Jovvan
JF-Expert Member
- Mar 6, 2018
- 294
- 460
Hahahah dahDah yaani pamoja na kuwa na miguu mizuri hivyo jamaa bado kaenda kusasambua mbususu nyingine....kweli wanaume sie hatuna maana kabisa likija suala la mbususu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahah dahDah yaani pamoja na kuwa na miguu mizuri hivyo jamaa bado kaenda kusasambua mbususu nyingine....kweli wanaume sie hatuna maana kabisa likija suala la mbususu
Si mnasemaga titafte hela jamani! Tabu ya kuzipata ndio kama hivyo kila demu full shoboPole sana, wanaume maskini wakukimbia la ukoma, akipata hela ndio nguvu za kiume zinaomgezeka mara dufu na anaanza dharau. Pole sana
[emoji4]Nitakusaidia kumsahauAsante sana nitajitahidi kumsahau.
Ukipata mwingine usirudie kosa, marufuku kusaidia mwanaume, Yani Kama kufa Acha afe tu....nahisi wakishasaidiwa ego zao zinashuka....let him be a man, apambane mwenyewe.
Yeye ndo akusaidie wewe, Kama huna tatizo tafuta hata matatizo ya kwenye ukoo huko.
Msitusahau wa zamani basi, sio Mimi napauka we unatanua huko nje.Si mnasemaga kuwa tutafte pesa tufaidi watoto wazuri kila mara humu😅 eti tusije ishia kuwaita shemeji 😅
alikuwa mumeo wa ndoa au boyfriend?Asante, shida ni kwamba katangaza ndoa upya na ana mpango wa kuoa mwakani ndio nimepewa taarifa na rafiki yake mmoja nimelia sana wiki hii [emoji24][emoji24]
Pole sana mama ila ndio maisha, wanaume tunatofautiana sana calibre! Mie siwezi acha mtu ambaye amekuwa namimi nikiwa juani ila too bad wapo watu ambao wanaweza.Nimekuelewa mpenzi, yaani nilimbeba sana alipokuwa akilitia kipindi kizito cha kufutwa kazi na kuugua ila sasa ameona haitoshi ameamua kutangaza ndoa kabisa kwa mwanamke mwingine ambaye hata hakuwa nae wakati wa matatizo.
Nimejutia muda niliopoteza nae kanipotezea muda wangu mno, uwii naumia mimi [emoji24]
Pole, chukulia haikuwa fungu lako...Yuko wa kwako anakusubiri somewhere, kumbuka dunia ina watu karibia bilioni 6, it's not worth it kukalilia kajitu kamoja....kaache kaende.Nimekuelewa mpenzi, yaani nilimbeba sana alipokuwa akilitia kipindi kizito cha kufutwa kazi na kuugua ila sasa ameona haitoshi ameamua kutangaza ndoa kabisa kwa mwanamke mwingine ambaye hata hakuwa nae wakati wa matatizo.
Nimejutia muda niliopoteza nae kanipotezea muda wangu mno, uwii naumia mimi [emoji24]
Kwa statement hii ni dhahiri kuwa kumbe mjinga ni wewe mwenyewe.Wanaume ni walewale hakuna mwanamme aliyeshika hela akatulia na mwanamke mmoja.
Hata sisi wazazi wanatusonesha hafu matunda mnayafaidi ninyiKwa ufupi mkishika hela za ghafla mnatuona hatuna maana tena ilihali wakati wa shida tulikuwa pamoja.
Hakuna kitu kinauma kwetu wanawake kama kuona mwanamme ulimpigania, akafanikiwa halafu baada ya kufanikiwa tu mapenzi na pesa anafaidi mwanamke mwingine.
Huu mwaka nimeumaliza vibaya sana, ila Mungu atanilipia 😢, sitokubali hili lipite.
