakula vya vitamin C.Huyu mcheza kikapu maarufu ambaye hivi juzi ametangazwa kuwa bilionea ameishi na ngoma kw miaka 32. Aligundulika na UKIMWI mwaka 1991. Akatangaza hadharani kuwa kaukwaa. Hadi leo mwaka wa 32, akiwa na miaka 64 bado anadunda nao. Tajiri hafi kwa ngoma.
View attachment 2800302
I wish kungekuwepo hata na movies ambazo waliigiza hao watu wa zamani ili vijana tuonyeshwe,.. maana vijana wa sikuizi wanapuuza sana mambo
asa kwanini hawakuonyeshwa na wasichana🤔Zilikuwepo. Shuleni kwetu miaka hiyo walipita sekondari kutuonesha wavulana pekee yetu. Tulikaa wiki nzima hatuna hamu na mademu
Siyo kuhisi,doctor wake alishautonya umma kuwa jamaa hana cha ngoma wala nini,alikuwa tu anawatimua mabinti wakware waliokuwa wakimsumbua,kuna binti aliwahi kushuka jukwaani na kuvua chupi na kumfuta nayo jasho jamaa alipokuwa anatoka uwanjani kucheza,walimuwinda vilivyoNahisi hivyo pia[emoji848][emoji848]
kwani Mutie aliondoka kwa ngoma??Mutie Mengi alikuwa maskini?
Yes sirkwani Mutie aliondoka kwa ngoma??
Eazy E na Freddie Mercury walikuwa wamejikatia tamaa, wana aibu kutengwa, wameharibika kisaikolojia na matibabu labda hawakuzingatia. Na huwezi jua waliupata lini kabla hawajagunduliwa maana Johnson alitangazwa akiwa na afya tele.Eazy E na Freddy Mercury walikuwa maskini?
Nadhani bora Corona..UKIMWI ni gonjwa la aibu mkuu
Kwan unadhani zamani sana wala miaka ya 2005 huko ulikuwa kuna sehemu ukiporavkama mbeya yan mwenye ngoma unamjua tu ilikuwa ikikunasa hakuna rangi utaacha kuona, huu ukimwi sikuiz umepungua makali sana aisee yan mgonjwa wa ukimwi anashinda bar wakati kipindi kile mgonjwa wa ukimwi anashinda toi yan mavi hayakai aisee hayakai kabisa yani
Anaweza akawa alidanganya, lakini mtu kuishi na HIV miaka 30 ni kawaida tu.
Yes sir
🤣🤣🤣🙌Duh nimecheka jmnUKIMWI ulivyokaa kimya utafikiri umesafiri kikazi
hakufa na ngoma bali alipogundua ana ngoma alijiuaMutie Mengi alikuwa maskini?
vizuri kama ni hivyo.. ila njia aliyotumia nadhani kama sio nzuri sana, unajua UKIMWI bhana🤔🤔Siyo kuhisi,doctor wake alishautonya umma kuwa jamaa hana cha ngoma wala nini,alikuwa tu anawatimua mabinti wakware waliokuwa wakimsumbua,kuna binti aliwahi kushuka jukwaani na kuvua chupi na kumfuta nayo jasho jamaa alipokuwa anatoka uwanjani kucheza,walimuwinda vilivyo
Eazy E na Freddie Mercury walikuwa wamejikatia tamaa, wana aibu kutengwa, wameharibika kisaikolojia na matibabu labda hawakuzingatia. Na huwezi jua waliupata lini kabla hawajagunduliwa maana Johnson alitangazwa akiwa na afya tele.
Kuwa na hela pekee haitoshi. Discipline ya afya, lishe, saikolojia kujikubali, genes zako na mengine. Ila kuwa na hela kunachangia pakubwa kumsogeza muathirika.
Yeah ni kweli,, halafu nadhani kinachoua zaidi ni hofuNguvu ya ukimwi ipo kwenye saikolojia. Ukitetereka kisaikolojia umekwisha. Kuna mdada alipopewa majibu ya kwamba ana HIV akakimbia kituoni akasahau simu na pochi yake. Nikajua huyu hawezi kuishi na VVU.
hakufa na ngoma bali alipogundua ana ngoma alijiua
Refusha maisha mkuu🤣🤣🤣🙌Duh nimecheka jmn
Ni Mungu tu ndiye anayetulinda
Wenzetu utajiri hawaangalii cash tu. Unaweza ambiwa una dola milioni nane na ukawa hauna pesa ya kula. Hapo wanathaminisha nyumba, boti, mikataba yako nk.