Hakika wanaume mna akili za ajabu sana. Kwanini mkipata pesa mnabadilika sana?

Hakika wanaume mna akili za ajabu sana. Kwanini mkipata pesa mnabadilika sana?

Priscallia

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2019
Posts
496
Reaction score
2,449
Kwa ufupi mkishika hela za ghafla mnatuona hatuna maana tena ilihali wakati wa shida tulikuwa pamoja.

Hakuna kitu kinauma kwetu wanawake kama kuona mwanamme ulimpigania, akafanikiwa halafu baada ya kufanikiwa tu mapenzi na pesa anafaidi mwanamke mwingine.

Huu mwaka nimeumaliza vibaya sana, ila Mungu atanilipia 😢, sitokubali hili lipite.
 
Kwa ufupi mkishika hela za ghafla mnatuona hatuna maana tena ilihali wakati wa shida tulikuwa pamoja.

Hakuna kitu kinauma kwetu wanawake kama kuona mwanamme ulimpigania, akafanikiwa halafu baada ya kufanikiwa tu mapenzi na pesa anafaidi mwanamke mwingine.

Huu mwaka nimeumaliza vibaya sana, ila Mungu atanilipia 😢, sitokubali hili lipite.
Hivi umeshawahi kujiuliza kwanini bikira ya mwanamke hutolewa na mtu mmoja tu, ila mtu huyo anaweza kubikiri kijiji kizima?

Waheshimu sana wanaume wao ndio mbegu ya dunia na wanawake ni maua
 
Kuna mambo haya mawili naweza kusema.

Maisha ya Duniani ni akili, wakati yeye anafanikiwa wewe ulikuwa wap? Mapenz ndio yalikufanya ukubali yeye atunze pesa zote?? Usikubali tena.
Maisha ni akili, people change.

Na pia, watu wema tunajuana, kama wewe si mtu mpenda mema, usitegemee kupata Mpenzi mwema.
"Aliye mdhalimu katika lililo dogo, huwa mdhalimu hata kwa kubwa pia"
 
Kwa ufupi mkishika hela za ghafla mnatuona hatuna maana tena ilihali wakati wa shida tulikuwa pamoja.

Hakuna kitu kinauma kwetu wanawake kama kuona mwanamme ulimpigania, akafanikiwa halafu baada ya kufanikiwa tu mapenzi na pesa anafaidi mwanamke mwingine.

Huu mwaka nimeumaliza vibaya sana, ila Mungu atanilipia 😢, sitokubali hili lipite.
Pole sana
 
Kwa ufupi mkishika hela za ghafla mnatuona hatuna maana tena ilihali wakati wa shida tulikuwa pamoja.

Hakuna kitu kinauma kwetu wanawake kama kuona mwanamme ulimpigania, akafanikiwa halafu baada ya kufanikiwa tu mapenzi na pesa anafaidi mwanamke mwingine.

Huu mwaka nimeumaliza vibaya sana, ila Mungu atanilipia 😢, sitokubali hili lipite.
Dah yaani pamoja na kuwa na miguu mizuri hivyo jamaa bado kaenda kusasambua mbususu nyingine....kweli wanaume sie hatuna maana kabisa likija suala la mbususu
 
Kwa ufupi mkishika hela za ghafla mnatuona hatuna maana tena ilihali wakati wa shida tulikuwa pamoja.

Hakuna kitu kinauma kwetu wanawake kama kuona mwanamme ulimpigania, akafanikiwa halafu baada ya kufanikiwa tu mapenzi na pesa anafaidi mwanamke mwingine.

Huu mwaka nimeumaliza vibaya sana, ila Mungu atanilipia 😢, sitokubali hili lipite.
Aanza kuuza mechi zote za kombe la club bingwa. Pia mchane mwambie baraka za pesa ni pamoja na maombi na nyota yangu kuwa makini ntakuombea urudi kama zamani usitake nifike huko.
 
Kwa ufupi mkishika hela za ghafla mnatuona hatuna maana tena ilihali wakati wa shida tulikuwa pamoja.

Hakuna kitu kinauma kwetu wanawake kama kuona mwanamme ulimpigania, akafanikiwa halafu baada ya kufanikiwa tu mapenzi na pesa anafaidi mwanamke mwingine.

Huu mwaka nimeumaliza vibaya sana, ila Mungu atanilipia 😢, sitokubali hili lipite.
Kumbuka yote uliyokuwa unamfanyia ni Kweli ulikuwa hamkwazi,
Mana ninavyojua Sisi wanaume huwa Kuna kipindi tukiwa hatuna kitu huwa tunajifanya mafala flani mpaka Mambo yawe Sawa,
Sasa nyie huwa hamuelewi mnatupanda kichwani Na vi sorry vyenu vya kinafki kumbe nasi tunawachora tu Muda ufike tuwakimbie.
 
Nyie mnaoshauri acheni ameshafanya maamuzi huyu! Keshasema hakubali hili lipite sasa tulieni msikilizie atafanya nini Kama ataroga sawa Kama atafanya tukio la ushetani sawa!.
Ila baharia mwenzetu huko alipo ajiandae kwa mabomu motomoto!
 
Kwa ufupi mkishika hela za ghafla mnatuona hatuna maana tena ilihali wakati wa shida tulikuwa pamoja.

Hakuna kitu kinauma kwetu wanawake kama kuona mwanamme ulimpigania, akafanikiwa halafu baada ya kufanikiwa tu mapenzi na pesa anafaidi mwanamke mwingine.

Huu mwaka nimeumaliza vibaya sana, ila Mungu atanilipia 😢, sitokubali hili lipite.

Nani kakupiga tukio Priscallia ?
 
Back
Top Bottom