Nyoka_mzee
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 3,695
- 5,531
- Thread starter
-
- #81
Mie babu siwezi kabisa tena akianza na haya mambo huwa napiga chini staki kuja kujipandisha preshawe nyoka mzee wacha masikhara..hivi ukisubiria kisha ukapata mwanamke wako ana mtarooooo utakuwaje?
plz funguka bana watu wapate kuelemikia hapa tupo huru kwenye kuchangia mambo kamw haya kuna watu wanafaidikaNatamani nijitolee mfano Mimi binafsiiii...
Ila nsije ambiwa niende kwa shigongo..
Ila mada imenikamata penyewe..too bad siwezi sema my opinion.
hahahahqNinong'oneze [emoji101]
kivp mkuuBado mwenza wako ana nafas ya kukubeba
Hahaha ni kweli mzee yaan hakuna kitu huwa nachukia kama uwongo na hasa kwa watoto wakikeKiukweli wanaume tunaweza kuvumilia hata wanawake pia swala la msingi unachoniaminisha ni kweli. Huwezi kuniambia wewe bikira kumbe unamlolongo wa mabwana sasa umeona hakuna faida uliyopata ndo unajifanya bikra shabashiiiii hakuna binadamu anayependwa kudanganywa
Uongo umechukua nafasi kubwa katika maisha na mapenzi YETU
we funguka tu ,humu ukiwaogopa watu nini watasema utakuwa hat uwandiki uzi wala kuchangia coment ,hata mimi kuna wakat huwa nikiamuwa kuleta mada za kipuuzi naleta wanasemaaaa ila sijaliMtasema sio kweli nmetunga story...!
Ngoja nisomege na mawazo ya wengine!
Jamaa alishindwa hata kupima oil ili ajue kama ni kweliNaomba ifahamike wazi linapokuja swala la kufanya Sex mwanamke anaweza kuvumilia kutofanya Sex kwa muda mrefu ,tofauti na mwanaume ,
Nimekutana na malalamiko mengi kutoka kwa wanaume wakilalamika kuwekewa masharti haya Magumu na watoto wa kike la kutokufanya Mapenzi mpaka ndoa.
Kidini na kimaadili ni jambo jema na liko Sahihi kabisa.
Shida inapokuja kwa Dunia ya sasa tuliokuwa nayo imekuwa ni shida na ni gumu jambo hili kutekelezeka ,na limejikuta likiwaacha wadada wengi wakilia na kusaga meno kwa sababu mbali mbali,
Wapo ambao wengi husingizia wao ni bikra na hawatofanya mpaka waolewe.
Yupo dada mmoja alijinasibu kuwa yeye ni bikra na hatoe penzi mpaka aolewe ,jamaa alijikusuru na kubebea mzigo akidhani bint anayemuowa ni bikra matokeo yake alikuta tofauti na jamaa alishindwa kuvumilia na kumwacha mwanamke ,Nilipokuwa nimekaa na yule bint na kumuuliza kwanini aliamuwa kumwongopewa mshkaji kwamba ni bikra na hampi mpaka amuowe ,jibu aliniambia amechoja kuchezea alifanya hivyo ili aolewe ,swali nililomuuliza haya umeolewa na je umedumu katika ndoa?
Ukweli usio pingika hakuna mwanaume anaweza kuvumilia hili jambo na kama wapo ni wachache na wengi wanaogopa kuuziwa mbuzi kwenye gunia ,Na kama basi ataweza kustahamili mpaka ndoa basi kaaeni fika mkijua kuna sehemu anapunguza ugwadu ,
Binaadamu yeyote anayekula akashiba na hasa vyakula hivi vyetu vya kisasa ,lazima matamanio yaje ,Tuache kuigiza tuje kwenye uhalisia kama umempenda mtu basi mpe haki yake laasivyo jiandae yafuatayo;
1: kusalitiwa ,
2:Au kuachwa kwenye mataa
Chaguo ni lako......
Hahaha nimekupenda bure aiseee ,vp bado bikra na ww [emoji4] [emoji4]Si bora kuachwa mataa kuliko kumpa na akaja kukuacha mataa.
Sana aiseeHawa viumbe si wakuwahamini atakidogo
hahahaMm atacwezi kwani ayo mambo ya zamani sana
amiinAllah akuepushie shari zote
hao ndo vijana wa dar aiseee [emoji4] [emoji4] [emoji4][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119] [emoji119] haichekeshi mkuu ila imenibid tu jmn kuna wtu MNA vituko htr!!!
kweli kabisa aisee ,Dunia hii ishaharibika watu hawaminiki tenaHapo mkuu mbona unaniacha yaani ME anajua dhahiri hapandi mtungi alafu anaoa ili iweje?. Au sijakuelewa
Anyway mleta mada amesema ukweli hapo wengi hupenda kutumia migongo ya dini kuficha hayo ni ngumu kwa sasa kuoa KE bila kusex nao before ndoa.
