Huo ujinga wote umekuwa na impact gani? tunataka impact, siyo publicityMmeshindwa kumchamfua akiwa Dar na Sasa yupo Arusha.
1-Zoezi la upimaji afya
2-Zoezi la Pikipiki
3-Zoezi la Nyama choma
4-Zoezi la landrover festival.
5-Zoezi la kero za wananchi.
Miaka yote hiyo Lema alikuwa wapi kutambua fursa kama hizo Arusha?Amebaki kujidai ni muhubiri feki.
"Anapenda makiki kama msanii" - Weusi
Huo ujinga wote umekuwa na impact gani? tunataka impact, siyo publicity
Makonda hata akienda jela atatafuta drama tu ili awe relevant. Ndio kitu pekee anachokipenda duniani, drama
Iko hivyo mkuu.Ila kuwa mtawala (sio kiongozi) wa Tanzania ni raha sana. Wape nyama tu, utasifiwa na kupigiwa makofi mpaka yesu arudi.
Yani mtu mzima na akili zake timamu anasifia nyama choma na maonyesho ya magari kuwa kama kipimo cha uongozi bora😂😂😂😂😂😂
Unasemaa?!?Watu kama Makonda wanaendana na Iq za aliyemteua.
Na vioja vyake vinatumia gharama kuvifanyaPaul Makonda ni mmoja wa wale waliopewa uongozi kwa sababu tu ya blaa blaa zake lakini ki utendaji hana lolote isipokuwa kufanya vioja vitupu📌🔨
DAB ni tapeli gwiji. nyondi sana huyu jamaaTanzania ifike wakati sasa tutenganishe viongozi makini na wapiga debe wa vyama. Tunagharimika sana Tanzania kwa kuwapa watu nafasi za uongozi kwa sababu ya umaarufu wao wa kupiga debe.
Paul Makonda ni mmoja wa wale waliopewa uongozi kwa sababu tu ya blaa blaa zake lakini ki utendaji hana lolote isipokuwa kufanya vioja vitupu.
Ni jana tu bila aibu yoyote Paul Makonda mbele ya umati wa watu makini anathubutu kusema kuwa mji wa Arusha unatengeneza magari aina ya Landrover na kuyauza nchi za Ulaya! Hizi ni blaa blaa zilizopindukia.
Kwa Kiongozi hawezi kufanya kitu kizuri katika kuhudumia wananchi na kikaonekana kwa matokeo kwa wananchi bila kujitangaza kwenye MEDIA? Yaani Viongozi hadi wanajitangaza kwenye MABANGO kama bidhaa. Hii ni sawa kweli?
Huyu hapa na tako lake:-DAB ni tapeli gwiji. nyondi sana huyu jamaa
Ukitazama anachokifanya Makonda kwa akili za kwenye vijiwe vya kahawa utaona kuwa anafanya vituko huko Arusha lakini ukitazama kwa mtazamo wa kisayansi utaelewa kwanini kapelekwa huko.Tanzania ifike wakati sasa tutenganishe viongozi makini na wapiga debe wa vyama. Tunagharimika sana Tanzania kwa kuwapa watu nafasi za uongozi kwa sababu ya umaarufu wao wa kupiga debe.
Paul Makonda ni mmoja wa wale waliopewa uongozi kwa sababu tu ya blaa blaa zake lakini ki utendaji hana lolote isipokuwa kufanya vioja vitupu.
Ni jana tu bila aibu yoyote Paul Makonda mbele ya umati wa watu makini anathubutu kusema kuwa mji wa Arusha unatengeneza magari aina ya Landrover na kuyauza nchi za Ulaya! Hizi ni blaa blaa zilizopindukia.
Makonda kapelekwa Arusha kwa kazi maalum na anaifanya vizuri.Tanzania hatuhitaji promoters
Lema anadhani anaongea ukweli lakini kwa kushindwa kuja na suluhisho anaonekana anapiga stori za maskani.NABII ANAYETABIRIA WATU KUFA TU LEMMA HANA CHOCHOTE ANACHOWEZA KUWASAIDIA WANACHI NA KUWATUKANA BODABODA NA MAMA LISHE makonda ANACHJAPA KAZI