Sidhani uilo jina John lina mkos. Walikuwepo mpaka Sasa tuna John wengi ambao ni watu wema. Labda majina kama pombe, magufuli, jiwe, kichaa, mzilankende etc.Tanzania kwa mara ya kwanza ilitawaliwa na shetani, hatuwezi kumsahau.
Kule Ujerumani ni marufuku kumpa mtoto jina la Adolf kutokana na madhira aliyoyaleta Adolph Hitler, sasa ni wakati muhafaka kwa Tanzania kupiga marufuku watoto wasipewe jina la John ni mkosi.
Ni wazi kuwa hayati JPM hakuwa amezungukwa na wanaCCM wema. Na walikuwa wakimchukia huku wakimkenulia meno.
Huyu Godbless Lema akikuwepo hapa nchini na alikuwa mbunge huko Arusha na hakuwahi kukimbia nchi mpaka alipokosa ubunge.
Tundu Lissu pamoja na kupata matatizo ya kuvamiwa na bad assailants lakini yupo huru kurudi nchini na kuishi nchini ndio maana alirudi mwaka 2020 na kugombea ubunge.
Leo hii unafanyika unafiki wa kumchafua hayati JPM? Wanannchi wanajua nini kinaendelalea.
Huu ni unafiki
[emoji116]View attachment 2253807
Hamna anaweza mchafua marehemu ili wapate nn? Wala wafaidike Nini? Magufuli Alisha pita ila truth to be told kila mtu Ana azuri na mabaya magufuli Kuna mazuri Aliya fanya ila baya ambalo na amini nae aliomba msamaha kwa mungu kabla yakuaga Dunia ni kuleta tension na mkanganyiko wa kisiasa ndani ya nchi... Magufuli Ali pioneer ikaanza kuonekana kama wapinzani sio wa tanzania wala Hawana haki za kusema wanachojisikia kwa utashi wao.... That was so bad of himNi wazi kuwa hayati JPM hakuwa amezungukwa na wanaCCM wema. Na walikuwa wakimchukia huku wakimkenulia meno.
Huyu Godbless Lema akikuwepo hapa nchini na alikuwa mbunge huko Arusha na hakuwahi kukimbia nchi mpaka alipokosa ubunge.
Tundu Lissu pamoja na kupata matatizo ya kuvamiwa na bad assailants lakini yupo huru kurudi nchini na kuishi nchini ndio maana alirudi mwaka 2020 na kugombea ubunge.
Leo hii unafanyika unafiki wa kumchafua hayati JPM? Wanannchi wanajua nini kinaendelalea.
Huu ni unafiki
[emoji116]View attachment 2253807
Lema na Lissu sio wakimbizi wa kisiasaHamna anaweza mchafua marehemu ili wapate nn? Wala wafaidike Nini? Magufuli Alisha pita ila truth to be told kila mtu Ana azuri na mabaya magufuli Kuna mazuri Aliya fanya ila baya ambalo na amini nae aliomba msamaha kwa mungu kabla yakuaga Dunia ni kuleta tension na mkanganyiko wa kisiasa ndani ya nchi... Magufuli Ali pioneer ikaanza kuonekana kama wapinzani sio wa tanzania wala Hawana haki za kusema wanachojisikia kwa utashi wao.... That was so bad of him
Ni wazi kuwa hayati JPM hakuwa amezungukwa na wanaCCM wema. Na walikuwa wakimchukia huku wakimkenulia meno.
Huyu Godbless Lema akikuwepo hapa nchini na alikuwa mbunge huko Arusha na hakuwahi kukimbia nchi mpaka alipokosa ubunge.
Tundu Lissu pamoja na kupata matatizo ya kuvamiwa na bad assailants lakini yupo huru kurudi nchini na kuishi nchini ndio maana alirudi mwaka 2020 na kugombea ubunge.
Leo hii unafanyika unafiki wa kumchafua hayati JPM? Wanannchi wanajua nini kinaendelalea.
Huu ni unafiki
👇View attachment 2253807
Toa taka taka zako hapa jamaa makonda na saabaya waliyoyatenda enzi za mwendazake unadhani walikuwa sahihiNi wazi kuwa hayati JPM hakuwa amezungukwa na wanaCCM wema. Na walikuwa wakimchukia huku wakimkenulia meno.
Huyu Godbless Lema akikuwepo hapa nchini na alikuwa mbunge huko Arusha na hakuwahi kukimbia nchi mpaka alipokosa ubunge.
Tundu Lissu pamoja na kupata matatizo ya kuvamiwa na bad assailants lakini yupo huru kurudi nchini na kuishi nchini ndio maana alirudi mwaka 2020 na kugombea ubunge.
