Hakuna kitu kinaleta Stress kama kuota Mvi au upara halafu bado hujajipata

achana nao hata nywele zako hazijanyonyoka kama mbwa koko

kwanza ndo zinavutia
 
I second you

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 

Haaaaaa! ni kweli kabisa, ila umri uliohutaja sio cut -off point ya kusonga mbele kwa umri kwa tamaduni za kibongo; miaka 35 bado ni kijana kabisa kwa setting na social life yetu ya kiafrika . Pia nakubaliana na mtoa hoja mwingine, wengi walio kwenye age hiyo ndio kwanza wanajitafuta, just imagine miaka 7 ya primary school, miaka 4 ya secondary school-O-LEVEL, miaka 2 ya A-LEVEL, mwaka mmoja kusubiri kuingia chuo kikuu, miaka 3-4-5 chuo kikuu, mwaka 1-2 internship, then mtaani kusaka kazi kati ya miaka 2-5 ndipo uipate, unafikiri huyu kijana atakuwa na miaka mingapi hapo? ukizingatia alianza primary kindagarten huku akiwa na miaka 6-7 baada ya kuchunga ng'ombe na kuuza mazao kwenye magulio saaana .

Kwangu tatizo si kuendelea kujitafuta tatizo unaota kipara halafu kichwani patupu , au unakuta kijana wa miaka 35 akiwa na kitambi kikubwa na muonekano wa kiutu uzima mwenye fedha wakati kila siku akipiga mizinga. Pathetic.
 
nilipokua home arusha walikua wanakuja sana
.hata mm huwa najiuliza hivyo. ni wazuri sana wakurya wa kenya tofaut na wa huku
wengi ninaowaona mimi hawana ule weusi wa wadada wengi wakenya wanao, ni wazuri sura zao zinataka kwenda kama kwenye u Ethiopia au rwanda japo wanyarwanda chocolate yao imezidi
 
Umeongea ukweli kabisa, kibongo bongo hiyo age ndo nitolee hapo ni kusubiri kujiuguza visukari na presha zisizoisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…