Kinachokuuma ni yeye kukuacha, au kinachokuuma ni kuwa unashindwa kuzifaidi pesa zake, baada ya we kueKeza pesa zako Kwake ukitegemea we utakuja zifaidi mbele, sasa hayo sio mapenzi, ni biashara tena ya utumwaKabisa shosti, hivi unaweza uza asset zaidi ya milioni mia ukatumia pesa yote kufanyia starehe kweli bila kukumbuka mtu aliyekufadhili wakati ulipokuwa na shida, nimehuzunika sana kwa kweli pesa wanafaidi wanawake wengine oopss [emoji25][emoji24]
Tuwe realistic, hapa Tanzania wanaume wenye hela nyingi wako wangapi? Bongo tuko million 60, tuseme million 30 ni wanaume, sasa utakuta wanaume wanaopata Tsh million 2 kwa mwezi, hawafiki Wanaume million 1 Tanzania nzima, wanawake mko million 30 sasa equation unaibalance vipi hapo carihaStaki maskini kabisa heri huyo mwenye hela zake maana namjua tabia yake kuliko maskini anayejinyemyekeza kiunafiki, ujitoe Hadi tone la mwisho la damu, then mambo yakiwa mazuri aanze kukupiga matukio hapo lazima ufe na pressure ukitegemea ulijitoa kwa moyo lazima uugue maradhi.
Mimi staki huo ujinga wa mwanaume asiye na mbele wala nyuma kabisa
Na ndio maana mimi nimemwambia, usitake kutendewa wema, wakati wewe mwenyewe una roho mbaya, na tabia chafu chafu nyingi.Kumbuka yote uliyokuwa unamfanyia ni Kweli ulikuwa hamkwazi,
Mana ninavyojua Sisi wanaume huwa Kuna kipindi tukiwa hatuna kitu huwa tunajifanya mafala flani mpaka Mambo yawe Sawa,
Sasa nyie huwa hamuelewi mnatupanda kichwani Na vi sorry vyenu vya kinafki kumbe nasi tunawachora tu Muda ufike tuwakimbie.
Equation ita balance kwa mimi kutafta hela yangu na sio ku support ndoto za mwingine Ili anipendeTuwe realistic, hapa Tanzania wanaume wenye hela nyingi wako wangapi? Bongo tuko million 60, tuseme million 30 ni wanaume, sasa utakuta wanaume wanaopata Tsh million 2 kwa mwezi, hawafiki Wanaume million 1 Tanzania nzima, wanawake mko million 30 sasa equation unaibalance vipi hapo cariha
Mshukuru Mungu kwa kila jambo huyo hakukupenda toka moyoni alikupendea status flani ya mtelezo wa Ganda la ndizi, Sasa mambo yamenyooka anaenda kwa ampendaye, what I have noticed ukiwa mwema kwa mwanaume ukamsaidia sana, mwisho huishia pabaya hujiona wao sio wanaume kamili na huenda kutafta mpya asiye jua hustle zake wale naye vizuri, but I'm sure after a while atakurudia tu kwakoNimekuelewa mpenzi, yaani nilimbeba sana alipokuwa akilitia kipindi kizito cha kufutwa kazi na kuugua ila sasa ameona haitoshi ameamua kutangaza ndoa kabisa kwa mwanamke mwingine ambaye hata hakuwa nae wakati wa matatizo.
Nimejutia muda niliopoteza nae kanipotezea muda wangu mno, uwii naumia mimi [emoji24]
Mimi nitasaidia mwanaume ka ninavosaidia yoyote mwenye shida, bila ku expect anioe, sijui anipende hapana kwa kweli, wadada wengi sikuhizi vile wataka ndoa huwahonga wanaume na kuanza kufanya vitu vya maendeleo pamoja akiamini ni mume, kumbe mwanaume kafata mserereko wa kiulainiSi mnasemaga titafte hela jamani! Tabu ya kuzipata ndio kama hivyo kila demu full shobo
Na kisasi cha Mwanamke ni moto 😬😂😂''Sitokubali hili lipite'' mmh mtu anaenda kufa hapa.