Hakuna kitu kinaniuma Kama ndugu zangu wote kuzalia nyumbani

The Boss 😜😜
 
wapo wachache Mno.

Sasa tuache kujenga kwanza tununue magari
 
Kwa Nini hukuwachimba biti ama kuwaelekeza kwamba wanapotea,wakati wanapandishwa kwenye mandinga, au na wewe ulikuwa mnufaika wa pesa zao?
 
Watu mnanishambulia lakini hamjui ugumu wa hili Jambo Hakuna Mtu anapenda kuona dada zake wanazalia nyumbani Tena dada zangu wote Bora hata ingekuwa Mmoja.

Unazingua sana, mbona sioni akili ya muhaya hapo!….kwa zile harakati zenu kukataa ndoa, hili ungelikalia kimya maana ndio zao la lile.
 
Kuna dada nimezaa nae nakweli nimzuri tu wasura naumbo sio malaya ,lkn changamoto yake kubwa ni mgomvi balaa ,yaani matusi anakutukania hadi familia nnayotoka hadi mama mzazi waziwazi,anaweza asikusikilize unachomuelekeza mkaishia kushindana nakukuona unamuonea,anaweza akaamua kutokupika akasema kale hotelini,a,nnavyosema ugomvi ndu uguyangu nigomvi wa kuhatarisha maisha,mbishiani mshindani.lkn ananibembeleza ndoa, hii nibaada ya akili kunikaa sawa nakutafakari. Kwakina kua huyu mbona mdamwingi tunajadili ugomvi kuliko kuinjoi familia nao wakagoma kuunga mkono mahusiano yangu kabisa.
 
MWANAMKE AKINITUKANIA MAMA ANGU NDIO SIKU YA MWISHO YA HAYO MAHUSIANO NA MAWASILIANO.
 
Uta ua mbavu zanguπŸ˜ƒπŸ˜‚πŸ€£, Eti ukoo usi ende mbali
 
Dah kampeni ime Waka moto πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Kaka hapo ume piga mkuki wa shingooπŸ˜‚πŸ˜†
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…