Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hii inahusikaje hapa kwenye huu Uzi?Ushuhuda wangu: Mimi ni muathirika wa HIV (HIV Positive)
First, let me declare kwamba mimi ni member wa muda mrefu humu JamiiForums na nimependa kuja nah hii ID mpya ili kuweza kuficha utambulisho wangu wa hapo mwanzo, ili kuepeuka mambo kadhaa kutoka kwa member ambao nimebahatika kuonana/kukutana nao. Naitwa Priscallia (si jina langu halisi) na umri...www.jamiiforums.com
Ulimwambia ukweli kuhusu hii hali yako kabla hamjakutana lakini
Hela /pesa kiasi ganiKwa ufupi mkishika hela za ghafla mnatuona hatuna maana tena ilihali wakati wa shida tulikuwa pamoja.
Hakuna kitu kinauma kwetu wanawake kama kuona mwanamme ulimpigania, akafanikiwa halafu baada ya kufanikiwa tu mapenzi na pesa anafaidi mwanamke mwingine.
Huu mwaka nimeumaliza vibaya sana, ila Mungu atanilipia [emoji22], sitokubali hili lipite.
Niko na mwandishi apa tunamtafuta Sangoma[emoji23][emoji23].''Sitokubali hili lipite'' mmh mtu anaenda kufa hapa.
Usema kweli, mahusiano pindi ya hustle la maisha inafikia kipindi mwanaume anajua kabisa class yake ila hana vyanzo, siku kapata anaenda kwenye class yake.. Hii pia hutokea kwa wanawake.. sema ka hekima kanatakiwaPole sanaaa Best,ni kweli mwanaume akiwa Hana pesa mnapoanzisha mahusiano anakuwa na upendo wa kweli Tena wa agape.Mnaweza mkaanza chini siku mnapoinuka kimafanikio kiuchumi baadhi ya wanaume huanza kubadilisha na kumsahau yule waliyepambana naye katika kuyatafuta mafanikio.Ni kweli inaumiza sana ila samehe na usahau,Maana uliyempenda na kumwamini amesariti kambi.Ndio maana Kuna msemo unasema Nukuu "Pata pesa tujue tabia yako"
mwanaume kwenye mbususu achana naeDah yaani pamoja na kuwa na miguu mizuri hivyo jamaa bado kaenda kusasambua mbususu nyingine....kweli wanaume sie hatuna maana kabisa likija suala la mbususu
Ndio raha ya dunia hiyo...kama leo unatakiwa ukatibishe mwaka mpya huku ukwa ndani ya mbususumwanaume kwenye mbususu achana nae
Hahahaaaaa kuna mmoja alijaribu aisee alifurahi. Sitakagi uzuzu mimi.Hahahaahah yani ukiwa huna hela demu anaweza akakutishia hata muachane tu sababu anajua huna jeuri ya kumuacha utajibebisha tu[emoji28] maniner walahi!
Zile kauli za...”mi sioni faida hata ya kuwa na wewe maana mwanaume unisaidii chochote yani singine naona bora hata mtu uwe single tu”
Hahahah hii ni dharau ya hali ya juu akyanani. Halafu siku mtu akipigwa chini anakuja kutafta huruma ya jamii!!! Oh katangaza ndoa na mwengine mi kaniacha .
Wanawake midomo inawaponza sana aisee.
Aisee umendika jambo zito sana hiliHahahahah mungu anaangalia haki haangalii nani kaachwa [emoji28] kama ilikua stahili yake kuachwa Mungu atazidi kumbariki mwamba!
Hahahahah kumbe tuko pamoja, mie sipigiwi nacheza mzee😅 ukibipu nakutwangia live!Hahahaaaaa kuna mmoja alijaribu aisee alifurahi. Sitakagi uzuzu mimi.
Na hii ni dalili mojawapo ya mtu kuijua thamani yako.Hahahahah kumbe tuko pamoja, mie sipigiwi nacheza mzee[emoji28] ukibipu nakutwangia live!
Muhimu sana yaniNa hii ni dalili mojawapo ya mtu kuijua thamani yako.
Nihakikishie kwanza hiyo kwenye Avatar ni mipaja yako? Halafu nije pm. Hupaswi kuteseka nina maajabu kwako.Kwa ufupi mkishika hela za ghafla mnatuona hatuna maana tena ilihali wakati wa shida tulikuwa pamoja.
Hakuna kitu kinauma kwetu wanawake kama kuona mwanamme ulimpigania, akafanikiwa halafu baada ya kufanikiwa tu mapenzi na pesa anafaidi mwanamke mwingine.
Huu mwaka nimeumaliza vibaya sana, ila Mungu atanilipia 😢, sitokubali hili lipite.