Hakika wanaume mna akili za ajabu sana. Kwanini mkipata pesa mnabadilika sana?

Hakika wanaume mna akili za ajabu sana. Kwanini mkipata pesa mnabadilika sana?

[emoji23][emoji23] sasa huyo ni mfanyabiashara....

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23]ahah nikaona ni mpotezee tu.
sema nilimuuliza, unataka kuwa na mimi au kuwa na kazi yangu?
akasisitiza kama huniambii kazi yako hatuwezi kuwa wapenzi nikasema sawa mamaa.

sema nyie pasua kichwa (Huyu naye nilikuwa seriously naye nimfanye mke)
 
[emoji23]ahah nikaona ni mpotezee tu.
sema nilimuuliza, unataka kuwa na mimi au kuwa na kazi yangu?
akasisitiza kama huniambii kazi yako hatuwezi kuwa wapenzi nikasema sawa mamaa.

sema nyie pasua kichwa (Huyu naye nilikuwa seriously naye nimfanye mke)
[emoji23] poleee...we songa mbele hakukuelewa huyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa ufupi mkishika hela za ghafla mnatuona hatuna maana tena ilihali wakati wa shida tulikuwa pamoja.

Hakuna kitu kinauma kwetu wanawake kama kuona mwanamme ulimpigania, akafanikiwa halafu baada ya kufanikiwa tu mapenzi na pesa anafaidi mwanamke mwingine.

Huu mwaka nimeumaliza vibaya sana, ila Mungu atanilipia 😢, sitokubali hili lipite.
Tatizo ulikuwa unafanya mambo ambayo yanamuumiza ila kwako wewe ni kawaida
Alikuwa anakuchukulia ni mwanamke ambaye unaeza kumuacha yeye muda wowote ule (upo nae kwasababu tu mmekaa muda mrefu na ndo mwanaume ambaye wewe unamuona ni muoaji kati ya hao waliokuwa wanakutaka pia yeye ndio alikuwa anafanya mahusiano yaendelee kuwepo kwa kujishusha sana)
ulikuwa unajiamulia siku ya kumpa mbususu

Alikuwa hawezi kukuacha kipindi hicho sababu angeumia sana kukuona uko na mshkaj mwingine mwenye kipato kikubwa

Sasa amezipata anajiamini anaeza kufanya lolote(in real sense ndo kawa mwanaume kamili)


Kiufupi amekuacha kwasababu ya mambo uliyokuwa unayafanya kipindi mko kwenye mahusiano
Na mara nyingi hayo mambo kwako yalikuwa ni ya kawaida ila yenye kumuumiza
 
inasikitsha saana, muhimu n kuacha tu maana na hilo nalo litapita.

polee mwananchi, huenda kuna kitu umeepushiwa hapo. S kila baya huletwa na shetani, mengne n Mungu anayaruhusu ili kukuepusha na jambo fulani huko mbele.

kischo riziki huwa hakiliki, kuwa mpolee acha vsasi. Watu wanambadilikia Mungu sembuse binadamu mwenzie.
 
Hajawahi Kukufumania. SMS unachat na Wanaume Wengine alipokuwa Hana Kitu!?? Maana Unaweza Kusema Umemvumilia Kumbe Ulikuwa unadanga Huku Upo Kwake
 
Kwa ufupi mkishika hela za ghafla mnatuona hatuna maana tena ilihali wakati wa shida tulikuwa pamoja.

Hakuna kitu kinauma kwetu wanawake kama kuona mwanamme ulimpigania, akafanikiwa halafu baada ya kufanikiwa tu mapenzi na pesa anafaidi mwanamke mwingine.

Huu mwaka nimeumaliza vibaya sana, ila Mungu atanilipia [emoji22], sitokubali hili lipite.
Pole sana.
 