Kuna vya muhimu kugundua ujue mtaendana au hafai ujikatae mapema
hahaha tatizo mkuu waha ni zaidi ya bongo movie ,kwanza hata akikuruhusu kupima oil basi kelele zake utasema kama kuku ananyofolewa manyoya akiwa hai ,Achana kabisa na sanaa za hawa watuJamaa alishindwa hata kupima oil ili ajue kama ni kweli
Nyoka mbabu, haujaingia "in deep" katika utafiti wako kwa kina juu ya muktadha halisi wa jambo hili.Naomba ifahamike wazi linapokuja swala la kufanya Sex mwanamke anaweza kuvumilia kutofanya Sex kwa muda mrefu ,tofauti na mwanaume ,
Nimekutana na malalamiko mengi kutoka kwa wanaume wakilalamika kuwekewa masharti haya Magumu na watoto wa kike la kutokufanya Mapenzi mpaka ndoa.
Kidini na kimaadili ni jambo jema na liko Sahihi kabisa.
Shida inapokuja kwa Dunia ya sasa tuliokuwa nayo imekuwa ni shida na ni gumu jambo hili kutekelezeka ,na limejikuta likiwaacha wadada wengi wakilia na kusaga meno kwa sababu mbali mbali,
Wapo ambao wengi husingizia wao ni bikra na hawatofanya mpaka waolewe.
Yupo dada mmoja alijinasibu kuwa yeye ni bikra na hatoe penzi mpaka aolewe ,jamaa alijikusuru na kubebea mzigo akidhani bint anayemuowa ni bikra matokeo yake alikuta tofauti na jamaa alishindwa kuvumilia na kumwacha mwanamke ,Nilipokuwa nimekaa na yule bint na kumuuliza kwanini aliamuwa kumwongopewa mshkaji kwamba ni bikra na hampi mpaka amuowe ,jibu aliniambia amechoja kuchezea alifanya hivyo ili aolewe ,swali nililomuuliza haya umeolewa na je umedumu katika ndoa?
Ukweli usio pingika hakuna mwanaume anaweza kuvumilia hili jambo na kama wapo ni wachache na wengi wanaogopa kuuziwa mbuzi kwenye gunia ,Na kama basi ataweza kustahamili mpaka ndoa basi kaaeni fika mkijua kuna sehemu anapunguza ugwadu ,
Binaadamu yeyote anayekula akashiba na hasa vyakula hivi vyetu vya kisasa ,lazima matamanio yaje ,Tuache kuigiza tuje kwenye uhalisia kama umempenda mtu basi mpe haki yake laasivyo jiandae yafuatayo;
1: kusalitiwa ,
2:Au kuachwa kwenye mataa
Chaguo ni lako......
Kuwaambia wazaz kuwa hilo dau Kubwa.kivp mkuu
Umeona title ya Jukwaa?Uzinzi uzinzi uzinzi
Allahuma AmiinAllah akuepushie shari zote
Ni hivi,mwanamke ndo huwa anapromote kuwa yeye ni BIKRA,sio kwamba mwanaume huiulizia,Kwa mfanoNyoka mbabu, haujaingia "in deep" katika utafiti wako kwa kina juu ya muktadha halisi wa jambo hili.
Nikuulize labda. Hivi hilo uliloongelea wewe suala la bikira, ni kweli lina umuhimu na ni kivutio kwa wanaume walio wengi, yaani waoapo wakute mwanamke ni bikira?
Ndonikasema wewe jambo hili haujalifanyia utafiti wa kutosha.
Nijuavyo mimi, sababu ama manufaa ya kuzuia wachumba wasikaribiane kabla ya ndoa, zipo lakini si kwa kulinda bikira ya mwanamke.
Sababu ya kwanza ni kwamba mwanamme akinyimwa kukaribiana na mchumbaake kwa masharti hadi amuoe, humfanya awe serious na jambo hilo na ni kipimo tosha cha kuelewa kama kweli anampenda mchumbawake ama ni blahblah.
Atajinyima hata kula ili apate mali ya kukamilishia lengo lake.
Sababu ya pili ni ya kibinadamu, kwamba unapotaka kuhodhi kitu chenye thamani, halafu ikatokea ukalegezewa masharti ya kukipata, mfano unaelezwa kuwa, anza tu kukitumia, utalipa polepole. Je utaweka kipaumbele katika juhudi za kuhangaikia umiliki wake tena?
Tatu ni suala zima la 6x6. Hili lina mambo mengi tena kwa upana sana, ambayo sitayaelezea hapa.
Suala la bikira halina maana yoyote.
Tena nikwambie, wanaume wengi wanapoanzana hupenda kukuta wenza wao ni "wakufunzi" wazuri badala ya kukuta ni "wanafunzi" mbumbumbu wanaohitaji chekechea kabla ya kuanza la kwanza.