Hakika wanaume mna akili za ajabu sana. Kwanini mkipata pesa mnabadilika sana?

Hakika wanaume mna akili za ajabu sana. Kwanini mkipata pesa mnabadilika sana?

Kwa ufupi mkishika hela za ghafla mnatuona hatuna maana tena ilihali wakati wa shida tulikuwa pamoja.

Hakuna kitu kinauma kwetu wanawake kama kuona mwanamme ulimpigania, akafanikiwa halafu baada ya kufanikiwa tu mapenzi na pesa anafaidi mwanamke mwingine.

Huu mwaka nimeumaliza vibaya sana, ila Mungu atanilipia 😢, sitokubali hili lipite.
Nakubali, kuna upande wa Mwanaume kubadilika cz anakuwa na access na vitu vingi vizuri, LKN kuna suala la Mwanamke pia kubadilika;--
1. Pesa zilizoongezeka zinamfanya aote vitambi kila sehemu kwasababu ya kubweteka

2. Pesa zilizoongezeka zinamfanya aone kama yeye ndo aliyesababisha hizo pesa kupatikana, anasahau Mwanaume alianza safari ya kupambana toka anaanza darasa la I huko zamani, amekuja kuonana na mwanamke 20 years later

3. #2 hapo juu inaanza kumfanya mwanamme aanze kuwaza mabaya mabaya tu ya Mwanamke, "hivi anajua safari yangu imeanzia lini huyu Mwanamama"?.. Kama mtakuwa hamuongei mara kwa mara kutatua hizi changamoto, mnakuwa mmekwisha.

In short, Mwanamke na Mwanamume sote tunakuwa tuna mchango kwenye kubadilika kwa Mwanamume baada ya pesa kuongezeka!

Over and Out!
 
Pole dada P ndo ukubwa huo...sikushauri umfanyie kisasi the best revenge is forgiveness,ukiweka kisasi haitasaidia inaonesha kua bado una visasi,hasira nakadhalika..
Mali ni kitu kidogo sana dear,utapata tu Omba Mungu kama riziki yako ipo utapata sehemu nyingine...kama amekukosea Mungu anaona atakulipa vzr tu,atakukumbuka maisha yote

Move on,omba Mungu atakupigania,Mali zinapita!najua inauma sana!mapenzi yanaumiza mnooo!haswa kwa mtu uliyewekeza nae mda mrefu!
Hapo una multiple feelings,umedhulumiwa mentally na materials.. Ila utapona tu!lia kadri uwezavyo,tukana uwezavyo ila usisahau kusema na Mungu!Kwa sisi tunaoamini kwenye Mungu!!

Mpotezee tu wanaume wengi wanapenda mkiachan ufubae au umsumbue sumbue ,sasa kama waweza mpotezee,ataumia multiple kuliko unavoumia wewe!vaa pendeza,go out,have fun.
Ni ngumu ila ukiamua unaweza!

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Ulimwambia ukweli kuhusu hii hali yako kabla hamjakutana lakini
 
Pole sana, wanaume maskini wakukimbia la ukoma, akipata hela ndio nguvu za kiume zinaomgezeka mara dufu na anaanza dharau. Pole sana
[emoji2][emoji2][emoji1][emoji1][emoji1]hata matajiri wapo washenzi bwana!!!haya mambo hayana formula cariha...

Ishu sio umalaya,ishu hapo kwa Dada P,kua jamaa kachonga buyu kabisaa hukoo alikoenda!

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Ulimwambia ukweli kuhusu hii hali yako kabla hamjakutana lakini
Acha hizo mshikaji!kunahusiana vipi na mada!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji2][emoji2][emoji1][emoji1][emoji1]hata matajiri wapo washenzi bwana!!!haya mambo hayana formula cariha...

Ishu sio umalaya,ishu hapo kwa Dada P,kua jamaa kachonga buyu kabisaa hukoo alikoenda!

