Nleterewa Nganengo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2016
- 5,007
- 11,316
Nanukuu "Hakika wanaume mna akili za ajabu sana"
Mwisho wa kunukuu.
Maoni yangu;-
Nafikiri huyo ameshakufunza kitu kwaiyo tafuta/ mkubalie asiye na akili za ajabu sana.
Hitimisho;-
Pole sana bibie, achana na visasi songa mbele, naamini hata Mungu wako uli/unamkosea mara kibao lakini hajakuchukia.
Mwisho wa kunukuu.
Maoni yangu;-
Nafikiri huyo ameshakufunza kitu kwaiyo tafuta/ mkubalie asiye na akili za ajabu sana.
Hitimisho;-
Pole sana bibie, achana na visasi songa mbele, naamini hata Mungu wako uli/unamkosea mara kibao lakini hajakuchukia.