Hakuna kitu kinaniuma Kama ndugu zangu wote kuzalia nyumbani

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Very addictive acha kabisa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Daah ilifika mahala nikawa najipigia maombi nipunguze sasa mbaya zaidi wale nilikua nikiwapga threesome ndo wanantafuta wenyewe turudie tena
 
Daah +++ single maza daily tu
 
Tupe idadi yao waliozalishwa wakiwa nyumbani ili tujue wanaongezeka ma-single mother wangapi ndani ya nchi yetu pendwa kabisa TANZANIA.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Daah ilifika mahala nikawa najipigia maombi nipunguze sasa mbaya zaidi wale nilikua nikiwapga threesome ndo wanantafuta wenyewe turudie tena
Wanapenda haooo...nawashangaa wanawake ambao hawataki kushare de libolo
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Jamani daah kwa hiyoo tutakulaa na kusepaa akipata mimba ni juu yake.. Tunakataaa ndoa
Tatz hayatumii akili, linajiona lipo ktk Danger days alafu ananiletea Mbususu.. Huku akilini anajua kbs anaweza nasa mimba.
 
Cha kufanya hapo,tafuta namba za simu za shemeji zako wote halafu kirafiki Tu waulize mmoja mmoja kwamba "Kaka kwa nini hujamuoa dada yangu?" tena waombe wafunguke Ukweli wao wa dhati kabisa. Naamini kuna picha utaipata.
 
Jf Raha sana[emoji1787]
 
Kwani ile kampeni yetu ya kataa ndoa ulitaka mlengwa awe nani?

Cc; Liverpool VPN kuna RAIA wako huku haeleweki.
 
Kwani ile kampeni yetu ya kataa ndoa ulitaka mlengwa awe nani?

Cc; Liverpool VPN kuna RAIA wako huku haeleweki.

""Ushauri : tulieni na punguzeni tamaa za vitu vidogo ukiona Mtu ana gari acha shobo haimaniishi hiyo gari yake ndo upendo . Hasa hawa wanawakel wa zama hizi ambao hawajausoma huu mchezo vizuri.""

#YNWA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…