Hakika wanaume mna akili za ajabu sana. Kwanini mkipata pesa mnabadilika sana?

Hakika wanaume mna akili za ajabu sana. Kwanini mkipata pesa mnabadilika sana?

Sio tu kwa huyo manzi wanawake wengi ndio zao sema wanapendaga public sympathy ila kimsingi kipindi mwanaume hana kitu huwa ni wanyanyasaji mno.

Mwanamke utakuta hana kauli nzuri kutwa kukulinganisha na akina flani walioko vyema ambao ni ma bf wa shoga zake au rafiki zako waliotusua. Mwanaume unavumilia tu ila roho inakuuma kichizi sababu unapata viji support vya hapa na pale ila kimsingi mwanamke unaona kabisa hana adabu na anakudharau ila yeye haoni kama anaharibu.

Mara mbunye anakupa kwa masimango,,, “yani we unachojua ni kutmba tu” ungekuwa unatafta hela kwa nguvu kama unavyopenda K tungekuwa mbali sana.

Kwa hali hii usitegemee huyu mwanaume wa hivi akifanikiwa atawaza kuwa na wewe never! Yani chap mambo yanageukaga kwa speed ya 5G kudadadeki mtu anabaki kuanza kulalamika yani wanaume wakipata hela wanabadilika sana.
Kama hujaoa mbunye lazima upewe kimasimango tu
 
Kama hujaoa mbunye lazima upewe kimasimango tu
Endelea kumpa buda wako kwa masimango wengine tutaendelea kuinjoy mbunye tu maana hatuko kibiashara bali kihisia😅 mapenzi ya kibiashara kumpa bahasha wako mbunye lazma uone kero
 
Na hilo ndio limemcost priscilla[emoji28] yeye alikuwa anamsaidia kama investment tu[emoji41] ila matokeo yake ni kwamba jamaa hakuwa na interest nae. Moyo wa mtu kichaka haswaa mtu anaeonesha upendo leo anaweza kupiga U turn ya maana mpaka ukashangaa.
Ni kweli wanawake tujirekebishe bana, kwanza mwanaume ukimsaidia sana anajiona si mwanaume kamili, pia wadada wataka ndoa huchukua mikopo mikubwa na kuwapa wanaume ka investment kumbe yeye wala hakupendi kabisa.
Tusaidie mtu bila ku expect chochote in turn
 
Endelea kumpa buda wako kwa masimango wengine tutaendelea kuinjoy mbunye tu maana hatuko kibiashara bali kihisia[emoji28] mapenzi ya kibiashara kumpa bahasha wako mbunye lazma uone kero
[emoji23][emoji23][emoji23] hivi hujaoa kweli unataka mbunye kirahisi jamani ujue uzinzi sio tabia nzuri kabisa
 
Ni kweli wanawake tujirekebishe bana, kwanza mwanaume ukimsaidia sana anajiona si mwanaume kamili, pia wadada wataka ndoa huchukua mikopo mikubwa na kuwapa wanaume ka investment kumbe yeye wala hakupendi kabisa.
Tusaidie mtu bila ku expect chochote in turn
It save alot of pressure and dissapointments
 
[emoji23][emoji23][emoji23] hivi hujaoa kweli unataka mbunye kirahisi jamani ujue uzinzi sio tabia nzuri kabisa
Mbunye umepewa kama zawadi ili siku moja umzawadie umpendaye😅 hicho sio kama kiosk cha kuuza maji na soda kwamba uanze kukigeuza kitega uchumi na kuuzia watu. Utafeli big time!

Think of it as a precious gift given to you by God. Ukimpenda mtu akakupenda zaidi akakuingia vizuri moyoni mpe bila kusita acheni mambo ya kishamba. We only die once but we live everyday!
 
Kwa ufupi mkishika hela za ghafla mnatuona hatuna maana tena ilihali wakati wa shida tulikuwa pamoja.

Hakuna kitu kinauma kwetu wanawake kama kuona mwanamme ulimpigania, akafanikiwa halafu baada ya kufanikiwa tu mapenzi na pesa anafaidi mwanamke mwingine.

Huu mwaka nimeumaliza vibaya sana, ila Mungu atanilipia [emoji22], sitokubali hili lipite.
Pole sana Mungu akutetee usije fanya maamuzi magumu ukaja jutia baadaye, tulia Mungu atakupa njia nzuri.
Yaani hao watu wengi wao ndivyo walivyo wakipata kipato kizuri wewe uliyehangaika naye unakuwa si type yake ndiyo msemo wao.
 
USITUJUMUISHE WANAUME WOTE SASA, WENGINE HATUPO HIVYO.... BE SPECIFIC, PAMBANA NA HUYO WAKO ALIYECHANA MKEKA

BTW POLE

NB: Hivi umesahau kale kamsemo kanachosema pata pesa tujue tabia zako
Ndiyo tunawajua baada ya kupata pesa!
 
Kwa ufupi mkishika hela za ghafla mnatuona hatuna maana tena ilihali wakati wa shida tulikuwa pamoja.

Hakuna kitu kinauma kwetu wanawake kama kuona mwanamme ulimpigania, akafanikiwa halafu baada ya kufanikiwa tu mapenzi na pesa anafaidi mwanamke mwingine.

Huu mwaka nimeumaliza vibaya sana, ila Mungu atanilipia [emoji22], sitokubali hili lipite.
Pole sana. I feel you
 
Kwa ufupi mkishika hela za ghafla mnatuona hatuna maana tena ilihali wakati wa shida tulikuwa pamoja.

Hakuna kitu kinauma kwetu wanawake kama kuona mwanamme ulimpigania, akafanikiwa halafu baada ya kufanikiwa tu mapenzi na pesa anafaidi mwanamke mwingine.

Huu mwaka nimeumaliza vibaya sana, ila Mungu atanilipia [emoji22], sitokubali hili lipite.
Pole sanaaa Best,ni kweli mwanaume akiwa Hana pesa mnapoanzisha mahusiano anakuwa na upendo wa kweli Tena wa agape.Mnaweza mkaanza chini siku mnapoinuka kimafanikio kiuchumi baadhi ya wanaume huanza kubadilisha na kumsahau yule waliyepambana naye katika kuyatafuta mafanikio.Ni kweli inaumiza sana ila samehe na usahau,Maana uliyempenda na kumwamini amesariti kambi.Ndio maana Kuna msemo unasema Nukuu "Pata pesa tujue tabia yako"
 
Mbunye umepewa kama zawadi ili siku moja umzawadie umpendaye[emoji28] hicho sio kama kiosk cha kuuza maji na soda kwamba uanze kukigeuza kitega uchumi na kuuzia watu. Utafeli big time!

Think of it as a precious gift given to you by God. Ukimpenda mtu akakupenda zaidi akakuingia vizuri moyoni mpe bila kusita acheni mambo ya kishamba. We only die once but we live everyday!
Nakubali sana Mwanangu [emoji109]
 
Back
Top Bottom