Leo hii unafanyika unafiki wa kumchafua hayati JPM? Wanannchi wanajua nini kinaendelalea.
Huu ni unafiki
👇View attachment 2253807
Ni wazi kuwa hayati JPM hakuwa amezungukwa na wanaCCM wema. Na walikuwa wakimchukia huku wakimkenulia meno.
Huyu Godbless Lema akikuwepo hapa nchini na alikuwa mbunge huko Arusha na hakuwahi kukimbia nchi mpaka alipokosa ubunge.
Tundu Lissu pamoja na kupata matatizo ya kuvamiwa na bad assailants lakini yupo huru kurudi nchini na kuishi nchini ndio maana alirudi mwaka 2020 na kugombea ubunge.
Leo hii unafanyika unafiki wa kumchafua hayati JPM? Wanannchi wanajua nini kinaendelalea.
Huu ni unafiki
👇View attachment 2253807
Ni wazi kuwa hayati JPM hakuwa amezungukwa na wanaCCM wema. Na walikuwa wakimchukia huku wakimkenulia meno.
Huyu Godbless Lema akikuwepo hapa nchini na alikuwa mbunge huko Arusha na hakuwahi kukimbia nchi mpaka alipokosa ubunge.
Tundu Lissu pamoja na kupata matatizo ya kuvamiwa na bad assailants lakini yupo huru kurudi nchini na kuishi nchini ndio maana alirudi mwaka 2020 na kugombea ubunge.
Leo hii unafanyika unafiki wa kumchafua hayati JPM? Wanannchi wanajua nini kinaendelalea.
Huu ni unafiki
👇View attachment 2253807
Legacy iko chini ya mashambulizi makali kama Ukraine aisee,walioumizwa,tishiwa lazima waseme maana aliyewaminya kafa. Nanyi mliokuwa mnakula pepo zama hizo kazeni buti kutetea legacy, the truth shall set us free.w
watapambana na legacy yenyewe maana legacy ya jamaa ni dude kubwa mno,hawa viazi wa upigaji wanajaribu kujinasibisha na wahanga wa utawala ule,wahanga nao kichwa kichwa wanajaa kwenye kapu hilo.Legacy iko chini ya mashambulizi makali kama Ukraine aisee,walioumizwa,tishiwa lazima waseme maana aliyewaminya kafa. Nanyi mliokuwa mnakula pepo zama hizo kazeni buti kutetea legacy, the truth shall set us free.
sabaya yuko mahakamani amani imerejea wote tuseme tawire.Hawa wanaoleta mada kama huzi, kutetea udhalimu wa marehemu, uwezekano mkubwa hawa ndio walikuwa mikono aliyoitymia marehemu kudhuru watu.
Na hawa kwa kumtumikia mwovu, hawatanyimwa ujira wao kwa wakati ufaao, kwa kadiri ya mapenzi ya Muumba wetu.
Tutende haki, uovu na udhalimu ni ushetani.
Huwezi ukamtendea mwenzio ubaya halafu uendekuomba msamaha kwa Mungu. Lazima (yaani ni LAZIMA) Kwanza umuombe msamaha uliyemkosea. Labda kuzini na mke/ mme wa mtu, huwezi kumuombea msamaha uliyemdhulumu maana italeta tafrani zaidi ktk jamii. Hiyo unatubu tu kwa Mungu.Hamna anaweza mchafua marehemu ili wapate nn? Wala wafaidike Nini? Magufuli Alisha pita ila truth to be told kila mtu Ana azuri na mabaya magufuli Kuna mazuri Aliya fanya ila baya ambalo na amini nae aliomba msamaha kwa mungu kabla yakuaga Dunia ni kuleta tension na mkanganyiko wa kisiasa ndani ya nchi... Magufuli Ali pioneer ikaanza kuonekana kama wapinzani sio wa tanzania wala Hawana haki za kusema wanachojisikia kwa utashi wao.... That was so bad of him
Ujinga wote Dr ulimboka yuko wapi au mwangosi yuko wapi unafikiri tumesahau nao wana ndg walipotezwa na akina nani always mnataka kuaminisha watu kuwa J.P.M ndo kipindi chake watu walipata kupotea sio kwa hawa waume zenu wapendwaWakati unaandika hili bandiko lako kichwa chako kilikuwa kinawaza kitu gani kuhusiana na victims wa udhalimu uliofanyika katika awamu ya tano? Hivi Ben Saanane yuko wapi au at least kelele kuhusu serikali kuhisiwa ina mkono wake kuhusiana na kupotea kwake hivi nini kilizuia polisi kufanya uchunguzi na kutoa ripoti kwa umma maana tumewazoea wakiita press kutuonyesha wezi wa kuku na wakwapua simu za mkononi.
