Hakikisha huolewi na wanaume wa aina hii

Mpumbavu sana wewe tena kenge kabisa, unapotosha wadada
 
Mlevi yuko radhi akununulie pombe na si chakula
hapo ndipo hatukuelewana kumbe

sizungumzi walevi nawazungumzia mabroo ambao

wana kazi zao wa ndinga zao wikiend wanakutana sehemu kubadilishana connections na madili kibao

sizungumzi wanywa pombe za buku jero bro

wale mimi siwaungi mkono
 
Mfupi ana tatizo gani?
 
🤣🤣🤣 Why not daktari?
Hizo career nyingine 😷
 
Hiyo namba 8 tutolee ufafanuzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…