mbongo_halisi
JF-Expert Member
- Apr 16, 2010
- 7,074
- 5,486
Kila Mtanzania alihuzunika na kifo cha Magufuli kasoro wale wezi tu waliopo serikalini pamoja na vibaraka wao huku mitaani kwani walizoea wizi usiodhibitiwa. Magufuli was a true leader!Namaanisha hata Mungu anashuhudia!
Niwe wazi, hata kifo cha baba yangu sikuumia moyo kwa kiwango kama ilivyokuwa kwa Hayati Magufuli!
R.I.P JPM.
R.I.P BABA.
Mwongooo!Hata mama yake Kanumba alikiri kuumia na kulia kwa Magufuli kuliko alivyolia kwa mwanae
Ni kweli, hata mimi!! Ni kama tulinyang'anywa tonge mdomoni!!Namaanisha hata Mungu anashuhudia!
Niwe wazi, hata kifo cha baba yangu sikuumia moyo kwa kiwango kama ilivyokuwa kwa Hayati Magufuli!
R.I.P JPM.
R.I.P BABA.
In short wewe ni TAAHIRANamaanisha hata Mungu anashuhudia!
Niwe wazi, hata kifo cha baba yangu sikuumia moyo kwa kiwango kama ilivyokuwa kwa Hayati Magufuli!
R.I.P JPM.
R.I.P BABA.
Swali la msingi..kwanini ulimsikitia Gadafi wakati alituma majeshi yake kuua askari wetu wakati wa vita na Uganda?
Wana ccm mna matatizo, mnavyoshangilia kifo cha membe utadhani ni mpinzani wakati ni mbobezi kutoka chama lenu kabisaNamaanisha hata Mungu anashuhudia!
Niwe wazi, hata kifo cha baba yangu sikuumia moyo kwa kiwango kama ilivyokuwa kwa Hayati Magufuli!
R.I.P JPM.
R.I.P BABA.
JPM ataendelea kuishi mioyoni mwa tulio wengi maana ni kazi zake ndio zinamshuhudia, kwa muda huo mfupi alifanikiwa kuwaonyesha watanzania tafasiri halisi ya neno RAISNamaanisha hata Mungu anashuhudia!
Niwe wazi, hata kifo cha baba yangu sikuumia moyo kwa kiwango kama ilivyokuwa kwa Hayati Magufuli!
R.I.P JPM.
R.I.P BABA.
Na Membe ni kiongozi muovu ?Hilo utajua ww, sisi tunajua Mungu alituondolea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika fullstop.
CCM wote ni takataka, ila dhalimu alivuka mipaka.
Hatamimi ninaumia sana mpaka leo, sababu niliona nchi yangu imepata dira ya mwangaza wa tunapo elekea kimaendeleo, ghafla daah.Namaanisha hata Mungu anashuhudia!
Niwe wazi, hata kifo cha baba yangu sikuumia moyo kwa kiwango kama ilivyokuwa kwa Hayati Magufuli!
R.I.P JPM.
R.I.P BABA.
Nonsense.Kumbe Wajane mpo wengi mbona hamkutangazwa
Kumbe huyu Tindo ni NESI FEKI?
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Anataka mshahara wa UDANGANYIFU [emoji16]
Kabisa yani mungu mkubwaHilo utajua ww, sisi tunajua Mungu alituondolea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika fullstop.
Wewe hujui maisha ya watu humu acha ramli za kijinga, kamauna lala na njaa usifikiri kilamtu ni mganga njaa kama wewe.Ukiangalia watu wengi unaowasikia walihuzunishwa sna ni watu ambao hawana muelekeo wa maisha, watu wenye wivu na chuki kwa maendeleo ya wenzao. Sasa mtajinyonga kwasababu mpaka 2030 mtateseka sana
Cheti feki unaumia ukiwa nyumbani baada ya kunyang'anywa tonge mdomoni.We mpumbavu unamuitaje Mgufuli baba? Ina maana na wewe hujui baba yako? Yote mitoto ya malaya hii