Mi nina mtu namjua kweli ana sura ya babaHakuna mkuu. Hata kama una dada zako au majirani lkn hawajaolewa at 25 walinganishe sura zao na zile za baba zao. Kama hawajafanana na baba zao nasimamia uwanja wa Mkapa uniite MBWA
Baada ya kuolewa ukagundua nini?Mm miaka 21 tu nikaolewa
Daah mi ni mwanaume ila huu ndo ukweli mchungu πππIssue siyo kushukuru Mungu. Mungu hapa huwa anapewa lawama za bure.
Wote ambao hawapati wachumba mpka 25 Wana tabia mbovu ama Wana sura mbovu
Daaaah haya maneno ya kujifariji yame wa cost wengi mnoooSi lazima kila mwanamke aolewe
Wanaume wenyewe wachache
Ndiyo nikagundua wadada wanaozidi 25 hawajaolewa ni "manungayembe"Baada ya kuolewa ukagundua nini?
Kwhy watu wanaonja, wakiona sio wanarudisha mezani.Umeona eeh! Waswahili wana msemo usemao "nazi mbovu ndiyo hubakia mezani".
πππππππππKule fb wamejazan masingle mother wanatafuta waume
π―π―π―Nakuhakikishia mkuu hayupo mwanamke wa hivi. Hayupo.
Ni vile tu unakuwa hujui undani wake
Umeyasema yote kabisa mkuuuKwa jamii za kiafrica, nakuunga mkono mia mia, ukiona mdada above 30 hajaolewa ujue anachangamoto hasa tabia, ila kwa wenzetu wa magharibi wao ndoa si kipaumbele regardless ya uzuri wa shepu, sura ama tabia.
Msichana aliyeumbika na kubarikiwa tabia nzuri huwa anagombewa na wachumba tangu akiwa na miaka 15.
Hivyo haiwezekani popote pale duniani msichana mrembo na mwenye tabia njema kufika miaka 25 hajaolewa.
Nataka kusema nn? Wadada wote wenye miaka 25+ na hawajaolewa, wana mapungufu makubwa Sana ya kimaumbile ama kitabia.
Nimemaliza!
π€£π€£π€£π€£π€£hebu malizia futari yako inapoaDaaaah haya maneno ya kujifariji yame wa cost wengi mnooo
ππNawashauri mabinti jitahidini mahusiano yenu ya nyege yawe Siri ili kuwapa fursa ya kuolewa. Unaliwa mara moja na mtu unaaza kumuita mume na kuanza kumuweka status siku ya valentine day.Tulizeni wenge muolewe.