Huyu mwanamme nikikumbuka tulipotoka kichwa kinapata moto sana, kuna kipindi alipitia matatizo nikasimama kidete kuchukua majukumu ya mwanamme ila alipokuja kukaa sawa mapenzi ndio yakaisha kabisa akawa anakuja kulala kwangu anapojisikia yaani na uchungu sana.
 
Pole sana, wanaume maskini wakukimbia la ukoma, akipata hela ndio nguvu za kiume zinaomgezeka mara dufu na anaanza dharau. Pole sana

Kabisa shosti, hivi unaweza uza asset zaidi ya milioni mia ukatumia pesa yote kufanyia starehe kweli bila kukumbuka mtu aliyekufadhili wakati ulipokuwa na shida, nimehuzunika sana kwa kweli pesa wanafaidi wanawake wengine oopss [emoji25][emoji24]
 
Pole dada P ndo ukubwa huo...sikushauri umfanyie kisasi the best revenge is forgiveness,ukiweka kisasi haitasaidia inaonesha kua bado una visasi,hasira nakadhalika..
Mali ni kitu kidogo sana dear,utapata tu Omba Mungu kama riziki yako ipo utapata sehemu nyingine...kama amekukosea Mungu anaona atakulipa vzr tu,atakukumbuka maisha yote

Move on,omba Mungu atakupigania,Mali zinapita!najua inauma sana!mapenzi yanaumiza mnooo!haswa kwa mtu uliyewekeza nae mda mrefu!
Hapo una multiple feelings,umedhulumiwa mentally na materials.. Ila utapona tu!lia kadri uwezavyo,tukana uwezavyo ila usisahau kusema na Mungu!Kwa sisi tunaoamini kwenye Mungu!!

Mpotezee tu wanaume wengi wanapenda mkiachan ufubae au umsumbue sumbue ,sasa kama waweza mpotezee,ataumia multiple kuliko unavoumia wewe!vaa pendeza,go out,have fun.
Ni ngumu ila ukiamua unaweza!

Sent using Jamii Forums mobile app

Asante sana nitajitahidi kumsahau.
 
Huyu mwanamme nikikumbuka tulipotoka kichwa kinapata moto sana, kuna kipindi alipitia matatizo nikasimama kidete kuchukua majukumu ya mwanamme ila alipokuja kukaa sawa mapenzi ndio yakaisha kabisa akawa anakuja kulala kwangu anapojisikia yaani na uchungu sana.
Ukipata mwingine usirudie kosa, marufuku kusaidia mwanaume, Yani Kama kufa Acha afe tu....nahisi wakishasaidiwa ego zao zinashuka....let him be a man, apambane mwenyewe.
Yeye ndo akusaidie wewe, Kama huna tatizo tafuta hata matatizo ya kwenye ukoo huko.
 
Achilia uwe na amani, anza upya na utapata nguvu za kupambana utapata vyako vya kukutosha.

Binafsi huwa namuogopa sana mtu mzima anapoamua kubadilika, kwa uwezo wangu sina nguvu za kumfanya chochote wala kumshawishi vyovyote, mtu asiyekumbuka nyuma ni mtu wa hatari sana, Muache!

Asante, shida ni kwamba katangaza ndoa upya na ana mpango wa kuoa mwakani ndio nimepewa taarifa na rafiki yake mmoja nimelia sana wiki hii [emoji24][emoji24]
 
Kwa ufupi mkishika hela za ghafla mnatuona hatuna maana tena ilihali wakati wa shida tulikuwa pamoja.

Hakuna kitu kinauma kwetu wanawake kama kuona mwanamme ulimpigania, akafanikiwa halafu baada ya kufanikiwa tu mapenzi na pesa anafaidi mwanamke mwingine.

Huu mwaka nimeumaliza vibaya sana, ila Mungu atanilipia 😢, sitokubali hili lipite.
Si mnasemaga kuwa tutafte pesa tufaidi watoto wazuri kila mara humu😅 eti tusije ishia kuwaita shemeji 😅
 
Back
Top Bottom