The Boss ππSasa wamezalishwa dada zako...
Wewe unakuja kutoa ushauri humu wadada waache tamaa...
Why usiwaite uwape huo ushauri??..
Sometimes maji hufata mkondo...
Je wamama wakubwa wote kwenu waliolewa?? Mama wadogo wote wako kwenye ndoa?
Binti hawezi tulia na kusubiri kuolewa iwapo mama zake wote walizaa bila kuolewa....au Kaka zake wote wanazalisha wadada bila ndoa
Aweke namba zao!Nasemaje twendeni tukawaoe dada zake
wapo wachache Mno.Nilichogundua wanaume wa Tanzania waongo waongo tu.
Dada zangu wote mbona hamjawaoa mmeishia kuwapa Mimba tu.
Yaani mwanume ni waongo Sana mlikuwa mnawapeleka guest na Magari leo hii dada zangu wanatembea kwa Miguu kwenda Kliniki (clinic)
Wanaume ambao wapo serious na hawana mpango wa kuwachezea watoto wa watu na kuwafanya single mothers wapo wachache Mno.
Nimeyatafakari haya Maisha ya mahusiano nimebaki Kupata mshangao Sana.
Ushauri : tulieni na punguzeni tamaa za vitu vidogo ukiona Mtu ana gari acha shobo haimaniishi hiyo gari yake ndo upendo . Hasa hawa wanawakel wa zama hizi ambao hawajausoma huu mchezo vizuri.
HAO WANAWAKE WANAVUNA WALICHOPANDA
Watu mnanishambulia lakini hamjui ugumu wa hili Jambo Hakuna Mtu anapenda kuona dada zake wanazalia nyumbani Tena dada zangu wote Bora hata ingekuwa Mmoja.
Kuna dada nimezaa nae nakweli nimzuri tu wasura naumbo sio malaya ,lkn changamoto yake kubwa ni mgomvi balaa ,yaani matusi anakutukania hadi familia nnayotoka hadi mama mzazi waziwazi,anaweza asikusikilize unachomuelekeza mkaishia kushindana nakukuona unamuonea,anaweza akaamua kutokupika akasema kale hotelini,a,nnavyosema ugomvi ndu uguyangu nigomvi wa kuhatarisha maisha,mbishiani mshindani.lkn ananibembeleza ndoa, hii nibaada ya akili kunikaa sawa nakutafakari. Kwakina kua huyu mbona mdamwingi tunajadili ugomvi kuliko kuinjoi familia nao wakagoma kuunga mkono mahusiano yangu kabisa.Sisi wanaume maranyingi tunajuaga tabia za wadada tunaodate nao kama ni mbaya au nzuri,na tukijua dada flani hajatulia,hatumwambii kua anatabia mbaya,ila tunamtongoza ili tupate huduma,na hatumwambii kua tunataka tulale nae tu,hapana bali akiuliza kama tutamuoa,tunamjibu ndiyo,ili tumle tu,ila moyoni tunajua huyu ni kicheche siyo wa kuoa,muda ukienda,mdada anaacha hata kuchukua tahadhari ya kukwepa mimba,mwisho wa siku anaibeba mimba,mwanaume anakataa kumuoa,anasema ntalea mtoto ila siyo kukuoa.
Wadada wengi ambao hawajaolewa na wana watoto,wanajua makosa ambayo wanayo kitabia,na wengine familia zao zinajua kua watoto wao hawajatulia,hivyo hawalaumu watoto wao kutoolewa.MALEZI JAMANI.
MWANAMKE AKINITUKANIA MAMA ANGU NDIO SIKU YA MWISHO YA HAYO MAHUSIANO NA MAWASILIANO.Kuna dada nimezaa nae nakweli nimzuri tu wasura naumbo sio malaya ,lkn changamoto yake kubwa ni mgomvi balaa ,yaani matusi anakutukania hadi familia nnayotoka hadi mama mzazi waziwazi,anaweza asikusikilize unachomuelekeza mkaishia kushindana nakukuona unamuonea,anaweza akaamua kutokupika akasema kale hotelini,a,nnavyosema ugomvi ndu uguyangu nigomvi wa kuhatarisha maisha,mbishiani mshindani.lkn ananibembeleza ndoa, hii nibaada ya akili kunikaa sawa nakutafakari. Kwakina kua huyu mbona mdamwingi tunajadili ugomvi kuliko kuinjoi familia nao wakagoma kuunga mkono mahusiano yangu kabisa.
Mwenzio hata mwanamke akija analia machozi ya damu huwa SISHAURI. Hata rafiki yangu sishauri kwenye mambo ya mapenzi. Sana sana naweza shauri mara moja TUNimechelewa sana.
Je akikutukania baba yako mzazi?!MWANAMKE AKINITUKANIA MAMA ANGU NDIO SIKU YA MWISHO YA HAYO MAHUSIANO NA MAWASILIANO.
Uta ua mbavu zanguπππ€£, Eti ukoo usi ende mbaliwewe si ndio timu kataa ndoa safi kabisa,dada zako wamekutana na wapuuzi kama wewe. Endelea kuwatuma sigara wapwa zako ,wa kike wakikuakua usiwaache wakawa single mothers huko nje shughulikia mwenyewe ukoo usiende mbali kama unavyowashauri jamaa zako humu
Acheni miyeyusho wakuuππ€£Tatzo dada zako wenyewe wa kihaya
Mtu akiwaza mara mbili anatoka nduki[emoji4]
hiyo ni comeback ya Madrid π€£πMzee we si unasemaga kataa ndoa
π€£π€£
Dah kampeni ime Waka moto π πWenzake wakikataaa ndoaa Ila wakila utamu wa dada zake analiaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ila Mwanaume unakomaa.kabisaa kataa ndoa alafu Kesho baba ako akimuacha mama ako unalalamika sasa HAYO SI MATATIZO YA AKILI.. unapiga kampeni kataa ndoa kesho dada ako akigongwaa akazalia nyumbani unaanza kulia[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hapana watu wamefanya unachotakaa KATAA NDOA so apambane kulee wajombaaa.
Kaka hapo ume piga mkuki wa shingooππKuna mtu alimfata mtume s.a.w, akamuomba kuwa kabanwa saana amridhie afanye zinaa kidogo tu,apunguze kichupa, mtu akamuuliza je ukikuta dada yako watu wanaupigwa mwingi au bimkubwa wako watu wanaruka nae je, akasema atamkata mtu kichwa,hawezi vumilia kuona dada au mama yake anaziniwa.
Mtume akamwambia huyo nitakaekuruhusu ukampelekee pumzi za moto nae ni dada wa mtu au mama wa tu, ama shangazi wa mtu n.k
Ndio huyu mwamba ye anakataa ndoa, anagonga dada za watu, halafu baadae anawaonea huruma dada zake(wanawake) kuzalia nyumbani bila ndoa
Pole Sana mkuu, natumai Sasa hivi wame olewa.Watu mnanishambulia lakini hamjui ugumu wa hili Jambo Hakuna Mtu anapenda kuona dada zake wanazalia nyumbani Tena dada zangu wote Bora hata ingekuwa Mmoja.
Dah aisee π πKATAA NDOA
Ndoa ni UJAMBAZI
Ndoa ni UTUMWA
Ndoa ni stress
Wape hongera shemejizo aisee wanaupiga mwingi
Acheni miyeyusho wakuu πMKUU TUNAKATAA NDOA..
Sasa tusipo oa, mabinti Kama hawa si wata teseka.Pole sana, inauma mnoo.
Ila kuhusu kuoa tumekubaliana hakuna KUOA