Hakuna kitu kinatokea kwa bahati mbaya katika siasa ya Bongo

Ninachokwambia ni hiki, Maalimu anatibiwa na SMZ sababu ni stahiki yake na ndio maana hata kipindi kile Maalim amegoma kumpa mkono Shein Huku bara Magu akaja akasema mimi mtu hawezi kuninyima mkono halafu nije nimsainie malipo yake ya kwenda kutibiwa.

Kwa hio wewe kusema Maalim anatibiwa na SMZ wala hio sio habari mpya/iliyokua imefichwa,hio inajulikana hadharani miaka yote.
 
Maalimu kua kitengo hilo sijui lkn akiumwa ni lazima agharamiwe na SMZ sababu yeye alikua ni makamu wa raisi huko Zenji(kipindi cha Shein) na matibabu ni sehemu ya stahiki yake kama makamu wa rais mstaafu.

Kumbe umemjua Maalim juzi hapa kwenye mseto pole sana.
 

Haya sawa nimekubali maelezo yako.
 

Yule mbobezi nakubaliana nawe kabisa ni sarakasi za lumumba,atarudi kuunga juhudi Kama wenzake.
 
Tatizo wewe unaleta habari then unalazimisha ku-dominate mada kitu ambacho hakina maana.

Umeongelea ACT-Wazalendo nikakuuliza Jack Zoka yuko wapi siku hizi?

Na sio wajibu wangu kujua fulani yupo wapi sio lengo la mjadala.
Pia sijalazimisha mtu akubaliane na mimi,mimi nimeandika mawazo yangu na wewe unaweza andika yako ndio mjadala.
 
J.Zoka yuko wapi siku hizi?
[/QUOTE]
True angekuwa na njaa angeshamalizwa.
Huwezi ukawa masikini then ukawa mwanasiasa bora ni lzm utauza utu wako kwa vipande.Thus wenzetu leseni za udereva upewa tajiri mtu aliyeshiba
 
Yule ni kama kawa ni agent,tatizo atakalolipata sasa hivi ni kwamba huku mtaani wajuba wote wamemshtukia kwamba yeye ni pandikizi tu.
Waling'atwa na nyoka awarudii kosa,naona mazungumzo yake na CDM yaligonga mwamba anajaribu ACT.Ila ACT wakirudia kosa la cdm 2015 kuyapa mapandikizi leseni za udereva watavunja mioyo ya wanachama wao.
 
Na sio wajibu wangu kujua fulani yupo wapi sio lengo la mjadala.
Pia sijalazimisha mtu akubaliane na mimi,mimi nimeandika mawazo yangu na wewe unaweza andika yako ndio mjadala.
Daah kama humjui huyo mtu then hata kujua ACT ilianzishwa kwa mkono wa kina nani huwezi kuelewa vzr.

Hapo kwny ACT ilianzishwa sijui kwa Zitto kuunganishwa na ndg wa JK walioko huko kitengo toa hio sentensi then weka ACT ilianzishwa na Zitto kwa msaada wa kina Zoka.
 
Kuna msemo ulivuma sana mwaka 2015 kwamba "CCM ina kitabu kikubwa cha MBINU ZA KUSHINDA UCHAGUZI na mpaka mwaka 2015 walikua ndo kwanza wako kurasa ya 3" kwahiyo bado kurasa kibao yaan Wapinzani wa nchi hii wajipange😢😢
Hakuna cha kitabu wala nini. Waweke tume huru na kubadili katiba ndiyo utaijua hiyo nguvu ya hicho kijitabu.
 
Waling'atwa na nyoka awarudii kosa,naona mazungumzo yake na CDM yaligonga mwamba anajaribu ACT.Ila ACT wakirudia kosa la cdm 2015 kuyapa mapandikizi leseni za udereva watavunja mioyo ya wanachama wao.
ACT kule atapata nafasi ya kugombea,nimeona jana Membe kapiga picha na wakina Kabwe na Maalimu,na nikaona Zitto anasema ni lazima Upinzani usimamishe mgombea mmoja kwny urais na majimbo waachiane.

Nikasema Naona maagizo kutoka kwa Agent wanaanza kuyawasilisha mdogo mdogo.

Upumbavu huo uishie huko huko ACT wasiulete Chadema kabisa.
 
mwayena.
Kumwamini mtu hutegemea namna unavyotazama mambo na uelewa.
Siasa ina mengi kuielewa inahitaji usiwe kuku uwe tai.
Hapo Kenya Raisi ajaye 2022 ni Gideon Moi. Usishangae Ridhiwani Kikwete akapata wizara 2020 na akawa bosi wetu 2025.
Comment reserved for future use.
 

Ni kweli simjui huyo mtu,ndio namsikia leo kutoka kwako. Hongera kwa kumjua.
 
hahah nimefurahi kuona kuna watu wanamjua vizuri maalim ni nani nchi hii.Maalim ni nyoka mmoja hatari sana na ni player muhimu katika siasa za nchi hii
 
hahah nimefurahi kuona kuna watu wanamjua vizuri maalim ni nani nchi hii.Maalim ni nyoka mmoja hatari sana na ni player muhimu katika siasa za nchi hii
Hivi enzi zile za Mkapa ni kwanini Maalim alikimbilia Mombasa mkuu?
 
Reactions: Pep
Lissu atawekewa pingamizi na CCM,Muandae Lissu by 2025.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…