T-shirts za GET WELL SOON Tundu Lissu zilikuwa na madhara gani, yaani serikali ilidiriki kuzuia mtu aliyejeruhiwa asiombewe?
Kila aina ya mauaji au utekaji au kujeruhiwa hata ambavyo kwa mbinu za kijasusi serikali ilifanikiwa kuhadaa watu kuwa haikuhusika bali ni opposition parties walifanyiana wenyewe kwa wenyewe kwanini uchunguzi haukufanyika ili mbivu na mbichi zikajulikana.
Kinachoendelea sasa ni watu kuwa huru kuongea yaliyotokea na kwa ambao hawakubaliani nayo then they should tell their side of the story, kitu rahisi kabisa then watu watachambua wenyewe.
CCM wameishi kwa siasa za hivi, wenyewe kutengeneza upinzani wa regime zilizopita na kuaminisha umma kuwa aliyepita ndio tatizo.Ni wazi kuwa hayati JPM hakuwa amezungukwa na wanaCCM wema. Na walikuwa wakimchukia huku wakimkenulia meno.
Huyu Godbless Lema akikuwepo hapa nchini na alikuwa mbunge huko Arusha na hakuwahi kukimbia nchi mpaka alipokosa ubunge.
Tundu Lissu pamoja na kupata matatizo ya kuvamiwa na bad assailants lakini yupo huru kurudi nchini na kuishi nchini ndio maana alirudi mwaka 2020 na kugombea ubunge.
Leo hii unafanyika unafiki wa kumchafua hayati JPM? Wanannchi wanajua nini kinaendelalea.
Huu ni unafiki
[emoji116]View attachment 2253807
Ni wazi kuwa hayati JPM hakuwa amezungukwa na wanaCCM wema. Na walikuwa wakimchukia huku wakimkenulia meno.
Huyu Godbless Lema akikuwepo hapa nchini na alikuwa mbunge huko Arusha na hakuwahi kukimbia nchi mpaka alipokosa ubunge.
Tundu Lissu pamoja na kupata matatizo ya kuvamiwa na bad assailants lakini yupo huru kurudi nchini na kuishi nchini ndio maana alirudi mwaka 2020 na kugombea ubunge.
Leo hii unafanyika unafiki wa kumchafua hayati JPM? Wanannchi wanajua nini kinaendelalea.
Huu ni unafiki
👇View attachment 2253807
Wewe unastahili kuwa kuzimu kama Magufuli mwenyewe, unatia kimyaa na ni janga kwa taifa na aibu kwa familia yako!Ni wazi kuwa hayati JPM hakuwa amezungukwa na wanaCCM wema. Na walikuwa wakimchukia huku wakimkenulia meno.
Huyu Godbless Lema akikuwepo hapa nchini na alikuwa mbunge huko Arusha na hakuwahi kukimbia nchi mpaka alipokosa ubunge.
Tundu Lissu pamoja na kupata matatizo ya kuvamiwa na bad assailants lakini yupo huru kurudi nchini na kuishi nchini ndio maana alirudi mwaka 2020 na kugombea ubunge.
Leo hii unafanyika unafiki wa kumchafua hayati JPM? Wanannchi wanajua nini kinaendelalea.
Huu ni unafiki
[emoji116]View attachment 2253807
Ni wazi kuwa hayati JPM hakuwa amezungukwa na wanaCCM wema. Na walikuwa wakimchukia huku wakimkenulia meno.
Huyu Godbless Lema akikuwepo hapa nchini na alikuwa mbunge huko Arusha na hakuwahi kukimbia nchi mpaka alipokosa ubunge.
Tundu Lissu pamoja na kupata matatizo ya kuvamiwa na bad assailants lakini yupo huru kurudi nchini na kuishi nchini ndio maana alirudi mwaka 2020 na kugombea ubunge.
Leo hii unafanyika unafiki wa kumchafua hayati JPM? Wanannchi wanajua nini kinaendelalea.
Huu ni unafiki
[emoji116]View attachment 2253807
Huu ndiyo uzuri wa mijadala kwani hata hayo ya akina Dr Ulimboka na Mwangosi yanapaswa kujadiliwa pia ila uelewe hayo ya Kikwete hayasafishi udhalimu wa Magu na crew yake.Ujinga wote Dr ulimboka yuko wapi au mwangosi yuko wapi unafikiri tumesahau nao wana ndg walipotezwa na akina nani always mnataka kuaminisha watu kuwa J.P.M ndo kipindi chake watu walipata kupotea sio kwa hawa waume zenu wapendwa