Sent using Jamii Forums mobile app
Staki maskini kabisa heri huyo mwenye hela zake maana namjua tabia yake kuliko maskini anayejinyemyekeza kiunafiki, ujitoe Hadi tone la mwisho la damu, then mambo yakiwa mazuri aanze kukupiga matukio hapo lazima ufe na pressure ukitegemea ulijitoa kwa moyo lazima uugue maradhi.
Mimi staki huo ujinga wa mwanaume asiye na mbele wala nyuma kabisa
 
Staki maskini kabisa heri huyo mwenye hela zake maana namjua tabia yake kuliko maskini anayejinyemyekeza kiunafiki, ujitoe Hadi tone la mwisho la damu, then mambo yakiwa mazuri aanze kukupiga matukio hapo lazima ufe na pressure ukitegemea ulijitoa kwa moyo lazima uugue maradhi.
Mimi staki huo ujinga wa mwanaume asiye na mbele wala nyuma kabisa
Hahahah!Cariha bwana!
 
Kwa ufupi mkishika hela za ghafla mnatuona hatuna maana tena ilihali wakati wa shida tulikuwa pamoja.

Hakuna kitu kinauma kwetu wanawake kama kuona mwanamme ulimpigania, akafanikiwa halafu baada ya kufanikiwa tu mapenzi na pesa anafaidi mwanamke mwingine.

Huu mwaka nimeumaliza vibaya sana, ila Mungu atanilipia [emoji22], sitokubali hili lipite.
Pole Sana...Mshirikishe MUNGU
 
Kwa ufupi mkishika hela za ghafla mnatuona hatuna maana tena ilihali wakati wa shida tulikuwa pamoja.

Hakuna kitu kinauma kwetu wanawake kama kuona mwanamme ulimpigania, akafanikiwa halafu baada ya kufanikiwa tu mapenzi na pesa anafaidi mwanamke mwingine.

Huu mwaka nimeumaliza vibaya sana, ila Mungu atanilipia 😢, sitokubali hili lipite.
Umekutana na limbukeni mmoja wa kiume basi unadhani wote tuko hivyo....
 
Achilia uwe na amani, anza upya na utapata nguvu za kupambana utapata vyako vya kukutosha.

Binafsi huwa namuogopa sana mtu mzima anapoamua kubadilika, kwa uwezo wangu sina nguvu za kumfanya chochote wala kumshawishi vyovyote, mtu asiyekumbuka nyuma ni mtu wa hatari sana, Muache!
 
Achilia uwe na amani, anza upya na utapata nguvu za kupambana utapata vyako vya kukutosha.

Binafsi huwa namuogopa sana mtu mzima anapoamua kubadilika, kwa uwezo wangu sina nguvu za kumfanya chochote wala kumshawishi vyovyote, mtu asiyekumbuka nyuma ni mtu wa hatari sana, Muache!
Wewe sasa ndio Wife material, wewe una akili saana. Hope you mean what you say!!
 
Kwa ufupi mkishika hela za ghafla mnatuona hatuna maana tena ilihali wakati wa shida tulikuwa pamoja.

Hakuna kitu kinauma kwetu wanawake kama kuona mwanamme ulimpigania, akafanikiwa halafu baada ya kufanikiwa tu mapenzi na pesa anafaidi mwanamke mwingine.

Huu mwaka nimeumaliza vibaya sana, ila Mungu atanilipia [emoji22], sitokubali hili lipite.
Nyie wanawake sometimes huwa mnazingua.
anakuja mtu ana mapenzi ya dhati na wewe. but unamkataa kata kata na kejeli kibao.

ajabu anakuja msanii wa mapenzi chap una mkubali na una mpa kila kitu, mwisho wa siku anakuja kukuachia makovu mnabaki kulia lia.

iliwahi nitokea, nilimpenda sana nikamuonesha hisia zangu kwake. akanikataa.
akawa na kijana mzugaji (msanii wa mapenzi).
ajabu kapata mimba kijana wake kamtelekeza ndipo akarudi kwangu baada ya miaka 2.
 
Back
Top Bottom